herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
🤣🤣🤣🤣Jaman kwan ngao ya Hisani ni lini...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo yanga wanasubiria makombe kutoka CAS..Utata wa Morison unaibuka wakati wa mechi ya Simba na Yanga?mmeliwa.
Kuna mashabiki washauriwe kununua declifenac.Watuwekee hii mechi yote kipindi cha safari.
Refa ndo yule yule tuliyemkataaa, TFF hawakuweza kumbadilisha kwasababu tayar alikuwa ana maelekezo ya mojamoja, how comes Referee unachezesha Quater, semi, na final ya timu mojaRefarii wa kwanza mlimkataa!!! Huyu alikuwa upande wenu....
Ushindi raha hasa kuwafunga Yanga.Morison chizi walahi😅😅😅😅
Mkuu habari yako?Tukatatue mshono pale pale tulipoishia kwa Mkapa tunaendelea.
Young Africans na imani tunaenda kupata matokeo ya ushindi.
Kila la kheri Young Africans na fans wote popote mlipo.
Mlaumuni mkokoteni wenu ...kenchy typeGame ya fainali unatoa straight red card, referee kaharibu game mapema sana, Simba bila makandokando huwa Hamuwezi kutufunga
Simba bila makandokando hajawahi kutufunga, haiwezi kutokea hata siku moja, na ndio maana hiyo Redcard ilikuwa na kwenye mpango muda mrefu sanaKwa hiyo mkuu game za fainali huwa marefa hawatoi straight red cards?
Duuuhhh.
Lalamika kwa mengine mkuu, ila sio ile red card.
"Imeshaisha hiyo" moja Kati ya kauli yake pendwa😂Ooh! Fyoko fyoko mpili, Maramamake yuko wapi sasa!
Bila makando makando mikia hamna kitu,but heshima wanayo now,Yanga pungufu wamefungwa kwa mbinde,hii game walikua hawatoki mikia wamshukuru refaRefa ndo yule yule tuliyemkataaa, TFF hawakuweza kumbadilisha kwasababu tayar alikuwa ana maelekezo ya mojamoja, how comes Referee unachezesha Quater, semi, na final ya timu moja
Kweli mlijiandaaa kuua na mkokoteni wenu. HongereniAll in all wananchi tumeua
HelloWe usie butua mbona haufungi?
asanteKweli mlijiandaaa kuua na mkokoteni wenu. Hongereni