SIMBA WALISAJILI CHEAP LABOUR, NI KANUNI YA WAHINDI WENGI ILI KUBANA MATUMIZI NA WAKATI HUO HUO WAKITAKA MAFANIKIO MAKUBWA NI NGUMU KUFANIKIWA!

SIMBA WALISAJILI CHEAP LABOUR, NI KANUNI YA WAHINDI WENGI ILI KUBANA MATUMIZI NA WAKATI HUO HUO WAKITAKA MAFANIKIO MAKUBWA NI NGUMU KUFANIKIWA!

Bila Mo kuondoka Simba watatapatapa sana. Ni kweli mo kasaidoa Simba ila alipofika ndio mwisho wake. Simba watafute mwekezaji mwenye utayari wa kutoa oesa zaidi ya Mo.
Hii kanuni bwana kanjibhai wa Simba aliitumia ipasavyo kwenye zoezi Zima la usajili msimu huu!
Akutaka kuumiza kichwa kusajili wachezaji Wenye profile kubwa Wala Wenye uzoefu wa michuano ya kimataifa!
Alijua kabisa wachezaji dizaini iyo gharama yake ni kubwa sana na walikuwa wametolewa macho na vilabu vyenye misuli ya kiuchumi ivyo aliamua kwenda kujitafutia cheap labour toka kwenye vilabu ambavyo ata kucheza tu hatua ya makundi shirikisho avijawai kucheza!
Alijua kabisa wale atawapata kwa Bei kitonga ili waje wampe mafanikio makubwa kwenye hatua ya mechi za kimataifa!
Lakini alisahau kwamba ukipanda bangi uwezi kuvuna mahindi ata siku Moja!
Kile tulichokiona jana kwenye mechi kati ya Simba na Ahly ahli tripoli sio kwamba kimetokea kwa bahati mbaya hapana, ni mwendelezo wa kile tulichokuwa tunakiona kwenye usajili wa Simba sisi Wenye jicho la 3!
Uzoefu na ukomavu wa mchezaji kwenye mechi kama hizi za kimataifa ni muhimu sana sana, tumeona wachezaji wengi wa Simba jana walikuwa wanakosa uzoefu na ukomavu kwenye Ile mechi, walikuwa wanacheza utafikiri wanacheza mechi ya ligi kuu au Azam federation cup!
Unamuweka benchi mukwala alafu unamuingiza Valentino mashaka akabadilishe matokeo ni kichekesho aswaa!
Alichoingia kufanya wote mliona, Jean Charles ahou, Debora Fernandez,Joshua mutale, Edwini balua ndio viungo anaotegemea kocha wampe matokeo mechi za kimataifa wakati test ndogo tu ya timu kama Ile wamepoteana mazima!
Ayo ndio matokeo ya kusajili cheap labour lazima ukubali utachokipata, unasajili wachezaji 14, wa viwango vya kawaida ukitegemea kupata return ya matokeo makubwa ni uongo!
 
Sasa hivi mnahangaika na Kagoma wakati pesa mliyotoa ilikuwa ndogo, milioni 30 mnataka mlipe kwa awamu halafu unakuja kutoa post ndio maana Eymael alikwambia ukweli mkasema kawatukana.
Sa Kagoma ungekuwa wewe ungetoa zaidi ya M 25?
 
Walibeba vikombe wakiwa na timu gani wewe gongowazi?Waliopishana nao ni nani?Unaandika mradi uandike?
Tuambie ntibanzokiza alibeba kombe Gani akiwa kwenu, Niyomzima pia tuambie!
 
Sijui CBE na Al Ahly Tripoli ipi timu ndogo?.Hawa mazazwa kufikiri kwao ni changamoto.
Yanga anapiga timu zote iwe kubwa iwe ndogo zote zinachezea kichapo na ameshaonyesha ilo kwa vitendo, suala la kujificha kwa cbe aiondoi ukweli kwamba yanga wameshaset standard yao hapa Africa, iwe ugenini iwe nyumbani aijalishi inacheza na nani, na kama nyie ni wanaume tutaona kama mtashinda ata mechi Moja ugenini kwenye ilo kombe la looser!
 
Ntibankiza alisajiliwa kutoka Geita Gold wewe zwazwa.Haruna alichukua ubingwa wa ligi.Umeanza kupenda mpira 2024?
Kwa iyo alitokea wapi kwenda geita gold?
 
Hii kanuni bwana kanjibhai wa Simba aliitumia ipasavyo kwenye zoezi Zima la usajili msimu huu!
Akutaka kuumiza kichwa kusajili wachezaji Wenye profile kubwa Wala Wenye uzoefu wa michuano ya kimataifa!
Alijua kabisa wachezaji dizaini iyo gharama yake ni kubwa sana na walikuwa wametolewa macho na vilabu vyenye misuli ya kiuchumi ivyo aliamua kwenda kujitafutia cheap labour toka kwenye vilabu ambavyo ata kucheza tu hatua ya makundi shirikisho avijawai kucheza!
Alijua kabisa wale atawapata kwa Bei kitonga ili waje wampe mafanikio makubwa kwenye hatua ya mechi za kimataifa!
Lakini alisahau kwamba ukipanda bangi uwezi kuvuna mahindi ata siku Moja!
Kile tulichokiona jana kwenye mechi kati ya Simba na Ahly ahli tripoli sio kwamba kimetokea kwa bahati mbaya hapana, ni mwendelezo wa kile tulichokuwa tunakiona kwenye usajili wa Simba sisi Wenye jicho la 3!
Uzoefu na ukomavu wa mchezaji kwenye mechi kama hizi za kimataifa ni muhimu sana sana, tumeona wachezaji wengi wa Simba jana walikuwa wanakosa uzoefu na ukomavu kwenye Ile mechi, walikuwa wanacheza utafikiri wanacheza mechi ya ligi kuu au Azam federation cup!
Unamuweka benchi mukwala alafu unamuingiza Valentino mashaka akabadilishe matokeo ni kichekesho aswaa!
Alichoingia kufanya wote mliona, Jean Charles ahou, Debora Fernandez,Joshua mutale, Edwini balua ndio viungo anaotegemea kocha wampe matokeo mechi za kimataifa wakati test ndogo tu ya timu kama Ile wamepoteana mazima!
Ayo ndio matokeo ya kusajili cheap labour lazima ukubali utachokipata,

unasajili wachezaji 14, wa viwango vya kawaida ukitegemea kupata return ya matokeo makubwa ni uongo!
Fikiria masimango yote haya , timu imetoa sare. Je, ingefungwa ingekuwaje? Wabongo sina hamu nao kabisa!
 
Yanga anapiga timu zote iwe kubwa iwe ndogo zote zinachezea kichapo na ameshaonyesha ilo kwa vitendo, suala la kujificha kwa cbe aiondoi ukweli kwamba yanga wameshaset standard yao hapa Africa, iwe ugenini iwe nyumbani aijalishi inacheza na nani, na kama nyie ni wanaume tutaona kama mtashinda ata mechi Moja ugenini kwenye ilo kombe la looser!
Kushinda ugenini Simba lashinda sana wewe gongowazi .Amefika,robo fainali 5 ndani ya miaka 5.
Tena kashinda Nigeria,Congo, Angola na kuongoza kundi alilokuwepo Bingwa wa Africa AL Alhly.Ndio maana Gongowazi mnaanza preminary round kwenye mashindano ya Africa. SIMBA kashavuka huko.Nyie bado level moja na Azam,Coastal Union na Namungo.Kazeni buti muweke legacy wacheni porojo.
 
WhatsApp Image 2024-09-15 at 22.12.54.jpeg
 
Wako kwenye foleni ya supu .Sura za njaa.
 
Leta izo thamani za hao wachezaji tatizo lenu nyie mashabiki uchwala uwa amtaki kuambiwa ukweli, Anaebwabwaja ni wewe maana unachokisemea Wala akiendani na usajili wa wachezaji wako hao unaowapamba, yanga alisajili wachezaji Wenye uzoefu na Bora but nyie mmesajili umri na cheap labour na bado mnataka matokeo mazuri labda punguani pekee ndio atakubaliana na hoja zako!
We nawe unapoteza nguvu bure.
Unapigia mbuzi gitaa.
Kitendo tu cha kuwaona kina Djuma shaban hawana thamani kisa wamenunuliwa kwa mpigo ulitakiwa uache kubishana naye huyo.
Wachezaji walionunuliwa kutoka AS vita kwa Mafungu WOTE WALIONESHA KIWANGO KIKUBWA.
Tena msimu wa kwanza tu walionesha kiwango hadi timu kubwa zikawatamani.
Aya waangalie kina mutale na Debora vichekesho vitupu.
 
Kushinda ugenini Simba lashinda sana wewe gongowazi .Amefika,robo fainali 5 ndani ya miaka 5.
Tena kashinda Nigeria,Congo, Angola na kuongoza kundi alilokuwepo Bingwa wa Africa AL Alhly.Ndio maana Gongowazi mnaanza preminary round kwenye mashindano ya Africa. SIMBA kashavuka huko.Nyie bado level moja na Azam,Coastal Union na Namungo.Kazeni buti muweke legacy wacheni porojo.
Kwaiyo kwa sasa mmebaki jina tu, unatuletea historia hapa, kipindi cha korona nchi ziko lockdown ndio mafanikio unayotuletea hapa miaka 5 iliyopita, endeleeni kuishi kwa historia kama amtoshushwa hapo na ushiriki wenu wa kombe la looser!
 
We nawe unapoteza nguvu bure.
Unapigia mbuzi gitaa.
Kitendo tu cha kuwaona kina Djuma shaban hawana thamani kisa wamenunuliwa kwa mpigo ulitakiwa uache kubishana naye huyo.
Wachezaji walionunuliwa kutoka AS vita kwa Mafungo WOTE WALIONESHA KIWANGO KIKUBWA.
Tena msimu wa kwanza tu walionesha kiwango hadi timu kubwa zikawatamani.
Aya waangalie kina mutale na Debora vichekesho vitupu.
Yule keshaingia mitini maana alikuwa analeta viroja badala ya hoja, alafu anaongea utafikiri timu yake ilikuwa inacheza Mpira chumbani akuna aliyekuwa anaona!
 
Back
Top Bottom