Simba Vs Yanga (1-0) | Shirikisho | Lake Tanganyika. Simba yatwaa ubingwa ASFC

Simba Vs Yanga (1-0) | Shirikisho | Lake Tanganyika. Simba yatwaa ubingwa ASFC

Simba bila makando kando hawajawahi kutufunga na ndio kilichofanyika kutupunguza uwanjani na watutoe kimchezo
Kuna watu wanasingizia eti walikua pungufu 😀😀

Simba v yanga 2005
Final tusker cup
Victor Costa red card dk ya 38

Mwisho wa game simba 2 -0 yanga

Simba v yanga 2006
Morogoro
Henry Joseph red card dk ya 10

Mwisho wa game simba 1-0 yanga

Mwaka 2017
Simba v yanga

Mkude red card dk ya 28

Mwisho wa game 1-1

Mwaka 2017 tena
Simba v yanga

Bukungu redcar dk ya 59
Mwisho wa game simba 2-1 yanga


Mpaka hapo tuelewane redcard sio kisingizio

Na kwa mpira wa vipesi na kurusha mateke Makombe mtayapata ya kunywea Kimpumu.
 
Refa ndo yule yule tuliyemkataaa, TFF hawakuweza kumbadilisha kwasababu tayar alikuwa ana maelekezo ya mojamoja, how comes Referee unachezesha Quater, semi, na final ya timu moja
Kuna watu wanasingizia eti walikua pungufu 😀😀

Simba v yanga 2005
Final tusker cup
Victor Costa red card dk ya 38

Mwisho wa game simba 2 -0 yanga

Simba v yanga 2006
Morogoro
Henry Joseph red card dk ya 10

Mwisho wa game simba 1-0 yanga

Mwaka 2017
Simba v yanga

Mkude red card dk ya 28

Mwisho wa game 1-1

Mwaka 2017 tena
Simba v yanga

Bukungu redcar dk ya 59
Mwisho wa game simba 2-1 yanga


Mpaka hapo tuelewane redcard sio kisingizio

Na kwa mpira wa vipesi
 
Watu na kombe lao

98A11D04-6D58-4A1F-86B1-B31D71A37633.jpeg
 
Bila makandokando simba hawajawahi kutufunga
Kuna watu wanasingizia eti walikua pungufu 😀😀

Simba v yanga 2005
Final tusker cup
Victor Costa red card dk ya 38

Mwisho wa game simba 2 -0 yanga

Simba v yanga 2006
Morogoro
Henry Joseph red card dk ya 10

Mwisho wa game simba 1-0 yanga

Mwaka 2017
Simba v yanga

Mkude red card dk ya 28

Mwisho wa game 1-1

Mwaka 2017 tena
Simba v yanga

Bukungu redcar dk ya 59
Mwisho wa game simba 2-1 yanga


Mpaka hapo tuelewane redcard sio kisingizio

Na kwa mpira wa vipesi
 
Mwaka 2005 fainal ya tusker na 2006 fainali ya kagame cup, Simba ilikuwa pungufu mechi zote lakini alishinda 2:0.
Upungufu siyo inshu.
Na isiwe kisingizio
Ile game kuna wachezaji wetu walifanya biashara mapema, Tshishimbi, na wajinga wengine tuliwatoa ndo waliuza game ile, Inshort bila makandokando huwa hamtoki
 
Kuna watu wanasingizia eti walikua pungufu 😀😀

Simba v yanga 2005
Final tusker cup
Victor Costa red card dk ya 38

Mwisho wa game simba 2 -0 yanga

Simba v yanga 2006
Morogoro
Henry Joseph red card dk ya 10

Mwisho wa game simba 1-0 yanga

Mwaka 2017
Simba v yanga

Mkude red card dk ya 28

Mwisho wa game 1-1

Mwaka 2017 tena
Simba v yanga

Bukungu redcar dk ya 59
Mwisho wa game simba 2-1 yanga


Mpaka hapo tuelewane redcard sio kisingizio

Na kwa mpira wa vipesi
Sawa timu ya maelekezo na makandokando
 
Kuna watu wanasingizia eti walikua pungufu 😀😀

Simba v yanga 2005
Final tusker cup
Victor Costa red card dk ya 38

Mwisho wa game simba 2 -0 yanga

Simba v yanga 2006
Morogoro
Henry Joseph red card dk ya 10

Mwisho wa game simba 1-0 yanga

Mwaka 2017
Simba v yanga

Mkude red card dk ya 28

Mwisho wa game 1-1

Mwaka 2017 tena
Simba v yanga

Bukungu redcar dk ya 59
Mwisho wa game simba 2-1 yanga


Mpaka hapo tuelewane redcard sio kisingizio

Na kwa mpira wa vipesi
Sawa timu ya maelekezo na makandokando fc
 
Ili uifunge yanga,lazima mchezaji mmoja umpunguze kwa hiraaa[emoji23][emoji23][emoji23] pamoja nakuwa pungufu kikosi kipana kimehaha na kupotezapoteza mda!!!

Kuna watu wanasingizia eti walikua pungufu [emoji3][emoji3]

Simba v yanga 2005
Final tusker cup
Victor Costa red card dk ya 38

Mwisho wa game simba 2 -0 yanga

Simba v yanga 2006
Morogoro
Henry Joseph red card dk ya 10

Mwisho wa game simba 1-0 yanga

Mwaka 2017
Simba v yanga

Mkude red card dk ya 28

Mwisho wa game 1-1

Mwaka 2017 tena
Simba v yanga

Bukungu redcar dk ya 59
Mwisho wa game simba 2-1 yanga

Mpaka hapo tuelewane redcard sio kisingizio
 
Kuna watu wanasingizia eti walikua pungufu [emoji3][emoji3]

Simba v yanga 2005
Final tusker cup
Victor Costa red card dk ya 38

Mwisho wa game simba 2 -0 yanga

Simba v yanga 2006
Morogoro
Henry Joseph red card dk ya 10

Mwisho wa game simba 1-0 yanga

Mwaka 2017
Simba v yanga

Mkude red card dk ya 28

Mwisho wa game 1-1

Mwaka 2017 tena
Simba v yanga

Bukungu redcar dk ya 59
Mwisho wa game simba 2-1 yanga

Mpaka hapo tuelewane redcard sio kisingizio
Sawa timu ya maelekezo na makandokando, bila hivyo hakuna kitu
 
Ile game kuna wachezaji wetu walifanya biashara mapema, Tshishimbi, na wajinga wengine tuliwatoa ndo waliuza game ile, Inshort bila makandokando huwa hamtoki
Mukoko naye kafanya biashara??
 
Back
Top Bottom