Yaani FIFA wakuletee wewe propaganda? Ili wafaidike na nini sasa?Kiufupi ni propaganda sababu yanga wamedominate kila kitu kwa sasa tulichokuwa nacho mpaka wake zetu kaka
Watuletee sio wanileteeYaani FIFA wakuletee wewe propaganda? Ili wafaidike na nini sasa?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Pamoja sanaLeo naanza na 44, bado nina miaka 16 ya utumishi wa umma
Sisi Simba ubora wetu uko kwenye makaratasi tu, nasio uhalisia.Kama sisi Yanga tumewazidi mbali Simba mbona juzi FIFA wametoa orodha ya timu bora Simba ipo nafasi ya 7 sisi hatupo?
Mnaropoka sanaWazee
Wanasimba wenzangu mimi nikiwa mwanachama halali wa simba naumia sana ..
Misimu mitatu au minne nyuma tumekuwa tukileta wachezaji wa hovyo sana. Kisha tukiwatena kwa kuwasingizia kesi mbalimbali.
Angalau basi hata hao wachezaji wawe wamoto sana ila ndiyo vile ndugu mangungu amekuwa ni mtu wa kutupiga na vizito utadhani sisi wanasimba ni mademu zake,
Wenzetu yanga wamebadilika angalia hata usajiri wao hawakosei.
Uzuri wa injinia anapatia sana halafu anakosea kidogo
Wakati kina mangungu wao wanapatia kidooogo na kubugi big time...! Very poor
Tuachane na propaganda za kizamani na tubadili team yetu kwa sasa yanga wametuzidi mbali sana..
Katika usajiri wetu kabla ya msimu kuanza tumeleta magarasa mengi sana na hayachezi.
Yaani yanakula mshahara wa bure na bado uchawi yanapigana misumari kila uchwao..,
Aliyeingia kwenye mfumo ni ngoma na malone tu.
Onana yeye ni homa ya vipindi..!
Mimi naona tu tuvunje team na tuigeuze team ya vicoba vya kinamama na yanga aachwe awakilishe nchi sio kwa ubaya.
Simba nguvu moja.
Mnaropoka sana mnatakiwa muwe na subiraMmeona nilichowaambia?
Mmeona wachezaji wetu huko zanzibar? Yaani utatamani upasue TV kwa hasira
Simba kwa sasa imekufa
Tumeshinda lakini sikutegemea kwa namna tulivyopeleka kikosi kizuri afu tunashinda kwa mbindeMnaropoka sana mnatakiwa muwe na subira
3- 1 ni kushinda kwa mbinde?tuwe wavumilivuTumeshinda lakini sikutegemea kwa namna tulivyopeleka kikosi kizuri afu tunashinda kwa mbinde
Mashabiki wa simba tunalalamika sana ni nawaomba muache kulalamika kila kitu kitakuwa sawaTumeshinda lakini sikutegemea kwa namna tulivyopeleka kikosi kizuri afu tunashinda kwa mbinde
Mangungu anakusanya hela za campaign mwakani achukue fomu ya ubungoTena hiyo ni orodha ya kukadiria tu mkuu ukitulia vizuri hata Mia wanafika
Simba tunatia album walimletaga yule.pape nd'aw aibu
Anagombea wapi huyo?Mangungu anakusanya hela za campaign mwakani achukue fomu ya ubungo
Simba wanarudia makosa yale yale.Usajili ni kama kamali mkuu. Hata Yanga wamesajili vimeo vingi tu kwenye hiyo miaka
Kindoki
Maybin kalengo
Surpong
Yikpe
Kambole
Bigrimana
Beki la Chan
Balinya
Konkoni
Gift
Moringa
N.k
Hao ni wale wa kimataifa tunaowakumbuka
Makocha
Luc Eymael
Zahera
N.k
Yapi hayo?? Si usemeSimba wanarudia makosa yale yale.
Lakini mkifumuliwa huwa unapotea sana chiefKuna mashabiki wa Simba walianza kuishabikia Simba kipindi inafanya vizuri zaidi huku mashindano ya ndani nadhani misimu ya kuchukua ubingwa mara 4 mfululizo.
Hawakutegemea ushindani na hawakuwahi kushuhudia mpinzani wetu ( Yanga) ubora wake.
Iko hivi; Kusingekuwa na Yanga hapa Tanzania hata kwa Sasa hizi pressure za mashabiki wenzangu zisingekuwepo.
Tuweni watulivu, TP Mazembe iliwahi kutikisa Afrika hii, lakini ilifika muda ikashuka, hii ndiyo football.
Football wanaoielewa zaidi ni wazungu, wanatoa moyo kwa club zao hata zinapofanya vibaya, wanatoa maoni chanya ya kujenga.
Washabiki wa Simba SC wenzangu, tuweni waungwana, unakuta shabiki anahamasisha wenzake wasiende uwanjani kuishangilia timu, serious???
Hamjui kuwa hata mashabiki pia huchangia kudorola kwa uwezo wa timu?
Penda chako! Nilianza kuipenda Simba SC kipindi Cha Hali ngumu mpka Sasa nafurahia matunda, droo, kupoteza na kushinda vyote ni viambata (package) vya mpira wa miguu, kwamba ukiupenda lazima uvutarajie,
#SimbaNguvuMoja#[emoji881][emoji881][emoji881][emoji1241]
Huyo ni utopolo halafu ni shabiki wa kizazi cha Azam TVMashabiki wa simba tunalalamika sana ni nawaomba muache kulalamika kila kitu kitakuwa sawa
Kama sisi Yanga tumewazidi mbali Simba mbona juzi FIFA wametoa orodha ya timu bora Simba ipo nafasi ya 7 sisi hatupo?
Mimi ni Yanga damu damu; mwaka huu nitaanza project ya kuwatafuta wanawake wote wa Simba.Kiufupi ni propaganda sababu yanga wamedominate kila kitu kwa sasa tulichokuwa nacho mpaka wake zetu kaka
We unadhani muda wote Huwa nipo jamiiforums? Kuna maisha halisi nje huku, halafu kingine kwenye maisha epuka kuifuatilia/kuifuata/kuitafuta stress.Lakini mkifumuliwa huwa unapotea sana chief