Utopologist
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 998
- 2,506
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangenyimwa wao wangeongea hadi koo zikaukeNa kuwanyima penalti simba.
🦁Najiuliza Hadi kampuni za kubeti zimpe Simba 1.50 halafu Yanga 3.30 ,wakati Yanga wametoka kuwafunga Simba, hii mechi inaonyesha live Simba anashinda
Referee ndo kafanya biasharaMukoko naye kafanya biashara??
Mkuu kwahiyo refa angefunika Ile penalty alafu akapeta red card ya mukoko au alitakiwa akaushe TuReferee ndo duka
NyumaMwiko leo umewekwa wapi?
Asante kwa kumbukumbu hii.Kuna watu wanasingizia eti walikua pungufu [emoji3][emoji3]
Simba v yanga 2005
Final tusker cup
Victor Costa red card dk ya 38
Mwisho wa game simba 2 -0 yanga
Simba v yanga 2006
Morogoro
Henry Joseph red card dk ya 10
Mwisho wa game simba 1-0 yanga
Mwaka 2017
Simba v yanga
Mkude red card dk ya 28
Mwisho wa game 1-1
Mwaka 2017 tena
Simba v yanga
Bukungu redcar dk ya 59
Mwisho wa game simba 2-1 yanga
Mpaka hapo tuelewane redcard sio kisingizio
Na kwa mpira wa vipesi
Mbwa/Nyani (kama alivyosema coach Luc Eymael ) wanasingizia eti walikua pungufu 😀😀 hebu tuwape kumbukumbuKama kubebwa wameshabebwa tayari! Hata tukibishana haisaidii chochote, ilikuwa kadi ya njano, yeye mwamuzi kakurupuka na kadi nyekundu, mikia bwana kuifunga yanga mpaka msaidiane na mwamuzi pamoja na TFF?
Mbwa/Nyani (kama alivyosema coach Luc Eymael ) wanasingizia eti walikua pungufu 😀😀 hebu tuwape kumbukumbuIli uifunge yanga,lazima mchezaji mmoja umpunguze kwa hiraaa😂😂😂 pamoja nakuwa pungufu kikosi kipana kimehaha na kupotezapoteza mda!!!
Sawa mbeleko FC, timu ya maelekezo na makandokando
Siku nyingine odds zisikudanganye kwenye betting, mechi ya kwanza yanga alikuwa na odds 6 ila akashinda hvyohvyoNajiuliza Hadi kampuni za kubeti zimpe Simba 1.50 halafu Yanga 3.30 ,wakati Yanga wametoka kuwafunga Simba, hii mechi inaonyesha live Simba anashinda