Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bocco ni foreigner?Unamtoa baleke unamuacha bocco, dah
Baleke nitamkumbuka katika zile nyakati alizokuwa bora, the sane goes to Phiri.Dah hapo kwa Baleke ndipo Simba walipoyumba, ila kwa kuwa alikuja kwa mkopo sawa. Kila la heri huko aendako
Moja ya nyakati zake kwenye mpira ambapo nilikuwa disappointed naye ni ile 1st leg na Wydad.Ila tuwe wakweli Baleke ameyumba msimu huu, hana makeke kama aliyoyaonesha msimu uliopita mwishoni!
Carasco kama carasco huna baya😀😀Duhhh mm YANGA damu ila baleke namkubali sana
Kwa hiyo ukiwa sio foreigner unavumiliwa tu? Vile anavyoachwa Baleke vile vile ilifaa na Bocco aachwe, simba sio timu ya taifa.Bocco ni foreigner?
Si ungeenda kucheza wewe?Moja ya nyakati zake kwenye mpira ambapo nilikuwa disappointed naye ni ile 1st leg na Wydad...