Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
IMG_20220906_131631.jpg


irene_kilango09~p~CiKTm8HqQwq~1.jpg
 
Kocha wa timu za Coastal Union SC na Simba SC ameondoka leo nchini na Klabu ya Simba kuelekea Malawi kwenye kushiriki mashindano ya CAF!

Atakaporudi ataendelea kuzifundisha timu zake za Coastal Union na Simba kwenye mashindano la ligi ya NBC na Mashindano ya CAF!
 
Kama nilivyowajuza kwamba tumewekeza kwenye timu ya Wanawake, kwasasa kocha wetu wa timu ya Wanawake ndiye amepewa jukumu la kuifundisha timu ya wakubwa ya wanaume kwenye mashindano ya CAF.

Hii ni kutokana na mafanikio makubwa kwenye timu yetu ya soka ya Wanawake!

Ongera sana CEO wetu Barbara!

mwanaspoti_tz~p~CiQf6BiqfEH~1.jpg


IMG-20220908-WA0059.jpg
 
Kama nilivyowajuza kwamba tumewekeza kwenye timu ya Wanawake, kwasasa kocha wetu wa timu ya Wanawake ndiye amepewa jukumu la kuifundisha timu ya wakubwa ya wanaume kwenye mashindano ya CAF.

Hii ni kutokana na mafanikio makubwa kwenye timu yetu ya soka ya Wanawake!

Ongera sana CEO wetu Barbara!

View attachment 2350640

View attachment 2350656
Mnadanganywa kirahisi sana arif
 
Kama nilivyowajuza kwamba tumewekeza kwenye timu ya Wanawake, kwasasa kocha wetu wa timu ya Wanawake ndiye amepewa jukumu la kuifundisha timu ya wakubwa ya wanaume kwenye mashindano ya CAF.

Hii ni kutokana na mafanikio makubwa kwenye timu yetu ya soka ya Wanawake!

Ongera sana CEO wetu Barbara!

View attachment 2350640

View attachment 2350656
Hutuhubu kurudi hapa, fala
 
Wanasimba wenzangu kwanini hamji uwanjani?

Leo hata watazamaji elfu 15 hatukufika.
 
WANA SIMBA TUKAMPGIE KURA BOULAYE DIA KWA WINGI [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom