Hio inafanya kazi gan 😆
We nilikwambia Jana mkono ukajua utani umeuona mkono wake Bwana (Mo) ? Unawapapasa tu nyinyi mpaka wake zenu 🤪😆Ana matangazo 5 kwenye jezi,mbet tangazo moja kifuani analipa bil 3, jamaa mhuni sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha basi huo utani wa ngumu,ile ni picha haipapasiWe nilikwambia Jana mkono ukajua utani umeuona mkono wake Bwana (Mo) ? Unawapapasa tu nyinyi mpaka wake zenu [emoji2957][emoji38]
😆😆😆
Nishanunua tayari...😆😆😆🤪 Kalpana unauliza nini hapa sasa?View attachment 2822671
Tykuone ukiwa umeivaa alafu geuka kwa nyuma tuone mkono wa Bwana unapapasa 🤪Nishanunua tayari...
Kumbe unataka na ww kupapaswa nikununulie? Maana mwiko huko nyuma hauwatoshi...Tykuone ukiwa umeivaa alafu geuka kwa nyuma tuone mkono wa Bwana unapapasa 🤪
Mnapapaswa na mkono wa Bwana 🤪Kumbe unataka na ww kupapaswa nikununulie? Maana mwiko huko nyuma hauwatoshi...
Mna ka ufala flani hivi... 🐸 🐸 🐸 🐸 🐸Mnapapaswa na mkono wa Bwana 🤪
MKONO 🤪Mna ka ufala flani hivi... 🐸 🐸 🐸 🐸 🐸
Utakua umemtamani mdada hapo huna lolote...ww kibonge...
We Nani aanze kutamani makolo? 🤪Utakua umemtamani mdada hapo huna lolote...ww kibonge...
Acha utoto, kwani kila kitu lazima kifanane na Yanga. Jezi ya Yanga ina maajabu gani? Tulitee wewe jezi zisizokuwa na matangazo tuone kama utaweza. Heshimuni watu wanaoweka fedha kwenye mpira.Ukiangalia jezi za Yanga ipo ki-professional na simple lakini Sisi Simba matangazo yapo mengi hadi mgongoni kwa chini.
Hivi unavaaje jezi kama hii kweli,basi maandishi yangekuwa madogo yaani ni bango tosha, huyu Mo analipa kiasi gani kwa haya matangazo ambayo ni makubwa hadi mgongoni?
Hapa ndo Magungu anapofeli wataruhusuje mabango kwenye jezi kiàsi hicho? Kwa Azam ni sawa kwasababu ni timu ya mtu , je kwa Simba? Ina maana hamna makubaliano kiasi kwamba Mo hadi kwenye jezi anachora kote? Haya matangazo analipa kiasi gani?
View attachment 2822001View attachment 2822002
Sent using Jamii Forums mobile app
Tykuone ukiwa umeivaa alafu geuka kwa nyuma tuone mkono wa Bwana unapapasa 🤪
Hayo matangazo anayalipia?Acha utoto, kwani kila kitu lazima kifanane na Yanga. Jezi ya Yanga ina maajabu gani? Tulitee wewe jezi zisizokuwa na matangazo tuone kama utaweza. Heshimuni watu wanaoweka fedha kwenye mpira.
Kamuulize yeye na uache vijiswali uchwara.
Kwa akili yako kama Embet analipa bilion3 kukaa kifuani je huyu aliyeweka kila sehem mpka kwenye bukta anayakiwa alipe bei gn ? Ni zaid ya bilion 10 kwa nwaka anatakiwa alipe. Je analipa?
Sawa ila mm sijwona ubaya hapoSawa tatizo ni designer analeta uchawa kwenye jezi
Jezi sio mbaya tatizo hizo logo utafikiri za bango la matangazoSawa ila mm sijwona ubaya hapo