Naam Kama kawaida yetu sisi tuko hapa muda wote ila utopolo watakuja hapa wakishinda tu.Naam kumekucha sasa,usiku wa deni haukawii kukucha. Ghazwat OKW BOBAN SUNZU Dam55 BRN Kizibo Utopologist Mshana Jr Kalpana na wanamsimbazi wote leo Simba anakabidhiwa mwali wa pili kwa kumchakaza vibaya Utopolo."mwanakuli-find mwana kuli-get"
Simba nguvu moja.
Yaani leo ushindi lazima Leo hatoki mtuLeo kuanzia goli 3
Dadadeki, aminia mkuu.Tukishindwa kumchinja kobe tunamdondoshea hata tofali
Hapa hakuna matuta hii game inaisha ndani ya dk 90 tu, hawa wanategemea bahati bahati leo watakiona.Hapana umeona vibaya ebu futa vizuri telescope kisha tazama upya
Nakubaliana na wewe leo hakuna matutaHapa hakuna matuta hii game inaisha ndani ya dk 90 tu, hawa wanategemea bahati bahati leo watakiona.
Kamuulize Mzee ToziIssue ya Manara imeishaje?
Young Africans Sports Club anabeba ndoo.Ule muda wa lawama umewadia. Akili, macho na masikio yote kwa sasa yameelekezwa Kigoma ambako leo Jumapili, kunapigwa pambano la fainali ya Kombe la Shirikisho (ASFC) baina ya Yanga na Simba itakayochezwa katika Uwanja wa Lake Tanganyika. Shilingi yako iko upande gani?
==========
Leo bora wachezaji wafie uwanjani lakini ushindi kwa mnyama lazima
Download application playstore inaitwa Pure entertainmentTuwekeeni link ya kuangalia mechi kupitia mtandao