adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Tonombe..Tonombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Refa ni wenu, sishangai hilo.Yanga wakifungwa watasema Simba kabebwa. Wana lawama sana kama mtoto wa kambo.
Acha ushabiki usio na tija, faulo alizochezewa boko na mukoko ambazo alistahili kuwajibishwa kabla ya red card unakumbuka ni ngapi?Huyo refa katika michezo yote ya Simba aliyo chezasha Simba aliibuka mshindi, so sishangai kwa nini Yanga tulimkataa.
Huyo Refa ni chokostiki, Keyvant ya bimkubwa wake.
Tulia wewe mbumbumbu! Yanga hatuna mambo ya taarab kama nyinyi mkiongozwa na yule mlemavu wenu mnayemlipa laki 7 kwa mwezi!Yanga siwaoni hapa au ndo wanasubiri hadi washinde ndo waje kupiga kelele.
Jiaminini na timu lenu vyura nyie.
Mkuu, for once weka ushabiki pembeni. Game upande wa ipendeleo imeelemea kwa yanga licha ya kadi nyekunduHuyo refa katika michezo yote ya Simba aliyo chezasha Simba aliibuka mshindi, so sishangai kwa nini Yanga tulimkataa.
Huyo Refa ni chokostiki, Keyvant ya bimkubwa wake.
Wewe ni utopolo haswaa huoni kawabeba tukio la mwamnyeto ilikuwa penatHuyo refa katika michezo yote ya Simba aliyo chezasha Simba aliibuka mshindi, so sishangai kwa nini Yanga tulimkataa.
Huyo Refa ni chokostiki, Keyvant ya bimkubwa wake.
Kwamba ile faulo ya Mkoko ilikuwa ni fair challenge au?Huyo refa katika michezo yote ya Simba aliyo chezasha Simba aliibuka mshindi, so sishangai kwa nini Yanga tulimkataa.
Huyo Refa ni chokostiki, Keyvant ya bimkubwa wake.
Wapigwe tuYanga hata wakipigwa washapata kitu cha kujitetea. Lawama zitaanza kwa refa kisha kwa tff. Tonombe pamoja na kumpiga aure biy hatalaumiwa.
Jumba bovu wanaangushiwa refarii na tff.😁😁
Mhhhh punguza mahaba.Mkuu, for once weka ushabiki pembeni. Game upande wa ipendeleo imeelemea kwa yanga licha ya kadi nyekundu