Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,472
- 6,391
Toa ushoga wako hapa ww, katafute wengine wakukufi**********r********aImekuingia hebu ichomoe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa ushoga wako hapa ww, katafute wengine wakukufi**********r********aImekuingia hebu ichomoe
Simba bila makandokando hajawahi kutufunga, haiwezi kutokea hata siku moja, na ndio maana hiyo Redcard ilikuwa na kwenye mpango muda mrefu sana
Game fairly simba hajawahi kushinda ila ushindi wenu ni wa makandokando na maelekezo sanaPole sana
Sasa makandokando gani yamefanyika pale!!!Mtu anacheza rafu asipewe red kadi kisa yy ni yanga ....Katafute daktali auote mwiko hapo nyuma.Amini hilo mkuu, bila makandokando simba hawawezi kutufunga hata siku moja na ndio yakatokea maelekezo ya sisi Kuchezeshwa pungufu
Ww huwa sifanyi conversations na Mapunga mimi, katafute Mapunga wenzakoTumesha kufi .....mbona tayari au ww ni shoga mzoefu umezoaea kuanzia bao tatu ama....zile tano unazitaka tena subiri ngao ya jamii nitakumwagia tano shoga zoefu[emoji39][emoji39]
Star kwa viwango vya topolos. Ligi nzima kaishia goli 3 na assist 4.Ooh TK master ana mbio, anafungua turbo hakamatiki,,shenziiii
Mimi simjui jina ila mchezaji wao mmoja yule hajasuka wala kufuga nyweleMakando gani wewe kenge MWEUSI. Inamaana kama game ni fainali watu wacheze kwa wanavyotaka ili game isiharibike ? Kuwa na akili mzee ;
Na huyo aliyepewa red card alifanya nini cha maana daki 40; kama kweli alikuwa ni wa muhimu mngekuwa mmeshashinda dakika zote alizocheza.
Shida yenu hamjazoea international game : ndio maana ni VURUGU tu mnataka kumuua kabisa Luis, Dah ! Na mkicheza hivyo klabu bingwa Africa hamtofika mbali.
Mpira ni ushindi, kosa moja goli moja.
Mnaenda kusajili wahuni Halafu mnataka matokeo
Huyo mwamuzi wao huyo tangu robo nusu na huko kigoma .wamebebwa tu mikia mbumbumbu fc hawana loloteKama kubebwa wameshabebwa tayari! Hata tukibishana haisaidii chochote, ilikuwa kadi ya njano, yeye mwamuzi kakurupuka na kadi nyekundu, mikia bwana kuifunga yanga mpaka msaidiane na mwamuzi pamoja na TFF?
Sasa chief ucheze rafu inayostahili redcard usipewe kisa ni fainali or ulitaka mtu achomwe kisu ndiyo card itoke.Game ya fainali unatoa straight red card, referee kaharibu game mapema sana, Simba bila makandokando huwa Hamuwezi kutufunga
Dah! Mabadilko ya mwalimu yote kwa mtazamo wangu ni majanga matupu! Fiston + Farid!! Basi tena! Tujitahidi tu hawa paka wasitufunge magoli mengi.
Acha ushabiki mandazi,mtu kacheza rafu isiyo na sababu halafu asipewe kadi ulitaka apewe chapati!Amini hilo mkuu, bila makandokando simba hawawezi kutufunga hata siku moja na ndio yakatokea maelekezo ya sisi Kuchezeshwa pungufu
Kwangu huku wastaarabu kidogo, wameamua kuondoka kimya kimya
nilikushauri ulale,maana umaandika utoko tuWw shoga ebu nenda kwa Mapunga wenzako
Ww Nenda kaongee na Mapunga wenzakoAcha ushabiki mandazi,mtu kacheza rafu isiyo na sababu halafu asipewe kadi ulitaka apewe chapati!
Mwambie mzee mpili awafundishe vijana nidhamu ya uwanjani. Waache kucheza faulo zisizo na ulazima.
Kucheza pungufu isiwe kisingizio topolos.Nawapongeza yanga kwa kucheza pungufu lakini wakiwa tishio. Sio mbaya, kuna siku kutakuwa na tff nyingine.