B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
All in all wananchi tumeua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ilikuwa game ya maelekezo mzee, kwenye game madhambi hayaepukiki ila ndo hivyo, game fainal unatoa straight red card, maana yake unaimaliza game halafu unawaachia wachezajiNdo maana imecheleweshwa, ilikuwa iishe dk ya 13
Sizan kama atakuwa na lakusemaTusubiri shombo za 'Manara'.
Refarii wa kwanza mlimkataa!!! Huyu alikuwa upande wenu....Hii game refa kazi yake ilikuwa ni moja tu, kutoa kadi nyekundu kwa Yanga na kuwaachia mchezo simba,
Refa kamaliza jukumu lake tayari
Utata wa Morison unaibuka wakati wa mechi ya Simba na Yanga?mmeliwa.Kwanza simba wamemchezesha morisson ambaye yuko kwenye utata
Kama vipi waende nkasi cjui Cas... DaaadekOn a serious note mkuu, kwa kile kitendo cha Mukoko kweli ulitegemea refa amuache mkuu? Tuweke ushabiki pembeni for once, ile kadi ya Mukoko was straight red card. Labda uongelee mambo mengine.
Kwa hiyo mkuu game za fainali huwa marefa hawatoi straight red cards?Game ya fainali unatoa straight red card, referee kaharibu game mapema sana, Simba bila makandokando huwa Hamuwezi kutufunga
Kwahiyo ulitaka mtu acheze kihuni tu halafu refa amchekee? Hebu tumia akili basi.Game ya fainali unatoa straight red card, referee kaharibu game mapema sana, Simba bila makandokando huwa Hamuwezi kutufunga
Angekua Dar tungekutana nae samak samak leo ..maana ndo kiwanja chake hko...anakuaga na mademu kama wote na meza imejaa ma hennesyBM3 bangi zimepanda kichwani kavua nguo
Nashauri kila behewa kuwe na Ffu 4 hiyo Safari ya Siku mbili hatari fire.Dreva wa treni kasema asubiri mtu anajali muda
apo chacha... waende kucheza mieleka tu soka hawaliwezi Hawa utopo...fceti wanalia,kwa timu gani waliyonayo mbwa hawa
Nashauri kila behewa kuwe na Ffu 4 hiyo Safari ya Siku mbili hatari fire.