Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Tulia kama upo kitini, ule ni mpira sio misuli ya pawa mabula.

Akienda next stage mtaanza kuleta mapambio ya kubahatisha.
 
Hapa naongea kama mtu wa 3 na sio katika upande wa washindani

I ve to be honest

Sioni mahala popote Simba Sc sio tu kumzidi Al Ahly Bali hata angle ambayo analingana na Ahly.

With due respect kwa wote na mchezo wa mpira wa miguu, kwangu the great achievement Simba Sc wanaweza kufanya katika Michuano hii ya African Super league ni kupata matokeo ya Ushindi katika Uwanja wa Mkapa ila sio kumuondoa Al Ahly katika mashindano haya.

Bado naona Simba Sc wana changamoto kiufundi hasa katika balance eneo la kiungo na kiulinzi changamoto ambazo given wanakuwa pressed, hustled and pushed with speed and quickness ni ngumu kuwa wastahmilivu dhidi ya timu Class ya Ahly.

Hivyo iwe iwavyo siwezi kwa mimi binafsi kutabiri Simba Sc anavuka mbele ya Al Ahly.

All in All Muende mkakipate kile mlicho kikimbilia
Wenye akili kama nyie huwa hamkosekani.
 
Uongozi wa Simba utafakari uwezo wa bench la ufundi chini ya Chief Coach Robertino, kama anaweza kutuvusha kwenye mashindano ya kimataifa na ndani.Timu haina muunganiko na wachezaji hawana utimamu. Coach aweke utaratibu wa kuwachezesha wachezaji wote kwenye mashindano mbalimbali ili kujenga kikosi kipana.Sijui kwa nini vijana kama akina Duchu,chilunda, Mohamed hawapangwi hata kwa dakika chache,ili kuwapa uzoefu na kujiamini,ili inapotokea mchezaji mzoefu anapopata majereha,asiache umbwe kubwa sana
 
Ikikupendeza mungu baba na leo utopolo wapate sare amen
 
20231019_215146.jpg
 
Kuelekea uzinduzi wa AFL 2023 nimewaletea makala ya timu shiriki mpate kujua mafanikio yao katika mashindano ya AFRICA na DUNIA

Al-Ahly
Wamechukua ubingwa Caf Champions league mara 11, ubingwa Caf Winners Cup mara 4, Caf confederation cup mara 1 mwaka 2014 CAF super Cup mara 8 afro Asian Cup mara 1, Arab club champions cup mara 1, Arab Super cup mara 2 Fifa Club World cup nafasi ya 3,

TP Mazembe
Wamechukua ubingwa Caf Champions league mara 5, Winners Cup mara 1 mwaka 1980, Caf confederation cup mara 2 mwaka 2016 na 2017 CAF super Cup mara 3 Fifa Club World cup nafasi ya 2 mwaka 2010,

Wydad Athletic Club
Wamechukua ubingwa Caf Champions league mara 3, Winners Cup mara 1, CAF super Cup mara 1

Esperance de Tunis
Wamechukua ubingwa Caf Champions league mara 4, Winners Cup mara 1, Caf cup mara 1 mwaka 1997 CAF super Cup mara 1 mwaka 1995

Mamelody Sundowns
Wamechukua ubingwa Caf Champions league mara 1 mwaka 2016 na mwaka 2001 waliingia fainali, CAF super Cup mara 1 mwaka 2017

Enyimba
Wamechukua ubingwa Caf Champions league mara 2 mwaka 2003 na 2004, CAF super Cup mara 2

Simba Sports Club
NGUVU MOJA, UNYAMA MWINGI
Wamechukua ubingwa Caf Champions league mara 0,
Winners Cup mara 0,
Caf confederation cup mara 0
CAF super Cup mara 0
na Fifa Club World cup hawajawahi GUSA
 
Back
Top Bottom