Simba tunarudia makosa tena yale yale. Tatizo liko hapa

Simba tunarudia makosa tena yale yale. Tatizo liko hapa

We unadhani muda wote Huwa nipo jamiiforums? Kuna maisha halisi nje huku, halafu kingine kwenye maisha epuka kuifuatilia/kuifuata/kuitafuta stress.

Mfano tulipopoteza mchezo dhidi ya Yanga ulitaka nihangaike kubishana humu Ili iweje?

Kufungua threads nyingi haimaanishi kuwa ni shabiki Bora.
Swali lilikuwa jepesi umezunguka sana
Kwani sisi wengine unadhani hatuna kazi?
 
Kama sisi Yanga tumewazidi mbali Simba mbona juzi FIFA wametoa orodha ya timu bora Simba ipo nafasi ya 7 sisi hatupo?
Simba mnavuma matunda aliyoyapanda miaka mitano mpaka minne nyuma ila currently mpo ovyo hata leo mkikutana na yanga mnapigwa kirahisi tu.
 
Wazee
Wanasimba wenzangu mimi nikiwa mwanachama halali wa simba naumia sana ..

Misimu mitatu au minne nyuma tumekuwa tukileta wachezaji wa hovyo sana. Kisha tukiwatena kwa kuwasingizia kesi mbalimbali.

Angalau basi hata hao wachezaji wawe wamoto sana ila ndiyo vile ndugu mangungu amekuwa ni mtu wa kutupiga na vizito utadhani sisi wanasimba ni mademu zake,

Wenzetu yanga wamebadilika angalia hata usajiri wao hawakosei.

Uzuri wa injinia anapatia sana halafu anakosea kidogo
Wakati kina mangungu wao wanapatia kidooogo na kubugi big time...! Very poor

Tuachane na propaganda za kizamani na tubadili team yetu kwa sasa yanga wametuzidi mbali sana..

Katika usajiri wetu kabla ya msimu kuanza tumeleta magarasa mengi sana na hayachezi.
Yaani yanakula mshahara wa bure na bado uchawi yanapigana misumari kila uchwao..,

Aliyeingia kwenye mfumo ni ngoma na malone tu.
Onana yeye ni homa ya vipindi..!

Mimi naona tu tuvunje team na tuigeuze team ya vicoba vya kinamama na yanga aachwe awakilishe nchi sio kwa ubaya.

Simba nguvu moja.
hebu fanya utoe huo mwiko nyuma kwanza mpuuzi mkubwa wewe
 
Sisi Yanga bado tunashangilia ushindi wa bao 5-1 maana tunajua kabisa makolo ni timu kubwa Afrika mashariki na kati hivyo na sisi tumeonekana.

Maana walitufunga 5-0 mwaka 2012 tuliumia sana na pia 6-0 mwaka 1977 tulisononeka. Kabla hatujakutana kwenye ligi mara ya mwisho walitukanda 2-0. Yaani hata goli moja huwa atupati wakitukanda.

Tuna haki ya kuweka mabango mji mzima maana hatujui zamu yetu ya kupigwa ni lini.

Nyuma mwiko
 
Wazee
Wanasimba wenzangu mimi nikiwa mwanachama halali wa simba naumia sana ..

Misimu mitatu au minne nyuma tumekuwa tukileta wachezaji wa hovyo sana. Kisha tukiwatena kwa kuwasingizia kesi mbalimbali.

Angalau basi hata hao wachezaji wawe wamoto sana ila ndiyo vile ndugu mangungu amekuwa ni mtu wa kutupiga na vizito utadhani sisi wanasimba ni mademu zake,

Wenzetu yanga wamebadilika angalia hata usajiri wao hawakosei.

Uzuri wa injinia anapatia sana halafu anakosea kidogo
Wakati kina mangungu wao wanapatia kidooogo na kubugi big time...! Very poor

Tuachane na propaganda za kizamani na tubadili team yetu kwa sasa yanga wametuzidi mbali sana..

Katika usajiri wetu kabla ya msimu kuanza tumeleta magarasa mengi sana na hayachezi.
Yaani yanakula mshahara wa bure na bado uchawi yanapigana misumari kila uchwao..,

Aliyeingia kwenye mfumo ni ngoma na malone tu.
Onana yeye ni homa ya vipindi..!

Mimi naona tu tuvunje team na tuigeuze team ya vicoba vya kinamama na yanga aachwe awakilishe nchi sio kwa ubaya.

Simba nguvu moja.
🗣️ Vicoba Fc oyeee!!
 
Simba tokea 2019 wamesajili wachezaji 59 makocha 9 wachezaji wote waliongia kwenye mfumo ni 16 tu ndio wapo mpaka sasa yaani viongozi wa simba wanaiba hela mpaka wanajisahau wazee wa 10 percent.
Dah! Kumbe simba ina mashabiki pia ambao siyo mbumbumbu!!!
 
Back
Top Bottom