Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
-
- #61
Swali lilikuwa jepesi umezunguka sanaWe unadhani muda wote Huwa nipo jamiiforums? Kuna maisha halisi nje huku, halafu kingine kwenye maisha epuka kuifuatilia/kuifuata/kuitafuta stress.
Mfano tulipopoteza mchezo dhidi ya Yanga ulitaka nihangaike kubishana humu Ili iweje?
Kufungua threads nyingi haimaanishi kuwa ni shabiki Bora.
Simba mnavuma matunda aliyoyapanda miaka mitano mpaka minne nyuma ila currently mpo ovyo hata leo mkikutana na yanga mnapigwa kirahisi tu.Kama sisi Yanga tumewazidi mbali Simba mbona juzi FIFA wametoa orodha ya timu bora Simba ipo nafasi ya 7 sisi hatupo?
Shangaa!🙆🙆🙆🙆Kama sisi Yanga tumewazidi mbali Simba mbona juzi FIFA wametoa orodha ya timu bora Simba ipo nafasi ya 7 sisi hatupo?
hebu fanya utoe huo mwiko nyuma kwanza mpuuzi mkubwa weweWazee
Wanasimba wenzangu mimi nikiwa mwanachama halali wa simba naumia sana ..
Misimu mitatu au minne nyuma tumekuwa tukileta wachezaji wa hovyo sana. Kisha tukiwatena kwa kuwasingizia kesi mbalimbali.
Angalau basi hata hao wachezaji wawe wamoto sana ila ndiyo vile ndugu mangungu amekuwa ni mtu wa kutupiga na vizito utadhani sisi wanasimba ni mademu zake,
Wenzetu yanga wamebadilika angalia hata usajiri wao hawakosei.
Uzuri wa injinia anapatia sana halafu anakosea kidogo
Wakati kina mangungu wao wanapatia kidooogo na kubugi big time...! Very poor
Tuachane na propaganda za kizamani na tubadili team yetu kwa sasa yanga wametuzidi mbali sana..
Katika usajiri wetu kabla ya msimu kuanza tumeleta magarasa mengi sana na hayachezi.
Yaani yanakula mshahara wa bure na bado uchawi yanapigana misumari kila uchwao..,
Aliyeingia kwenye mfumo ni ngoma na malone tu.
Onana yeye ni homa ya vipindi..!
Mimi naona tu tuvunje team na tuigeuze team ya vicoba vya kinamama na yanga aachwe awakilishe nchi sio kwa ubaya.
Simba nguvu moja.
simba ya niokoSimba
🗣️ Vicoba Fc oyeee!!Wazee
Wanasimba wenzangu mimi nikiwa mwanachama halali wa simba naumia sana ..
Misimu mitatu au minne nyuma tumekuwa tukileta wachezaji wa hovyo sana. Kisha tukiwatena kwa kuwasingizia kesi mbalimbali.
Angalau basi hata hao wachezaji wawe wamoto sana ila ndiyo vile ndugu mangungu amekuwa ni mtu wa kutupiga na vizito utadhani sisi wanasimba ni mademu zake,
Wenzetu yanga wamebadilika angalia hata usajiri wao hawakosei.
Uzuri wa injinia anapatia sana halafu anakosea kidogo
Wakati kina mangungu wao wanapatia kidooogo na kubugi big time...! Very poor
Tuachane na propaganda za kizamani na tubadili team yetu kwa sasa yanga wametuzidi mbali sana..
Katika usajiri wetu kabla ya msimu kuanza tumeleta magarasa mengi sana na hayachezi.
Yaani yanakula mshahara wa bure na bado uchawi yanapigana misumari kila uchwao..,
Aliyeingia kwenye mfumo ni ngoma na malone tu.
Onana yeye ni homa ya vipindi..!
Mimi naona tu tuvunje team na tuigeuze team ya vicoba vya kinamama na yanga aachwe awakilishe nchi sio kwa ubaya.
Simba nguvu moja.
Dah! Kumbe simba ina mashabiki pia ambao siyo mbumbumbu!!!Simba tokea 2019 wamesajili wachezaji 59 makocha 9 wachezaji wote waliongia kwenye mfumo ni 16 tu ndio wapo mpaka sasa yaani viongozi wa simba wanaiba hela mpaka wanajisahau wazee wa 10 percent.
Kinachoendelea pale ni upigaji mkuu ushabiki unakaa pembeni.Dah! Kumbe simba ina mashabiki pia ambao siyo mbumbumbu!!!
Mangungu anakusanya hela za campaignYapi hayo?? Si useme
FactSimba mnavuma matunda aliyoyapanda miaka mitano mpaka minne nyuma ila currently mpo ovyo hata leo mkikutana na yanga mnapigwa kirahisi tu.
Tuheshmiane mwanalunyasi mwenzanguhebu fanya utoe huo mwiko nyuma kwanza mpuuzi mkubwa wewe