Simba Vs Yanga (1-0) | Shirikisho | Lake Tanganyika. Simba yatwaa ubingwa ASFC

Simba Vs Yanga (1-0) | Shirikisho | Lake Tanganyika. Simba yatwaa ubingwa ASFC

Kiko wapi sasa
Screenshot_20210724-195729.jpg


MÊmENtO HoMO
 
Game ya fainali unatoa straight red card, referee kaharibu game mapema sana, Simba bila makandokando huwa Hamuwezi kutufunga

Makando gani wewe kenge MWEUSI. Inamaana kama game ni fainali watu wacheze kwa wanavyotaka ili game isiharibike ? Kuwa na akili mzee ;

Na huyo aliyepewa red card alifanya nini cha maana daki 40; kama kweli alikuwa ni wa muhimu mngekuwa mmeshashinda dakika zote alizocheza.

Shida yenu hamjazoea international game : ndio maana ni VURUGU tu mnataka kumuua kabisa Luis, Dah ! Na mkicheza hivyo klabu bingwa Africa hamtofika mbali.

Mpira ni ushindi, kosa moja goli moja.
Mnaenda kusajili wahuni Halafu mnataka matokeo
 
Bila makando makando mikia hamna kitu,but heshima wanayo now,Yanga pungufu wamefungwa kwa mbinde,hii game walikua hawatoki mikia wamshukuru refa
Amini hilo mkuu, bila makandokando simba hawawezi kutufunga hata siku moja na ndio yakatokea maelekezo ya sisi Kuchezeshwa pungufu
 
Refa ndo yule yule tuliyemkataaa, TFF hawakuweza kumbadilisha kwasababu tayar alikuwa ana maelekezo ya mojamoja, how comes Referee unachezesha Quater, semi, na final ya timu moja
Basi nendeni Nkasi kushitaki wazee wa kulilia makombe ya kesi kesi
 
Makando gani wewe kenge MWEUSI. Inamaana kama game ni fainali watu wacheze kwa wanavyotaka ili game isiharibike ? Kuwa na akili mzee ;

Na huyo aliyepewa red card alifanya nini cha maana daki 40; kama kweli alikuwa ni wa muhimu mngekuwa mmeshashinda dakika zote alizocheza.

Shida yenu hamjazoea international game : ndio maana ni VURUGU tu mnataka kumuua kabisa Luis, Dah ! Na mkicheza hivyo klabu bingwa Africa hamtofika mbali.

Mpira ni ushindi, kosa moja goli moja.
Mnaenda kusajili wahuni Halafu mnataka matokeo
Sawa mkuu, Mbwa mweusi wewe na bila makandokando hamjawahi kutoka kwenye game yeyote ile
 
Back
Top Bottom