Simba Vs Yanga (1-0) | Shirikisho | Lake Tanganyika. Simba yatwaa ubingwa ASFC

Simba Vs Yanga (1-0) | Shirikisho | Lake Tanganyika. Simba yatwaa ubingwa ASFC

IMG-20210725-WA0026.jpg
20210725_201305.jpg
 
Ili uifunge yanga,lazima mchezaji mmoja umpunguze kwa hiraaa😂😂😂 pamoja nakuwa pungufu kikosi kipana kimehaha na kupotezapoteza mda!!!
Kuna watu wanasingizia eti walikua pungufu 😀😀

Simba v yanga 2005
Final tusker cup
Victor Costa red card dk ya 38
Mwisho wa game simba 2 -0 yanga

Simba v yanga 2006
Morogoro
Henry Joseph red card dk ya 10
Mwisho wa game simba 1-0 yanga

Mwaka 2017
Simba v yanga
Mkude red card dk ya 28
Mwisho wa game 1-1

Mwaka 2017 tena
Simba v yanga
Bukungu redcard dk ya 59
Mwisho wa game simba 2-1 yanga


Mpaka hapo tuelewane redcard sio kisingizio. Na je Kipepsi kilipigwa hakikupigwa?
 
Wea patitude, a wanna sho zem ma atitude

Sio mimi ni mmakonde harmonize huyo

[emoji23] [emoji23]
 
Haji Manara tubu utasamehewa!! Ni viziri ukiondoka Simba kwa kuagana kuliko kwa kufukuzwa!! Ukifukuzwa unaonfoka na gundu, mkiagana unaweza kufikiriwa kurudi tena huko mbeleni ukikwama. Kumbuka umaarufu wako unatokana na simba! Bila kuachana na simba vizuri utazomewa mitaani! Simbà 1 - 0 Haji Manara, pole!
 
Simba bila makandokando hajawahi kutufunga, haiwezi kutokea hata siku moja, na ndio maana hiyo Redcard ilikuwa na kwenye mpango muda mrefu sana
Hivi bwashee uliliona lile goli au hukuliona nikutumie clip?

Lile sio goli la kupewa kabisa, hebu uone aibu kutangaza kwamba ushindi wa "#nguvu moja"# ulikuwa ni ushindi wa kupangwa, Wewe huoni hata babu yako mpili amesepa kimya kimya maana yake kakubali kushindwa na mnyama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Hivi bwashee uliliona lile goli au hukuliona nikutumie clip?

Lile sio goli la kupewa kabisa, hebu uone aibu kutangaza kwamba ushindi wa "#nguvu moja"# ulikuwa ni ushindi wa kupangwa, Wewe huoni hata babu yako mpili amesepa kimya kimya maana yake kakubali kushindwa na mnyama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Ushindi wa bila makandokando ni ule wanaume tunafungana tukiwa tumetimia wote uwanjani
 
Ushindi wa bila makandokando ni ule wanaume tunafungana tukiwa tumetimia wote uwanjani

Wewe uliyezaliwa miaka ya 2000s huwezi elewa hizi kumbukumbu. Ngoja nikupe Darsa.

Simba v yanga 2005
Final tusker cup
Victor Costa red card dk ya 38

Mwisho wa game simba 2 -0 yanga

Simba v yanga 2006
Morogoro
Henry Joseph red card dk ya 10

Mwisho wa game simba 1-0 yanga

Mwaka 2017
Simba v yanga

Mkude red card dk ya 28

Mwisho wa game 1-1

Mwaka 2017 tena
Simba v yanga

Bukungu redcar dk ya 59
Mwisho wa game simba 2-1 yanga


Mpaka hapo tuelewane redcard sio kisingizio

Mchague. Kucheza kung fu au football. Mwaka huu tena mnabebwa na Simba michezo ya Kimataifa.
 
O
Wewe uliyezaliwa miaka ya 2000s huwezi elewa hizi kumbukumbu. Ngoja nikupe Darsa.

Simba v yanga 2005
Final tusker cup
Victor Costa red card dk ya 38

Mwisho wa game simba 2 -0 yanga

Simba v yanga 2006
Morogoro
Henry Joseph red card dk ya 10

Mwisho wa game simba 1-0 yanga

Mwaka 2017
Simba v yanga

Mkude red card dk ya 28

Mwisho wa game 1-1

Mwaka 2017 tena
Simba v yanga

Bukungu redcar dk ya 59
Mwisho wa game simba 2-1 yanga


Mpaka hapo tuelewane redcard sio kisingizio

Mchague. Kucheza kung fu au football. Mwaka huu tena mnabebwa na Simba michezo ya Kimataifa.
Sawa
 
Back
Top Bottom