Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Daa jamaa hamkaamini kweli katimu kenu na vichezaji vyenu mana mlivyokuwa kimya muda Wa mechi utadhani mmejificha chini ya uvungu Wa kitanda ili majambazi yasiwaone
Nyie mnao iamini timu yenu naona mechi za kagera na azam hamkua kimya...mlikuwa mnashangilia mwanzo mwisho
 
Nyie mnao iamini timu yenu naona mechi za kagera na azam hamkua kimya...mlikuwa mnashangilia mwanzo mwisho

Mechi ya kagera ilikuwa hivi. Mmeambiwa wote Afrika nzima muige mfano wetu sisi. Kamalizia vizuri kwa kusema BE NICE, BE LIKE YANGA. Nanivunia sana kuishabikia hii timu kwa kweli
 

Attachments

  • VID-20200119-WA0050.mp4
    1.1 MB
Aisee haya nimekuja sasa 😀😀 ,

Shadeeya
Mtani nakusalimia kwa Hisani ya Morison. 🤣🤣🤣
20200127_054903.jpg
 
Mimi ni simba damu lakini siridhishwi kabisa na namna viongozi wetu na benchi la ufundi wanavyoendesha hii timu... timu yetu imekuwa timu la makelele kwenye mitandao ya kijamii sikuhizi but ukija uwanjani hakuna kitu timu inazidi kuporomoka kiwango kila siku...wakati timu nyingine huwa zinafanya sajili zao kurekebisha sehemu dhaifu sisi simba huwa sajili zetu sijui huwa zinaangalia nini...tukubali tukatae simba sikuhizi kuna bureaucracy sana
Upo sahihi kabisa kiongozi wangu
 
Timu sahivi ina ma straika wawili tu kagere na boko...viongozi hawayaoni haya...ikitokea wakaumia basi timu itakuwa inacheza bila mastraika...wanawarudisha wakina kichuya ambao viwango vishaisha wanawaacha wakina kotei ambao mapengo yao tangu waondoke hayajazibika na yanaonekana wazi...huenda kuna watu wapo pale simba kwa ajili ya kuvuruga timu na kuna faida wanayoipata wakivuruga timu....simba ya sasa inawatu viongozi wa ovyo sana kuliko simba zote za huko nyuma tangu nianze kuishabikia
Kama alivyosema kocha Patrick
 
Back
Top Bottom