Simba Vs Yanga (1-0) | Shirikisho | Lake Tanganyika. Simba yatwaa ubingwa ASFC

Simba Vs Yanga (1-0) | Shirikisho | Lake Tanganyika. Simba yatwaa ubingwa ASFC

refa wa leo.jpg
 
Refa akiona hawafungi baada ya kumtoa Mukoko eidha atawapa penalty au mpira ukisogea na yupo gari na goli anawafungia kabisa! Nani anamkumbuka Mike Dean alivyoshangilia goli la ya Totenham?
 
Acha ushabiki usio na tija, faulo alizochezewa boko na mukoko ambazo alistahili kuwajibishwa kabla ya red card unakumbuka ni ngapi?

Mbona hukujitokeza kusema refa anaibeba yanga?
Refa ni wenu huyo.
Ila kamwe hamtufungi ng'o.
Game inafika kwenye matuta hii, hapo ndio mtajua kuwa nyinyi ni Mbeleko fc.
 
Back
Top Bottom