SIMBA WALISAJILI CHEAP LABOUR, NI KANUNI YA WAHINDI WENGI ILI KUBANA MATUMIZI NA WAKATI HUO HUO WAKITAKA MAFANIKIO MAKUBWA NI NGUMU KUFANIKIWA!

SIMBA WALISAJILI CHEAP LABOUR, NI KANUNI YA WAHINDI WENGI ILI KUBANA MATUMIZI NA WAKATI HUO HUO WAKITAKA MAFANIKIO MAKUBWA NI NGUMU KUFANIKIWA!

Hii kanuni bwana kanjibhai wa Simba aliitumia ipasavyo kwenye zoezi Zima la usajili msimu huu!
Akutaka kuumiza kichwa kusajili wachezaji Wenye profile kubwa Wala Wenye uzoefu wa michuano ya kimataifa!
Alijua kabisa wachezaji dizaini iyo gharama yake ni kubwa sana na walikuwa wametolewa macho na vilabu vyenye misuli ya kiuchumi ivyo aliamua kwenda kujitafutia cheap labour toka kwenye vilabu ambavyo ata kucheza tu hatua ya makundi shirikisho avijawai kucheza!
Alijua kabisa wale atawapata kwa Bei kitonga ili waje wampe mafanikio makubwa kwenye hatua ya mechi za kimataifa!
Lakini alisahau kwamba ukipanda bangi uwezi kuvuna mahindi ata siku Moja!
Kile tulichokiona jana kwenye mechi kati ya Simba na Ahly ahli tripoli sio kwamba kimetokea kwa bahati mbaya hapana, ni mwendelezo wa kile tulichokuwa tunakiona kwenye usajili wa Simba sisi Wenye jicho la 3!
Uzoefu na ukomavu wa mchezaji kwenye mechi kama hizi za kimataifa ni muhimu sana sana, tumeona wachezaji wengi wa Simba jana walikuwa wanakosa uzoefu na ukomavu kwenye Ile mechi, walikuwa wanacheza utafikiri wanacheza mechi ya ligi kuu au Azam federation cup!
Unamuweka benchi mukwala alafu unamuingiza Valentino mashaka akabadilishe matokeo ni kichekesho aswaa!
Alichoingia kufanya wote mliona, Jean Charles ahou, Debora Fernandez,Joshua mutale, Edwini balua ndio viungo anaotegemea kocha wampe matokeo mechi za kimataifa wakati test ndogo tu ya timu kama Ile wamepoteana mazima!
Ayo ndio matokeo ya kusajili cheap labour lazima ukubali utachokipata, unasajili wachezaji 14, wa viwango vya kawaida ukitegemea kupata return ya matokeo makubwa ni uongo!

Ila wabongo Kwa ujuaji ni noma Sana

Mnakuwa na mawazo ya kuona tem zenu zinaweza kumsajiri hata mesii

Hizi team ni maskini hazina pesa na kiuchumi sio kubwa kiiiiiihvyo

Sasa mnatemea hao wachezaji wa wakubwa watawapata wapi?
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Sio mangungu ni yule swaiba wake na kanjibhai bwana jaribu Tena ndie alisema, ni aina ya wale viongozi wasiotaka kubadilika kulingana na wakati, bado anaamini kwenye propaganda badala ya uhalisia, anadhani Mpira wa sasa ni siasa🤣🤣
Nimekumbuka ni Jaribu Tena alizungumza hivyo sio Mangungu.
 
Nyie ndio wa kuzungumza kuhusu cheap labour wakati mnanunua wachezaji kama sale za nguo Ulaya.Take three pay for two.
Kibabage,Adambwile na Kagoma mlitaka kuwasajili kwa mtungo milioni 60.. Kagoma kawekewa pesa nzuri kasepa na kukwepa huo ujinga.
Usajili wenu wote wa kuwakopa wachezaji ndio sababu Fei Toto akalalamika kula ugali na sukari.
Gongowazi na Singida Fountain Gate ndio mabingwa wa kukopa mnafungiwa kila kukicha na FIFA kwa kushindwa kulipa madeni.
Kagoma mnamganda wa nini kama ni mchezaji wa bei rahisi?Mimacho inawatoka na mwanasheria feki asiyejua tofauti ya buyer na seller.
Nyie kweli wa kuongea?
Halafu unasikia wanasema Simba inasajili wachezaji wa mafungu ona wanachofanya wao. Ona walivyobeba wachezaji wa AS Vita kwa mafungu. Sikumbuki Simba kusajili wachezaji watatu wa mpigo kutoka timu moja, hiyo ndiyo definition ya wachezaji wa mafungu kama hawajui
 
Hii kanuni bwana kanjibhai wa Simba aliitumia ipasavyo kwenye zoezi Zima la usajili msimu huu!
Akutaka kuumiza kichwa kusajili wachezaji Wenye profile kubwa Wala Wenye uzoefu wa michuano ya kimataifa!
Alijua kabisa wachezaji dizaini iyo gharama yake ni kubwa sana na walikuwa wametolewa macho na vilabu vyenye misuli ya kiuchumi ivyo aliamua kwenda kujitafutia cheap labour toka kwenye vilabu ambavyo ata kucheza tu hatua ya makundi shirikisho avijawai kucheza!
Alijua kabisa wale atawapata kwa Bei kitonga ili waje wampe mafanikio makubwa kwenye hatua ya mechi za kimataifa!
Lakini alisahau kwamba ukipanda bangi uwezi kuvuna mahindi ata siku Moja!
Kile tulichokiona jana kwenye mechi kati ya Simba na Ahly ahli tripoli sio kwamba kimetokea kwa bahati mbaya hapana, ni mwendelezo wa kile tulichokuwa tunakiona kwenye usajili wa Simba sisi Wenye jicho la 3!
Uzoefu na ukomavu wa mchezaji kwenye mechi kama hizi za kimataifa ni muhimu sana sana, tumeona wachezaji wengi wa Simba jana walikuwa wanakosa uzoefu na ukomavu kwenye Ile mechi, walikuwa wanacheza utafikiri wanacheza mechi ya ligi kuu au Azam federation cup!
Unamuweka benchi mukwala alafu unamuingiza Valentino mashaka akabadilishe matokeo ni kichekesho aswaa!
Alichoingia kufanya wote mliona, Jean Charles ahou, Debora Fernandez,Joshua mutale, Edwini balua ndio viungo anaotegemea kocha wampe matokeo mechi za kimataifa wakati test ndogo tu ya timu kama Ile wamepoteana mazima!
Ayo ndio matokeo ya kusajili cheap labour lazima ukubali utachokipata, unasajili wachezaji 14, wa viwango vya kawaida ukitegemea kupata return ya matokeo makubwa ni uongo!
Takataka
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Halafu unasikia wanasema Simba inasajili wachezaji wa mafungu ona wanachofanya wao. Ona walivyobeba wachezaji wa AS Vita kwa mafungu. Sikumbuki Simba kusajili wachezaji watatu wa mpigo kutoka timu moja, hiyo ndiyo definition ya wachezaji wa mafungu kama hawajui
Shida sio kusajili wachezaji kutoka timu Moja, shida ni wanavyo viwango Gani hao wachezaji, yanga walipowasajili kina juma shabani toka As vita walikuja na wakaonyesha thamani yao, walichokifanya ata wewe wanakusuta, utawalinganisha na hao wachezaji wenu kina mutale, ebu kuweni na aibu muda mwingine basi!
 
Shida sio kusajili wachezaji kutoka timu Moja, shida ni wanavyo viwango Gani hao wachezaji, yanga walipowasajili kina juma shabani toka As vita walikuja na wakaonyesha thamani yao, walichokifanya ata wewe wanakusuta, utawalinganisha na hao wachezaji wenu kina mutale, ebu kuweni na aibu muda mwingine basi!
Mliwapata kwa bei gani? Wachezaji wa mafungu maana yake unawapata kwa pamoja unapewa kama nyanya sokoni kwa bei rahisi, wengine unapewa wa ziada kama kifungashio. Kwani nyanya hazina thamani kisa umezinunua kwa mafungu?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Mliwapata kwa bei gani? Wachezaji wa mafungu maana yake unawapata kwa pamoja unapewa kama nyanya sokoni kwa bei rahisi, wengine unapewa wa ziada kama kifungashio. Kwani nyanya hazina thamani kisa umezinunua kwa mafungu?
Mpigie Engineer atakwambia ni kiasi Gani alikitumia kuwapata, Na usisahau juma shabani alikuwa kwenye ubora wake kipindi icho akitolewa macho na vilabu vikubwa, pia Kuna nyanya fresh na kuna nyanya zilizooza, Simba wao wamekuwa kama fisi kivizia vile vilivyoachwa ndo wanapita navyo matokeo yake ndio yale ya kupaki basi dhidi ya timu kama Ile!
 
Mpigie Engineer atakwambia ni kiasi Gani alikitumia kuwapata, Na usisahau juma shabani alikuwa kwenye ubora wake kipindi icho akitolewa macho na vilabu vikubwa, pia Kuna nyanya fresh na kuna nyanya zilizooza, Simba wao wamekuwa kama fisi kivizia vile vilivyoachwa ndo wanapita navyo matokeo yake ndio yale ya kupaki basi dhidi ya timu kama Ile!
Unaongea kama umekatwa kichwa unabwabwaja tu. Ingekuwa utani ningeelewa ila ni kwamba haujui hata unachoongea. Wewe ni wa kusamehe tu bure
 
Unaongea kama umekatwa kichwa unabwabwaja tu. Ingekuwa utani ningeelewa ila ni kwamba haujui hata unachoongea. Wewe ni wa kusamehe tu bure
Leta izo thamani za hao wachezaji tatizo lenu nyie mashabiki uchwala uwa amtaki kuambiwa ukweli, Anaebwabwaja ni wewe maana unachokisemea Wala akiendani na usajili wa wachezaji wako hao unaowapamba, yanga alisajili wachezaji Wenye uzoefu na Bora but nyie mmesajili umri na cheap labour na bado mnataka matokeo mazuri labda punguani pekee ndio atakubaliana na hoja zako!
 
Leta izo thamani za hao wachezaji tatizo lenu nyie mashabiki uchwala uwa amtaki kuambiwa ukweli, Anaebwabwaja ni wewe maana unachokisemea Wala akiendani na usajili wa wachezaji wako hao unaowapamba, yanga alisajili wachezaji Wenye uzoefu na Bora but nyie mmesajili umri na cheap labour na bado mnataka matokeo mazuri labda punguani pekee ndio atakubaliana na hoja zako!
Siwezi kupoteza muda kuendelea na huu mjadala ambao mwingine kauita kwa jina sahihi kabisa hizo ni TAKATAKA.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Hii kanuni bwana kanjibhai wa Simba aliitumia ipasavyo kwenye zoezi Zima la usajili msimu huu!
Akutaka kuumiza kichwa kusajili wachezaji Wenye profile kubwa Wala Wenye uzoefu wa michuano ya kimataifa!
Alijua kabisa wachezaji dizaini iyo gharama yake ni kubwa sana na walikuwa wametolewa macho na vilabu vyenye misuli ya kiuchumi ivyo aliamua kwenda kujitafutia cheap labour toka kwenye vilabu ambavyo ata kucheza tu hatua ya makundi shirikisho avijawai kucheza!
Alijua kabisa wale atawapata kwa Bei kitonga ili waje wampe mafanikio makubwa kwenye hatua ya mechi za kimataifa!
Lakini alisahau kwamba ukipanda bangi uwezi kuvuna mahindi ata siku Moja!
Kile tulichokiona jana kwenye mechi kati ya Simba na Ahly ahli tripoli sio kwamba kimetokea kwa bahati mbaya hapana, ni mwendelezo wa kile tulichokuwa tunakiona kwenye usajili wa Simba sisi Wenye jicho la 3!
Uzoefu na ukomavu wa mchezaji kwenye mechi kama hizi za kimataifa ni muhimu sana sana, tumeona wachezaji wengi wa Simba jana walikuwa wanakosa uzoefu na ukomavu kwenye Ile mechi, walikuwa wanacheza utafikiri wanacheza mechi ya ligi kuu au Azam federation cup!
Unamuweka benchi mukwala alafu unamuingiza Valentino mashaka akabadilishe matokeo ni kichekesho aswaa!
Alichoingia kufanya wote mliona, Jean Charles ahou, Debora Fernandez,Joshua mutale, Edwini balua ndio viungo anaotegemea kocha wampe matokeo mechi za kimataifa wakati test ndogo tu ya timu kama Ile wamepoteana mazima!
Ayo ndio matokeo ya kusajili cheap labour lazima ukubali utachokipata, unasajili wachezaji 14, wa viwango vya kawaida ukitegemea kupata return ya matokeo makubwa ni uongo!
Hivi wahindi wanacheza mpira?
 
Mpigie Engineer atakwambia ni kiasi Gani alikitumia kuwapata, Na usisahau juma shabani alikuwa kwenye ubora wake kipindi icho akitolewa macho na vilabu vikubwa, pia Kuna nyanya fresh na kuna nyanya zilizooza, Simba wao wamekuwa kama fisi kivizia vile vilivyoachwa ndo wanapita navyo matokeo yake ndio yale ya kupaki basi dhidi ya timu kama Ile!
Fisi ni nani anayevizia?Case in study makapi ya Simba msimu mmoja wachezaji watatu au tukukumbushe majina?
Fisi aliyezeeka anajulikana kwa matendo yake.
 
Fisi ni nani anayevizia?Case in study makapi ya Simba msimu mmoja wachezaji watatu au tukukumbushe majina?
Fisi aliyezeeka anajulikana kwa matendo yake.
Leta na matokeo yao na mafanikio yao uwanjani, yale makapi tiyali yamebeba vikombe, vipi wale waliopishana nayo waliambulia nini?
 
Siwezi kupoteza muda kuendelea na huu mjadala ambao mwingine kauita kwa jina sahihi kabisa hizo ni TAKATAKA.
Auna hoja za msingi maana timu yako yenyewe inakuumbua Kila kitu kimeonekana jana utadanganya nini sasa!
 
Leta na matokeo yao na mafanikio yao uwanjani, yale makapi tiyali yamebeba vikombe, vipi wale waliopishana nayo waliambulia nini?
Walibeba vikombe wakiwa na timu gani wewe gongowazi?Waliopishana nao ni nani?Unaandika mradi uandike?
 
Hii kanuni bwana kanjibhai wa Simba aliitumia ipasavyo kwenye zoezi Zima la usajili msimu huu!
Akutaka kuumiza kichwa kusajili wachezaji Wenye profile kubwa Wala Wenye uzoefu wa michuano ya kimataifa!
Alijua kabisa wachezaji dizaini iyo gharama yake ni kubwa sana na walikuwa wametolewa macho na vilabu vyenye misuli ya kiuchumi ivyo aliamua kwenda kujitafutia cheap labour toka kwenye vilabu ambavyo ata kucheza tu hatua ya makundi shirikisho avijawai kucheza!
Alijua kabisa wale atawapata kwa Bei kitonga ili waje wampe mafanikio makubwa kwenye hatua ya mechi za kimataifa!
Lakini alisahau kwamba ukipanda bangi uwezi kuvuna mahindi ata siku Moja!
Kile tulichokiona jana kwenye mechi kati ya Simba na Ahly ahli tripoli sio kwamba kimetokea kwa bahati mbaya hapana, ni mwendelezo wa kile tulichokuwa tunakiona kwenye usajili wa Simba sisi Wenye jicho la 3!
Uzoefu na ukomavu wa mchezaji kwenye mechi kama hizi za kimataifa ni muhimu sana sana, tumeona wachezaji wengi wa Simba jana walikuwa wanakosa uzoefu na ukomavu kwenye Ile mechi, walikuwa wanacheza utafikiri wanacheza mechi ya ligi kuu au Azam federation cup!
Unamuweka benchi mukwala alafu unamuingiza Valentino mashaka akabadilishe matokeo ni kichekesho aswaa!
Alichoingia kufanya wote mliona, Jean Charles ahou, Debora Fernandez,Joshua mutale, Edwini balua ndio viungo anaotegemea kocha wampe matokeo mechi za kimataifa wakati test ndogo tu ya timu kama Ile wamepoteana mazima!
Ayo ndio matokeo ya kusajili cheap labour lazima ukubali utachokipata, unasajili wachezaji 14, wa viwango vya kawaida ukitegemea kupata return ya matokeo makubwa ni uongo!
Kumbe AL AHLY TRIPOLI NI TEAM NDOGO, BASI SAWA
 
Back
Top Bottom