Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Tangu msimu uliopita sehemu zinazohitaji marekebisho zilikuwa zinaonekana wazi..ma straika walikuwa watatu so ilitakiwa tuongeze mmoja wawe wanne na okwi wangembakisha...kama angelazimisha kuondoka ilitakiwa tuongeze mastraika wawili wazuri wa kimataifa tuwe na mastraika wanne jumla...kiungo pale kotei angebaki na beki huku nyuma tungeongeza beki mbili or tatu...moja ya kati..moja ya pembeni kumsaidia kapombe na moja kule kwa tshabalala...chakushangaza viongozi wakatuletea wale wauza matikiti wa brazil
Simba akili nyingi weweee. Wenyewe wanasajiri marefa na vibenderA kila mechi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni simba damu lakini siridhishwi kabisa na namna viongozi wetu na benchi la ufundi wanavyoendesha hii timu... timu yetu imekuwa timu la makelele kwenye mitandao ya kijamii sikuhizi but ukija uwanjani hakuna kitu timu inazidi kuporomoka kiwango kila siku...wakati timu nyingine huwa zinafanya sajili zao kurekebisha sehemu dhaifu sisi simba huwa sajili zetu sijui huwa zinaangalia nini...tukubali tukatae simba sikuhizi kuna bureaucracy sana
Tutakuwa tunasajiri refa na vibendera kila mechi,kwa hiyo ondoa wasiwasi kabisa kijana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga mechi ya jkt ruvu mlipigwa cha pili refa akagoma kwa kudai ilikuwa offside wakati haikuwa hivyo...vp na nyinyi mlikuwa mmemsajiri nn???
Zis iz simbwa bwana. Chezea kitu ingine,sio simbwa. Safari hii hatuangalii mechi kubwa au ndogo. Tutawasajiria wachezaji wakubwa tu,refa na renzimen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FT:

Simba SC 0 - JKT Tanzania 1.

Tulishawaambia timu lenu bovu ila mnabebwa, leo haki imetendeka mmepigwa! Safi sana waamuzi kataeni Rushwa shikilieni hapo hapo
FB_IMG_1581087959369.jpg
 
Yule kocha ninawasiwasi hajui mpira bali alikuwa kocha wa masumbwi
 
Mimi ni simba damu lakini siridhishwi kabisa na namna viongozi wetu na benchi la ufundi wanavyoendesha hii timu... timu yetu imekuwa timu la makelele kwenye mitandao ya kijamii sikuhizi but ukija uwanjani hakuna kitu timu inazidi kuporomoka kiwango kila siku...wakati timu nyingine huwa zinafanya sajili zao kurekebisha sehemu dhaifu sisi simba huwa sajili zetu sijui huwa zinaangalia nini...tukubali tukatae simba sikuhizi kuna bureaucracy sana
Huu ndio ukwel, team ipo mitandaoni kuliko field

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Somo gani Mtani kwa mbeleko ndani ya mechi tatu mfululizo.

#Wawapagetuhilokombe.
Mbona unawapunguzia idadi ya hzo game? Hawa watu karibia mechi zote wamebebwa. Baada ya mianya kuzibwa sasa tumeanza kuiona ile hali halisi yao
 
Back
Top Bottom