Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Kuna kujituma na kukosa morali mimi nahisi la pili ndiyo linaloisumbua Klabu kwa sasa.

Wachezaji wanaocheza wametumika for 3 consecutive seasons wakati usajili mpya hauongezi chochote kwenye timu.

Msimu uliopita usajili chanya ni wa Luis Miqussone tu wengine wote wanasugua benchi usajili wa msimu huu the same.

Wachezaji wakitumika muda mrefu tempo ya timu na hamasa ya kupata ushindi huwa inapungua tunahitaji kufanya usajili utakaoleta new motivation kwenye timu.

Yes kabisa mkuu morali iko chini sana ndo maana ukimuangalia mtu kama wawa uchezaji wake wa jana kidogo apate red card make anaipambania timu mpaka inamcost
 
Yes kabisa mkuu morali iko chini sana ndo maana ukimuangalia mtu kama wawa uchezaji wake wa jana kidogo apate red card make anaipambania timu mpaka inamcost
Lakini game plan ya jana ya Mwalimu ilifanikiwa kwa kiwango kikubwa.

First half probably tuliwaheshimu Platinumz kupita kiasi but we managed to tame them.

Second half tulicheza vizuri pia tatizo hatukuweza kuzitumia nafasi nyingi tulizozipata.

An away goal could give us a boost hasa ukizingatia hata Dar es Salaam hatupati matokeo ya magoli mengi.

Second leg tunapaswa kutulia na kutafuta ushindi mkubwa tutumie nafasi tutakazozipata hata kama zitakuwa mbili we have to be clinical on our final third.

Mwalimu angeopt kwenda na Ajib upande wa kushoto au Morrisson tuongeze kasi pande zote mbili za uwanja.

With Ajib tutakuwa na deadball specialists uwanjani lakini pia Ajib or Kahata wanaweza kucheza kwenye spaces ndogo kama ilivyokuwa jana walibana Space kwa Luis na Chama.

Hopefully Ajib or Kahata would have done better than Louis upande wa kushoto.
 
Anawatakia Kheri ya Christmas
IMG-20201225-WA0012.jpg
 
Simba SC is a Tanzanian football club based in Dar es Salaam. Their home games are played at two stadiums Uhuru Stadium and National Stadium. Simba SC is one of two biggest football clubs in Tanzania, their archrivals being the Young Africans. The club had several names during its history, when it was founded in 1936 it was called Queens, then changed to Eagles, Dar Sunderland and later, in 1971 changed to its actual name, Simba (that means Lion in Swahili).
Simba is the biggest also the most titled club in Tanzania.

The highest level of success that Simba SC achieved was getting to the final of the CAF Cup in 1993 where they lost to Stella Abidjan of Ivory Coast. It was the highest achievement on continental competitions reached by any Tanzanian team. One of the most memorable years for the club was 2003 when it knocked off the then reigning champions Egyptian giants Zamalek on its way to qualify for the group stages of the CAF Champions League. In the first round of that year's competition, Simba SC eliminated Santos of South Africa.

Nicknames: Msimbazi street boys ( Wekundu wa Msimbazi)

Simba Sports Club Official Website: www.simba.co.tz


Simba Sports Club Trophies:
Tanzanian Premier League: 20
1965, 1966 (as Sunderland)
1972, 1973, 1976, 1977, 1978, 1979, 1980, 1993, 1994, 1995, 2001, 2002, 2004, 2007, 2009/2010, 2011/12, 2017/18, 2018/19

Tanzanian Cup: 3
1984, 1995, 2000

Tanzanian Tusker Cup: 5
2001, 2002, 2003, 2005
2005 in Kenya

CAF Cup:
Finalist : 1993

CECAFA Clubs Cup: 6
1974, 1991, 1992, 1995, 1996, 2002

Performance in CAF competitions:
2002 - First Round
2003 - Group Stage
2004 - First Round
2005 - First Round
2008 - First Round

African Cup of Champions Clubs: 8 appearances
1974: Semi-Final
1976: Second Round
1977: Second Round
1978: Second Round
1979: Second Round
1980: Second Round
1981: First Round
1995: Second Round

CAF Confederation Cup: 4 appearances
2007 - Preliminary Round
2010 - First round 16

2011 - second round 16
2012 - Second round 16

CAF Cup: 2 appearances
1993 - Finalist
1997 - First Round

CAF Cup Winners' Cup: 3 appearances
1985 - Second Round
1996 - Second Round
2001 - Second Round
You deepened me on my club
 
Simba kama Simba ni indomitable lions of Tanzania. Hakuna kama Simba Wa Africa soon tunakwenda kuweka record kubeba taji LA Africa 2021 , first of all tunamtoa hiyo mzimbabwe ili kuingia group stage, tutashinda 3-0 Mkapa stadium.
 
Perfect Chikwende anawatakia mchana mwema Mwamedi Fc Mikia SC Mbumbumbu United.
 
kocha hovyo kabisa, mi sioni kwanini aliwatoa dilunga na kagere. kagere hakupata clear chance kusema ameshindwa kufunga. miquison ndio mchezaji pekee aliatakiwa kutoka na angeingia ajibu
 
Simba kama Simba ni indomitable lions of Tanzania. Hakuna kama Simba Wa Africa soon tunakwenda kuweka record kubeba taji LA Africa 2021 , first of all tunamtoa hiyo mzimbabwe ili kuingia group stage, tutashinda 3-0 Mkapa stadium.
Una mechi tatu za kimataifa hujashinda taifa

1. Tp mazembe
2. Ud songo
3. Plateu United

Sasa jipe matumaini hewa
 
Back
Top Bottom