njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Kama msimu huu unaoisha tulianzia round ya kwanza tukiwa ranked number 15 kwa ubora afrika na kupata bahati ya timu 5 zilizokuwa juu yetu kuvurunda kwenye domestic leagues zao tukapata nafasi ya kuanzia round ya kwanza why not mwaka huu?
Tuko nafasi ya 14 kwa ubora barani afrika lakini katika teams zilizoko juu yetu uhakika tatu kwenye ligi haziwezi kucheza champions league,team hizo ni Orlando pirates ambao ingawa wana viporo vitatu nafasi mbili z ajuu zishachukuliwa na mamelodi na ajax cape town....pyramids wao wako juu yetu pia lakini kuna kigingi cha ahly na zamalek..huko moroko ,berkane ana kigingi cha wydad na Raja
Sasa shughuli inabaki hapo Tunisia Etoile du sahel anaweza sabisha tukaanzia round ya awali na WAJINGAWAJINGA cha kufurahisha ni kwamba na yeye ana struggle yuko nafasi ya tatu kwenye ligi ndogo ya teams za juu wanaita championship round maana wana system kama ya ubelgiji ligi ikiisha kuna top teams zinagombea ubingwa na bottom ones wana fight relegation
TUENDELEE KUOMBEA SANA HAWA JAMAA WAMALIZE WA TATU AU WA NNE hapo njia nyeupeee kuanzia round ya kwanza na kundi la elites siyo VILAZA
Tuko nafasi ya 14 kwa ubora barani afrika lakini katika teams zilizoko juu yetu uhakika tatu kwenye ligi haziwezi kucheza champions league,team hizo ni Orlando pirates ambao ingawa wana viporo vitatu nafasi mbili z ajuu zishachukuliwa na mamelodi na ajax cape town....pyramids wao wako juu yetu pia lakini kuna kigingi cha ahly na zamalek..huko moroko ,berkane ana kigingi cha wydad na Raja
Sasa shughuli inabaki hapo Tunisia Etoile du sahel anaweza sabisha tukaanzia round ya awali na WAJINGAWAJINGA cha kufurahisha ni kwamba na yeye ana struggle yuko nafasi ya tatu kwenye ligi ndogo ya teams za juu wanaita championship round maana wana system kama ya ubelgiji ligi ikiisha kuna top teams zinagombea ubingwa na bottom ones wana fight relegation
TUENDELEE KUOMBEA SANA HAWA JAMAA WAMALIZE WA TATU AU WA NNE hapo njia nyeupeee kuanzia round ya kwanza na kundi la elites siyo VILAZA