Simba tunafeli kwenye suala la jezi. Kwanini matangazo mengi?

Simba tunafeli kwenye suala la jezi. Kwanini matangazo mengi?

Mkuu acha basi huo utani wa ngumu,ile ni picha haipapasi

Sent using Jamii Forums mobile app
😆😆😆
b053e5052c7f47f491c93448d33cb56f.jpg


Angalia kwa makini
IMG-20231122-WA0079.jpg


Hujaona mkono hapo au unajitoa akili na udahamu? 🤪
 
Ukiangalia jezi za Yanga ipo ki-professional na simple lakini Sisi Simba matangazo yapo mengi hadi mgongoni kwa chini.

Hivi unavaaje jezi kama hii kweli,basi maandishi yangekuwa madogo yaani ni bango tosha, huyu Mo analipa kiasi gani kwa haya matangazo ambayo ni makubwa hadi mgongoni?

Hapa ndo Magungu anapofeli wataruhusuje mabango kwenye jezi kiàsi hicho? Kwa Azam ni sawa kwasababu ni timu ya mtu , je kwa Simba? Ina maana hamna makubaliano kiasi kwamba Mo hadi kwenye jezi anachora kote? Haya matangazo analipa kiasi gani?

View attachment 2822001View attachment 2822002

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha utoto, kwani kila kitu lazima kifanane na Yanga. Jezi ya Yanga ina maajabu gani? Tulitee wewe jezi zisizokuwa na matangazo tuone kama utaweza. Heshimuni watu wanaoweka fedha kwenye mpira.
 
Mitoto iliyozaliwa uswahilini utaijua tu. Kila kitu inataka kukihusianisha na uchafu uliojaa katika fikra zao.
Tykuone ukiwa umeivaa alafu geuka kwa nyuma tuone mkono wa Bwana unapapasa 🤪
 
Kwan mo halipi..?
Kwa akili yako kama Embet analipa bilion3 kukaa kifuani je huyu aliyeweka kila sehem mpka kwenye bukta anayakiwa alipe bei gn ? Ni zaid ya bilion 10 kwa nwaka anatakiwa alipe. Je analipa?
 
Matangazo hayana shida kama jezi zina ubora.Tukitaka timu ifanye vizuri lazima iwe na pesa na pesa zinatokana na matangazo ya wadhamini.Tujadili ubora wa jezi hayo ya matangazo wala hayana mantiki kwasababu yako kibiashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom