Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Timu bora Afrika mashariki na kati kwa ss.
tapatalk_998154254_540x562.jpg
 
Hakuna kama Mayele tangu ligi ya mpira wa miguu ianze hapa Tz.

Hakuna kama Diarra tangu ligi ya mpira wa miguu ianze hapa Tz.

Hakuna kama Bangala tangu ligi ya mpira wa miguu ianze hapa Tz.

Hakuna kama Fei tangu ligi ya mpira wa miguu ianze hapa Tz.

Hakuna kama Aziz Ki tangu ligi ya mpira wa miguu ianze hapa Tz.

Hakuna kama Nabi tangu ligi ya mpira wa miguu ianze hapa Tz.

Na hakuna timu iliyowahi kuwa organized kama Yanga hii tangu ligi ya mpira wa miguu ianze hapa Tz, huu ni ukweli mchungu ambao kila mtu anaujua.
Na hakuna beki kama Mwamnyeto tangu Yanga ianze! Ahahahahah!!!
 
CHINUA ACHEBE AMEANDIKA KATIKA RIWAYA YAKE YA "THINGS FALL APART" KWAMBA.
Mtu anayewaalika Jamaa zake kwenye sherehe hafanyi hivyo kwa ajili ya kuwaokoa kwa sababu ya njaa. Waalikwa wote wana vyakula majumbani kwao.
Tunapokusanyika usiku wa mbalamwezi katika ardhi ya kijiji chetu, siyo kwa sababu ya Mbalamwezi.
Kila mmoja angeweza kuiona mbalamwezi akiwa nyumbani kwake.
Tunakusanyika kwasababu ni jambo zuri kwa Jamaa kukusanyika pamoja.

Kwa hiyo tuendelee na umoja wetu ili tufurahie nguvu ya kuwa pamoja.
Tukitabasamu haimaanishi kwamba hatuna matatizo isipokuwa kwasababu tuna nguvu ya kuyashinda matatizo.

Peke yako unaweza kutabasamu lakini mkiwa pamoja mnaweza kucheka.
Ukiwa peke yako unaweza kufurahi lakini mkiwa wengi mnaweza kusherehekea.
Ukiwa peke yako unaweza kutamka lakini mkiwa pamoja mnaweza kuongea.

Tuendeleze mambo ambayo yanaweza kutuunganisha pamoja kuliko mambo ambayo yatasababishaj kutengana[emoji1431].

Nawatakia mema ya Christmas na mwaka mpya 2023. [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji1376][emoji1376][emoji1376]
 
Hizi timu za kariakoo hazijawahi kuwa ktk ubora zote kwa wakati mmoja.... Yanga ikiwa na hali nzuri, simba inakua ktk majanga...na vice versa is true... [emoji848]
Me mwenyewe huwa najiuliza kwnn?
 
Kama makolo mtatoboa kwenye hatua ya makundi na hilo group lenu la wahuni,natupia chooni kadi yangu ya uanachama wa Young african sc.
 
Hakuna kama Mayele tangu ligi ya mpira wa miguu ianze hapa Tz.

Hakuna kama Diarra tangu ligi ya mpira wa miguu ianze hapa Tz.

Hakuna kama Bangala tangu ligi ya mpira wa miguu ianze hapa Tz.

Hakuna kama Fei tangu ligi ya mpira wa miguu ianze hapa Tz.

Hakuna kama Aziz Ki tangu ligi ya mpira wa miguu ianze hapa Tz.

Hakuna kama Nabi tangu ligi ya mpira wa miguu ianze hapa Tz.

Na hakuna timu iliyowahi kuwa organized kama Yanga hii tangu ligi ya mpira wa miguu ianze hapa Tz, huu ni ukweli mchungu ambao kila mtu anaujua.
Utoto
 
Back
Top Bottom