Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
aise kweli tujuzeni jamani hatuna access leo za saundi
 
Jamani leo tuko Shamba la Bibi dhidi ya Manyema aka Mkuki Mkali watoto wa King Mputa Maseko Kibaden,....

Ndege ya Uchumi, mpira hauna shamba la bibi.... Sijui tutasemaje baada ya dk 90 kama mambo yakiwa tofauti na matarajio yetu..
 
Ndege ya Uchumi, mpira hauna shamba la bibi.... Sijui tutasemaje baada ya dk 90 kama mambo yakiwa tofauti na matarajio yetu..

Inshalah Vijana wataendelea kutufurahisha ila Matokeo ni dakika 90 tungojee
 
Sasa ni half time matokeo ni bila bila
msijali ushindi tunao ubingwa wakwetu
 
simba 1-manyema 0
dakika ya 18 ulimboka katuweka mbele
mpira unaendelea
 
dakika ya 69 ulimboka anaingia eneo la adhabu inakuwa penati

anaenda kupiga mussa hassan mgosi lalaalaaaaa goooooooooooooooooooooooooooooooo


pipiiii kidedeeedeeaaaaaaaa

simba 2 manyema 0
 
dakika ya 69 ulimboka anaingia eneo la adhabu inakuwa penati

anaenda kupiga mussa hassan mgosi lalaalaaaaa goooooooooooooooooooooooooooooooo


pipiiii kidedeeedeeaaaaaaaa

simba 2 manyema 0

oooooooooooooo kidedea
 
inaonekana ulimboka amekuwa rejuvenated baada ya kuwa majeruhi muda mrefu amefunga moja kisha ametengeneza jengine

goli la mgosi ni goli lake la 13
naona ngassa anafukuza upepo hampati


i can now relax and drink some water

jamaa zetu wajitahidi washike nafasi ya pili tu
 
inaonekana ulimboka amekuwa rejuvenated baada ya kuwa majeruhi muda mrefu amefunga moja kisha ametengeneza jengine

goli la mgosi ni goli lake la 13
naona ngassa anafukuza upepo hampati

Pawasa amelostisha sana Career ya huyu kijana Mwakwingwe
 
mpira umekwisha matokeo ni simba 2-manyema 0
mechi 16 win 15 draw 1 loss 0 points 46

tumebakisha mechi tatu tutwae uchampioni
 
Back
Top Bottom