Simba tunarudia makosa tena yale yale. Tatizo liko hapa

Simba tunarudia makosa tena yale yale. Tatizo liko hapa

Mmeona nilichowaambia?
Mmeona wachezaji wetu huko zanzibar? Yaani utatamani upasue TV kwa hasira

Simba kwa sasa imekufa
 
Wazee
Wanasimba wenzangu mimi nikiwa mwanachama halali wa simba naumia sana ..

Misimu mitatu au minne nyuma tumekuwa tukileta wachezaji wa hovyo sana. Kisha tukiwatena kwa kuwasingizia kesi mbalimbali.

Angalau basi hata hao wachezaji wawe wamoto sana ila ndiyo vile ndugu mangungu amekuwa ni mtu wa kutupiga na vizito utadhani sisi wanasimba ni mademu zake,

Wenzetu yanga wamebadilika angalia hata usajiri wao hawakosei.

Uzuri wa injinia anapatia sana halafu anakosea kidogo
Wakati kina mangungu wao wanapatia kidooogo na kubugi big time...! Very poor

Tuachane na propaganda za kizamani na tubadili team yetu kwa sasa yanga wametuzidi mbali sana..

Katika usajiri wetu kabla ya msimu kuanza tumeleta magarasa mengi sana na hayachezi.
Yaani yanakula mshahara wa bure na bado uchawi yanapigana misumari kila uchwao..,

Aliyeingia kwenye mfumo ni ngoma na malone tu.
Onana yeye ni homa ya vipindi..!

Mimi naona tu tuvunje team na tuigeuze team ya vicoba vya kinamama na yanga aachwe awakilishe nchi sio kwa ubaya.

Simba nguvu moja.
Mnaropoka sana
 
Tena hiyo ni orodha ya kukadiria tu mkuu ukitulia vizuri hata Mia wanafika

Simba tunatia album walimletaga yule.pape nd'aw aibu
Mangungu anakusanya hela za campaign mwakani achukue fomu ya ubungo
 
Usajili ni kama kamali mkuu. Hata Yanga wamesajili vimeo vingi tu kwenye hiyo miaka
Kindoki
Maybin kalengo
Surpong
Yikpe
Kambole
Bigrimana
Beki la Chan
Balinya
Konkoni
Gift
Moringa
N.k
Hao ni wale wa kimataifa tunaowakumbuka

Makocha
Luc Eymael
Zahera
N.k
Simba wanarudia makosa yale yale.
 
Kuna mashabiki wa Simba walianza kuishabikia Simba kipindi inafanya vizuri zaidi huku mashindano ya ndani nadhani misimu ya kuchukua ubingwa mara 4 mfululizo.

Hawakutegemea ushindani na hawakuwahi kushuhudia mpinzani wetu ( Yanga) ubora wake.

Iko hivi; Kusingekuwa na Yanga hapa Tanzania hata kwa Sasa hizi pressure za mashabiki wenzangu zisingekuwepo.

Tuweni watulivu, TP Mazembe iliwahi kutikisa Afrika hii, lakini ilifika muda ikashuka, hii ndiyo football.

Football wanaoielewa zaidi ni wazungu, wanatoa moyo kwa club zao hata zinapofanya vibaya, wanatoa maoni chanya ya kujenga.

Washabiki wa Simba SC wenzangu, tuweni waungwana, unakuta shabiki anahamasisha wenzake wasiende uwanjani kuishangilia timu, serious???

Hamjui kuwa hata mashabiki pia huchangia kudorola kwa uwezo wa timu?

Penda chako! Nilianza kuipenda Simba SC kipindi Cha Hali ngumu mpka Sasa nafurahia matunda, droo, kupoteza na kushinda vyote ni viambata (package) vya mpira wa miguu, kwamba ukiupenda lazima uvutarajie,

#SimbaNguvuMoja#[emoji881][emoji881][emoji881][emoji1241]
 
Kuna mashabiki wa Simba walianza kuishabikia Simba kipindi inafanya vizuri zaidi huku mashindano ya ndani nadhani misimu ya kuchukua ubingwa mara 4 mfululizo.

Hawakutegemea ushindani na hawakuwahi kushuhudia mpinzani wetu ( Yanga) ubora wake.

Iko hivi; Kusingekuwa na Yanga hapa Tanzania hata kwa Sasa hizi pressure za mashabiki wenzangu zisingekuwepo.

Tuweni watulivu, TP Mazembe iliwahi kutikisa Afrika hii, lakini ilifika muda ikashuka, hii ndiyo football.

Football wanaoielewa zaidi ni wazungu, wanatoa moyo kwa club zao hata zinapofanya vibaya, wanatoa maoni chanya ya kujenga.

Washabiki wa Simba SC wenzangu, tuweni waungwana, unakuta shabiki anahamasisha wenzake wasiende uwanjani kuishangilia timu, serious???

Hamjui kuwa hata mashabiki pia huchangia kudorola kwa uwezo wa timu?

Penda chako! Nilianza kuipenda Simba SC kipindi Cha Hali ngumu mpka Sasa nafurahia matunda, droo, kupoteza na kushinda vyote ni viambata (package) vya mpira wa miguu, kwamba ukiupenda lazima uvutarajie,

#SimbaNguvuMoja#[emoji881][emoji881][emoji881][emoji1241]
Lakini mkifumuliwa huwa unapotea sana chief
 
Kama sisi Yanga tumewazidi mbali Simba mbona juzi FIFA wametoa orodha ya timu bora Simba ipo nafasi ya 7 sisi hatupo?

Wazee wa takwimu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lakini mkifumuliwa huwa unapotea sana chief
We unadhani muda wote Huwa nipo jamiiforums? Kuna maisha halisi nje huku, halafu kingine kwenye maisha epuka kuifuatilia/kuifuata/kuitafuta stress.

Mfano tulipopoteza mchezo dhidi ya Yanga ulitaka nihangaike kubishana humu Ili iweje?

Kufungua threads nyingi haimaanishi kuwa ni shabiki Bora.
 
Back
Top Bottom