Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Hivi nyie watu mpo au mmesusa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yanga Raha saaanaaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hili Soka la Simba sio la nchi hii

Fast and Furious
Alafu Yanga tutasema inacheza soka la wapi?[emoji116][emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20211231-215227.jpg
 
Makolo wazee wa penalty au unaweza kuwaita makolonaty [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huwa najiuliza pale Simba ni mchezaji gani anaweza kupata namba Yanga sioni kabisa.
Wachezaji wa Simba viwango vyao ni vikubwa sana kucheza Yanga haiwezekani.

Ni sawa na Lewandoski aende kucheza Blackpool
 
Wachezaji wa Simba viwango vyao ni vikubwa sana kucheza Yanga haiwezekani.

Ni sawa na Lewandoski aende kucheza Blackpool
Nitajie mchezaji yeyote wa Simba unayehisi anaweza pata namba pale Yanga alafu tumlingashe na mwenye namba yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nitajie mchezaji yeyote wa Simba unayehisi anaweza pata namba pale Yanga alafu tumlingashe na mwenye namba yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnatumia nguvu nyingi kujifananisha na Simba[emoji28]
 
Nitajie mchezaji yeyote wa Simba unayehisi anaweza pata namba pale Yanga alafu tumlingashe na mwenye namba yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna hata mmoja, mnaendelea hapo champions league Zanzibar , kundi lenu malindi si mchezo, kundi la kifo
 
Nitajie mchezaji yeyote wa Simba unayehisi anaweza pata namba pale Yanga alafu tumlingashe na mwenye namba yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwenye kikosi chenu mna wachezaji wawili tu ambao wanaweza kupata nafasi kwenye kikosi cha Simba nao ni Khalid Aucho na Faisal as a substitute
 
Kwenye kikosi chenu mna wachezaji wawili tu ambao wanaweza kupata nafasi kwenye kikosi cha Simba nao ni Khalid Aucho na Faisal as a substitute
Tuanze ss, hebu niambie Manula atamweka benchi Diara? Jibu hapo alafu twende number zinazofuata, yn aibu kulinganisha wachezaji wa Simba na Yanga kwa ss[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tuanze ss, hebu niambie Manula atamweka benchi Diara? Jibu hapo alafu twende number zinazofuata, yn aibu kulinganisha wachezaji wa Simba na Yanga kwa ss[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yes Manula atamuweka benchi Diarra bila shida yoyote.
 
Back
Top Bottom