Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnyama anaendelea kuweka Clean Sheet dose tu nje na ndani ya nchi...BIG UP MNYAMAAAA tafunaa nyam! nyam!
YANGA bwana wao ligi ya nyumbani na makombe ya Kugombea mbuzi.....ndio akili zao zilipo!!!!..ukiwapandisha ndege tu kichefuchefu.....hawawezi,....
vipi ,mechi hii Sheikh Yahya HAKUWEKE utabiri???
He he he ! kwani vyoo ndio vina cheza uwanjani? hapa tunazungumzia kabumbu sio habari za kujisaidia, hiyo itakuwa topic nyingine.Pakeni rangi na kukarabati vyoo jengo lenu...
Pakeni rangi na kukarabati vyoo jengo lenu...
He he he ! kwani vyoo ndio vina cheza uwanjani? hapa tunazungumzia kabumbu sio habari za kujisaidia, hiyo itakuwa topic nyingine.
Usione soo kutupongeza mambo ya choo baadae maana wenye vyoo vizuri walisha yaaga mashindano siku nyingi....karibu msimbazi au kama vipi nipe jina lako kamili nikuletee kadi ya Msimbazi uwe unatembea kifua mbele...Pakeni rangi na kukarabati vyoo jengo lenu...
Pakeni rangi na kukarabati vyoo jengo lenu...
Naaam Mr. Ben-hongera Simba,ninyi ndo mnaoweza tu kutetea heshima ya taifa...hawa wazushi wa kijani na njano wamefulia kote kote,kwenye siasa hadi kwenye soka.Wamewekeza ktk kulitia taifa hasara na aibu tu
De Novo, hii ( black) nimeipendaMkuu singles huwa zinabadilika unayo hii ta ngu mwaka jana bana!!! sisi rangi hatupaki lakini tunalipa mishahara, sasa wewe umepaka rangi mishahara hulipi... vipi yakhe bora afya au bora mali??
nalinganisha yanga na mtu kavaa suti kali lakini njaa tele tumboni... kisa, kutegemea burushi
Usione soo kutupongeza mambo ya choo baadae maana wenye vyoo vizuri walisha yaaga mashindano siku nyingi....karibu msimbazi au kama vipi nipe jina lako kamili nikuletee kadi ya Msimbazi uwe unatembea kifua mbele...
Siwezi kushabikia Simba hasilani abadani.
na mnavyojisifia kuwafunga hao wandebele yaani utadhani mmewafunga Enyimba Musica...
Vizimbabwe vyenyewe vina njaa kuanzia kichwani mpk unyayoni...wanapata mlo mmoja tu kwa siku, halafu eti mnawafunga kisha mnajigamba....
Acheni ushamba nyieee...
Mngemfunga al-ahly si ndo mngeandika habari za Simba mpk kwenye jukwaa la siasa...
the difference between a lion and a slipper is very clear!!!
Kwi kwi kwi😀😀😀.............hahaaaaaaaaaa....Lolz....Anyways(Gang Chomba) Simba watakuwa mabingwa wa CAF mwaka huu,unabisha???🙂🙂.....
yes, na ndio maana tulipowachapa zamalek kwao tuliandika kila mahalaSiwezi kushabikia Simba hasilani abadani.
na mnavyojisifia kuwafunga hao wandebele yaani utadhani mmewafunga Enyimba Musica...
Vizimbabwe vyenyewe vina njaa kuanzia kichwani mpk unyayoni...wanapata mlo mmoja tu kwa siku, halafu eti mnawafunga kisha mnajigamba....
Acheni ushamba nyieee...
Mngemfunga al-ahly si ndo mngeandika habari za Simba mpk kwenye jukwaa la siasa...