Simba tuendelee kuwaombea Njaa Etoile du sahel wako nafasi ya tatu ligi yao

Simba tuendelee kuwaombea Njaa Etoile du sahel wako nafasi ya tatu ligi yao

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Kama msimu huu unaoisha tulianzia round ya kwanza tukiwa ranked number 15 kwa ubora afrika na kupata bahati ya timu 5 zilizokuwa juu yetu kuvurunda kwenye domestic leagues zao tukapata nafasi ya kuanzia round ya kwanza why not mwaka huu?

Tuko nafasi ya 14 kwa ubora barani afrika lakini katika teams zilizoko juu yetu uhakika tatu kwenye ligi haziwezi kucheza champions league,team hizo ni Orlando pirates ambao ingawa wana viporo vitatu nafasi mbili z ajuu zishachukuliwa na mamelodi na ajax cape town....pyramids wao wako juu yetu pia lakini kuna kigingi cha ahly na zamalek..huko moroko ,berkane ana kigingi cha wydad na Raja

Sasa shughuli inabaki hapo Tunisia Etoile du sahel anaweza sabisha tukaanzia round ya awali na WAJINGAWAJINGA cha kufurahisha ni kwamba na yeye ana struggle yuko nafasi ya tatu kwenye ligi ndogo ya teams za juu wanaita championship round maana wana system kama ya ubelgiji ligi ikiisha kuna top teams zinagombea ubingwa na bottom ones wana fight relegation

TUENDELEE KUOMBEA SANA HAWA JAMAA WAMALIZE WA TATU AU WA NNE hapo njia nyeupeee kuanzia round ya kwanza na kundi la elites siyo VILAZA

tunisia.PNG
ubora afrika 1.PNG
 
Si rahisi, etoile ana timu nzuri, bafo ana kiporp na wa juu yake kamzidi point 3 tu.

Tutengeneze timu nzuri,tukianza kwa aji ga wajinga tuwabomoe vizuri, sio kudharirika kama kwa wajinga jwaneng.. fedhea kubwa saana ile.
 
Si rahisi, etoile ana timu nzuri, bafo ana kiporp na wa juu yake kamzidi point 3 tu.

Tutengeneze timu nzuri,tukianza kwa aji ga wajinga tuwabomoe vizuri, sio kudharirika kama kwa wajinga jwaneng.. fedhea kubwa saana ile.
sidhani kama lile kosa la jwaneng litajirudia, baad aya ile mechi pascal wawa kuchanwa makavu na Gomez wakati alipofukuzwa unaona kabisa wawa alianza kukaza, ile game angecheza Inonga labda hata ule mpira wa kurusha angeweza kuruka...somo viongozi walishalipata team itakaa vizuri mkuu hiiligi iishe tu usajili utangazwe...Etoile nakuhakikishia hamalizi top 2....
 
Sijawahi kuona BINGWA anaanzia MCHANGANI afu RUN UP anaanzia hatua ya PILI.
Hii ni sawa na Bingwa wa EPL aanzie MCHANGANI afu yule wa NNE aanzie GROUP STAGE KISA TU NI BINGWA MTETEZI.

Afrika tuna aina yetu ya ujinga.
 
Sijawahi kuona BINGWA anaanzia MCHANGANI afu RUN UP anaanzia hatua ya PILI.
Hii ni sawa na Bingwa wa EPL aanzie MCHANGANI afu yule wa NNE aanzie GROUP STAGE KISA TU NI BINGWA MTETEZI.

Afrika tuna aina yetu ya ujinga.
Afrika ina mabingwa wa ngapi bwasheee? siyo 54? unataka wote waanzie round ya awali? huoni hapo kwenye top 10 kuna hadi bingwa wa shirikisho berkane, kuna pyrmaids, kuna orlando pirates hawapo hata klabu bingwa?unataka bingwa wa sudan kusini na somalia nao waanzie round ya kwanza?

UBingwa ununue kwa tigo pesa CAf wakupeleke round ya kwanza ? kuna kitu kinaitwa 5 years ranking sytem , youhave to earn it my friend...siyo kila msimu unaanzia round ya kwanza unapigwa nje ndani na kipoint chako 0.5 kwa misimu mitano uje upate magoli kama ya dodoma jiji keeper kusukumia golini kwake uwe bingwa CAF wakupeleke round ya kwanza

YOU HAVE TO EARN IT....
 
Sijawahi kuona BINGWA anaanzia MCHANGANI afu RUN UP anaanzia hatua ya PILI.
Hii ni sawa na Bingwa wa EPL aanzie MCHANGANI afu yule wa NNE aanzie GROUP STAGE KISA TU NI BINGWA MTETEZI.

Afrika tuna aina yetu ya ujinga.
Hapo suala siyo bingwa mtetezi, suala ni yupo namba ngapi kwenye rank ya CAF.

Waona anza makundi ni zile timu ambazo hazipo kwenye top ten ya Africa hata kama kaongoza ligi nyumbani kwake.

Ila kama yupo kwenye top 10 ya CAF, atanzia makundi hata kama yupo run up wa ligi ya nyumbani kwao.

Simba anaomba Eto du Sahel wasiwe nafasi ya pili kwenye ligi yao hivyo Sahel automatically atakuwa amejiondoa kwenye top 10 ya CAF na nafas yake kuchukuliwa na Simba hivyo simba kuanza kwenye makundi ingawa ni namba mbili na Tanga kuanza round ya kwanza licha ya kuongoza ligi ya Tanzania
 
Hapo suala siyo bingwa mtetezi, suala ni yupo namba ngapi kwenye rank ya CAF
Waona anza makundi ni zile timu ambazo hazipo kwenye top ten ya Africa hata kama kaongoza ligi nyumbani kwake
Ila kama yupo kwenye top 10 ya CAF, atanzia makundi hata kama yupo run up wa ligi ya nyumbani kwao
Simba anaomba Eto du Sahel wasiwe nafasi ya pili kwenye ligi yao hivyo Sahel automatically atakuwa amejiondoa kwenye top 10 ya CAF na nafas yake kuchukuliwa na Simba hivyo simba kuanza kwenye makundi ingawa ni namba mbili na Tanga kuanza round ya kwanza licha ya kuongoza ligi ya Tanzania
hawawezi elewa ndugu yangu nashangaaa sana mtu anasema anapenda mpira hata huo utaratibu hajui..kama ni hivyo mabingwa 54 wangekuwa wanaanza round ya kwanza, wamedanganywa na SOPE ALBINO nao wakaamini eti bingwa ndiye ananza round ya kwanza kumbe simba hata msimu huuu tulipata zari la teams 5 kuvurunda ligi zao na mwaka huu kigingi ni huyo mtunisia tualiyeko nafasi ya 11

Maana hapo Horoya na Petro atletico huko kwao ni mabingwa tayari which means , Horoya, Sahel na Atletico watachukua nafasi za orlando, berkane na pyramids
 
Afrika ina mabingwa wa ngapi bwasheee? siyo 54? unataka wote waanzie round ya awali? huoni hapo kwenye top 10 kuna hadi bingwa wa shirikisho berkane, kuna pyrmaids, kuna orlando pirates hawapo hata klabu bingwa?unataka bingwa wa sudan kusini na somalia nao waanzie round ya kwanza?
UBingwa ununue kwa tigo pesa CAf wakupeleke round ya kwanza ? kuna kitu kinaitwa 5 years ranking sytem , youhave to earn it my friend...siyo kila msimu unaanzia round ya kwanza unapigwa nje ndani na kipoint chako 0.5 kwa misimu mitano uje upate magoli kama ya dodoma jiji keeper kusukumia golini kwake uwe bingwa CAF wakupeleke round ya kwanza

YOU HAVE TO EARN IT....
Umemueleza vzr kama ana akili nzuri nadhani amekuelewa
 
Afrika ina mabingwa wa ngapi bwasheee? siyo 54? unataka wote waanzie round ya awali? huoni hapo kwenye top 10 kuna hadi bingwa wa shirikisho berkane, kuna pyrmaids, kuna orlando pirates hawapo hata klabu bingwa?unataka bingwa wa sudan kusini na somalia nao waanzie round ya kwanza?
UBingwa ununue kwa tigo pesa CAf wakupeleke round ya kwanza ? kuna kitu kinaitwa 5 years ranking sytem , youhave to earn it my friend...siyo kila msimu unaanzia round ya kwanza unapigwa nje ndani na kipoint chako 0.5 kwa misimu mitano uje upate magoli kama ya dodoma jiji keeper kusukumia golini kwake uwe bingwa CAF wakupeleke round ya kwanza

YOU HAVE TO EARN IT....
Mzee Baba unajua kumsimanga mtu asee😅😅

Sijui huko aliko yupoje baada ya kusoma reply yako😅
 
Mzee Baba unajua kumsimanga mtu asee😅😅

Sijui huko aliko yupoje baada ya kusoma reply yako😅
jamaa wanadhani ubingwa tanganyika ndo wamemaliza kila kitu hawajui hata bingwa wa zanizbar na mshindi wa pili wanacheza michezo ya CAF au wanataka kina kmkm nao waanzie round ya kwanza? hawajui kwamba ni top 10 teams tu ndiyo maana tunaombea njaa mtu ateleze hapo maana 3 zishateleza..sasa majitu yako nafasi ya 78 labda yaombee njaa teams 69 ziteleze
 
Hapo suala siyo bingwa mtetezi, suala ni yupo namba ngapi kwenye rank ya CAF
Waona anza makundi ni zile timu ambazo hazipo kwenye top ten ya Africa hata kama kaongoza ligi nyumbani kwake
Ila kama yupo kwenye top 10 ya CAF, atanzia makundi hata kama yupo run up wa ligi ya nyumbani kwao
Simba anaomba Eto du Sahel wasiwe nafasi ya pili kwenye ligi yao hivyo Sahel automatically atakuwa amejiondoa kwenye top 10 ya CAF na nafas yake kuchukuliwa na Simba hivyo simba kuanza kwenye makundi ingawa ni namba mbili na Tanga kuanza round ya kwanza licha ya kuongoza ligi ya Tanzania
Umenipa elimu kubwa , asante.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Afrika ina mabingwa wa ngapi bwasheee? siyo 54? unataka wote waanzie round ya awali? huoni hapo kwenye top 10 kuna hadi bingwa wa shirikisho berkane, kuna pyrmaids, kuna orlando pirates hawapo hata klabu bingwa?unataka bingwa wa sudan kusini na somalia nao waanzie round ya kwanza?
UBingwa ununue kwa tigo pesa CAf wakupeleke round ya kwanza ? kuna kitu kinaitwa 5 years ranking sytem , youhave to earn it my friend...siyo kila msimu unaanzia round ya kwanza unapigwa nje ndani na kipoint chako 0.5 kwa misimu mitano uje upate magoli kama ya dodoma jiji keeper kusukumia golini kwake uwe bingwa CAF wakupeleke round ya kwanza

YOU HAVE TO EARN IT....
Khaaaa huyu jamaa sijui kama atarudi hapa

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
hawawezi elewa ndugu yangu nashangaaa sana mtu anasema anapenda mpira hata huo utaratibu hajui..kama ni hivyo mabingwa 54 wangekuwa wanaanza round ya kwanza, wamedanganywa na SOPE ALBINO nao wakaamini eti bingwa ndiye ananza round ya kwanza kumbe simba hata msimu huuu tulipata zari la teams 5 kuvurunda ligi zao na mwaka huu kigingi ni huyo mtunisia tualiyeko nafasi ya 11

Maana hapo Horoya na Petro atletico huko kwao ni mabingwa tayari which means , Horoya, Sahel na Atletico watachukua nafasi za orlando, berkane na pyramids
Mkuu nieleweshe mbona Berkane amekuwa bingwa halafu anatoka top 10.

Kinachokupa Alana hizo za CAF ni performance yako Kwa ligi kuu yako au kombe la Africa ?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom