Simba tunarudia makosa tena yale yale. Tatizo liko hapa

Simba tunarudia makosa tena yale yale. Tatizo liko hapa

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Wazee
Wanasimba wenzangu mimi nikiwa mwanachama halali wa simba naumia sana ..

Misimu mitatu au minne nyuma tumekuwa tukileta wachezaji wa hovyo sana. Kisha tukiwatena kwa kuwasingizia kesi mbalimbali.

Angalau basi hata hao wachezaji wawe wamoto sana ila ndiyo vile ndugu mangungu amekuwa ni mtu wa kutupiga na vizito utadhani sisi wanasimba ni mademu zake,

Wenzetu yanga wamebadilika angalia hata usajiri wao hawakosei.

Uzuri wa injinia anapatia sana halafu anakosea kidogo
Wakati kina mangungu wao wanapatia kidooogo na kubugi big time...! Very poor

Tuachane na propaganda za kizamani na tubadili team yetu kwa sasa yanga wametuzidi mbali sana..

Katika usajiri wetu kabla ya msimu kuanza tumeleta magarasa mengi sana na hayachezi.
Yaani yanakula mshahara wa bure na bado uchawi yanapigana misumari kila uchwao..,

Aliyeingia kwenye mfumo ni ngoma na malone tu.
Onana yeye ni homa ya vipindi..!

Mimi naona tu tuvunje team na tuigeuze team ya vicoba vya kinamama na yanga aachwe awakilishe nchi sio kwa ubaya.

Simba nguvu moja.
 
Kinachokusumbua ni Yanga kufanya vizuri katika misimu hii miwili. Hiyo ni kawaisa katika ulimwengu wa soka. Simba haijavurunda sana katika kiasi unachotaka kutuaminisha. Inawezekana pia umeanza ushabiki juzi. Timu hizi zimekuwa zikipishana ubora kwa vipindi. Hata Simba alivuma misimu minne mfululizo.
 
Kinachokusumbua ni Yanga kufanya vizuri katika misimu hii miwili. Hiyo ni kawaisa katika ulimwengu wa soka. Simba haijavurunda sana katika kiasi unachotaka kutuaminisha. Inawezekana pia umeanza ushabiki juzi. Timu hizi zimekuwa zikipishana ubora kwa vipindi. Hata Simba alivuma misimu minne mfululizo.
Kwahiyo sisi simba ni wabovu kwa sasa kuliko wao yanga? Hilo like wazi kabisa nashukuru umekubali
 
Kwahiyo sisi simba ni wabovu kwa sasa kuliko wao yanga? Hilo like wazi kabisa nashukuru umekubali
Ndio na ni kawaida. Huwezi kukaa kwenye peak muda wote. Aliyeko chini naye ni mshindani, lazima afanikiwe siku moja. Tunaona mifano Ulaya kwa Manu Mancity, Liverpool, Chelsea, n.k. Tusiwape pressure isiyo na faida viongozi na wachezaji wetu. Nao wanapenda kufanya vizuri vilevile.
 
Kweli sisi Yanga hatuna akili kama Manara alivyosema.

Hivi taarifa inayotolewa na FIFA unawezaje kuipinga na kusema ni propaganda??
Kweli hata sisi simba ni mbumbumbu kama rage alivyosema.

Unaanzaje kuisema team iliyokubamiza 5g.?
 
Kweli hata sisi simba ni mbumbumbu kama rage alivyosema.

Unaanzaje kuisema team iliyokubamiza 5g.?
Sikujua kuwa ni mwiko kuisema timu iliyokufunga 5
1704117172390.png
 
Ndio na ni kawaida. Huwezi kukaa kwenye peak muda wote. Aliyeko chini naye ni mshindani, lazima afanikiwe siku moja. Tunaona mifano Ulaya kwa Manu Mancity, Liverpool, Chelsea, n.k. Tusiwape pressure isiyo na faida viongozi na wachezaji wetu. Nao wanapenda kufanya vizuri vilevile.
Hakuna kawaida huwezi utarget position moja for a couple of years. Strategically wewe ni failure
 
Wazee
Wanasimba wenzangu mimi nikiwa mwanachama halali wa simba naumia sana ..

Misimu mitatu au minne nyuma tumekuwa tukileta wachezaji wa hovyo sana. Kisha tukiwatena kwa kuwasingizia kesi mbalimbali.

Angalau basi hata hao wachezaji wawe wamoto sana ila ndiyo vile ndugu mangungu amekuwa ni mtu wa kutupiga na vizito utadhani sisi wanasimba ni mademu zake,

Wenzetu yanga wamebadilika angalia hata usajiri wao hawakosei.

Uzuri wa injinia anapatia sana halafu anakosea kidogo
Wakati kina mangungu wao wanapatia kidooogo na kubugi big time...! Very poor

Tuachane na propaganda za kizamani na tubadili team yetu kwa sasa yanga wametuzidi mbali sana..

Katika usajiri wetu kabla ya msimu kuanza tumeleta magarasa mengi sana na hayachezi.
Yaani yanakula mshahara wa bure na bado uchawi yanapigana misumari kila uchwao..,

Aliyeingia kwenye mfumo ni ngoma na malone tu.
Onana yeye ni homa ya vipindi..!

Mimi naona tu tuvunje team na tuigeuze team ya vicoba vya kinamama na yanga aachwe awakilishe nchi sio kwa ubaya.

Simba nguvu moja.
Wewe ni shabiki wa timu gani? Okra yupo, na yule mzanzibar yupo, andika thread kuhusu hao
 
Simba tokea 2019 wamesajili wachezaji 59 makocha 9 wachezaji wote waliongia kwenye mfumo ni 16 tu ndio wapo mpaka sasa yaani viongozi wa simba wanaiba hela mpaka wanajisahau wazee wa 10 percent.
 
Back
Top Bottom