Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
IMG-20210107-WA0040.jpg


Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Copy and paste kutoka chanzo kisichokuwa rasmi...

Taarifa fupi ya Sven iko hiviii
.
.
Sven na Simba waliingia mkataba wa kufanya kazi Kwa makubaliano maalum.

Kulikua na kipengele kwenye Mkataba wake kuwa akiivusha team kwenye group stage CL basi ataongezwa mshahara na marupurupu.

Sven aliona ametengeneza CV yake Kwa Simba alivyotaka, kumbuka Kwa ngazi ya vilabu Sven alikua junior Sana...so Kwa Alichokipata Simba kimempaisha Sana.

Sasa juzi baada tu ya game alimwandikia MO email akiomba kuonana nae Jana, Mo akamtaka akutane na CO Yule mdada Kwanza...

Waliongea na Badraaa wee mwisho ikabidi Mo aingilie Kati, Sven alidemand 100% ya kila kitu alichokua anakipata Simba ....

Mfano
1. Nyumba 2M sasa iwe 4 M
2. Gari analipiwa 500K iwe 1M
5. Mshahara 16M sasa iwe 32M

Simba Kwa level zetu hatuna uwezo wa kumlipa Kocha wa aina hiyo.

Mo alikua tayari kumpa mshahara wa 25 M na usafiri WA kawaida na Makazi yabakie vilevile.

Akagoma..
 
Copy and paste kutoka chanzo kisichokuwa rasmi...

Taarifa fupi ya Sven iko hiviii
.
.
Sven na Simba waliingia mkataba wa kufanya kazi Kwa makubaliano maalum.

Kulikua na kipengele kwenye Mkataba wake kuwa akiivusha team kwenye group stage CL basi ataongezwa mshahara na marupurupu.

Sven aliona ametengeneza CV yake Kwa Simba alivyotaka, kumbuka Kwa ngazi ya vilabu Sven alikua junior Sana...so Kwa Alichokipata Simba kimempaisha Sana.

Sasa juzi baada tu ya game alimwandikia MO email akiomba kuonana nae Jana, Mo akamtaka akutane na CO Yule mdada Kwanza...

Waliongea na Badraaa wee mwisho ikabidi Mo aingilie Kati, Sven alidemand 100% ya kila kitu alichokua anakipata Simba ....

Mfano
1. Nyumba 2M sasa iwe 4 M
2. Gari analipiwa 500K iwe 1M
5. Mshahara 16M sasa iwe 32M

Simba Kwa level zetu hatuna uwezo wa kumlipa Kocha wa aina hiyo.

Mo alikua tayari kumpa mshahara wa 25 M na usafiri WA kawaida na Makazi yabakie vilevile.

Akagoma..
Hakuna timu Tz inayoweza kulipa mshahara Wa mil.25 acheni kudanganyana
 
Na awamu hii haingizwi mtu tukutane league ya mabingwa next season hii imeisha naona,hapa al ahly,As vita,na er merreck lazima simba aambue kuingia makundi tu.
 
Back
Top Bottom