Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
bado bila bila wajameni?tusipowaliza hapa kwetu huko kwao itakuwa game la nguvu nguvu
 
Nimeingia nimechelewa nikalazimika kukaa upande wa Yanga, napata tabu siwezi hata kushangilia, halafu majamaa niliyokaa nayo karibu yanashabikia waarabu yananiudhi kweli basi tu niko peke yangu najua nikijifanya mjanja yatanidunda, nabakia kucheki soka tu bila kushangilia.
 
Nimeingia nimechelewa nikalazimika kukaa upande wa Yanga, napata tabu siwezi hata kushangilia, halafu majamaa niliyokaa nayo karibu yanashabikia waarabu yananiudhi kweli basi tu niko peke yangu najua nikijifanya mjanja yatanidunda, nabakia kucheki soka tu bila kushangilia.
Naona viti viko wazi vya ''rangi ya chungwa'' kama vipi hama ili ui-enjoy kabumbu kiongozi.
 
Tusiposhinda gemu ya leo itabidi tuanze kujipanga na nxt year
 
Back
Top Bottom