Simba wameachana na wachezaji Jean Baleke pamoja na Moses Phiri

Simba wameachana na wachezaji Jean Baleke pamoja na Moses Phiri

Kwa hiyo ukiwa sio foreigner unavumiliwa tu? Vile anavyoachwa Baleke vile vile ilifaa na Bocco aachwe, simba sio timu ya taifa.
Hili swala tulishalijadili humu

Nitajie striker mzawa anayeweza ku fill gape la Bocco.

Tumie hata rekodi za msimu uliopita kuchagua nani Striker mkali ambaye unamuona angeweza ku fit pale Simba.
 
Hili swala tulishalijadili humu

Nitajie striker mzawa anayeweza ku fill gape la Bocco.

Tumie hata rekodi za msimu uliopita kuchagua nani Striker mkali ambaye unamuona angeweza ku fit pale Simba.
Kwa nini striker wa kumrithi Bocco lazima awe mzawa?
 
Kwa nini striker wa kumrithi Bocco lazima awe mzawa?
Kama striker wa kumrithi Bocco si lazima we mzawa, niambie ni ipi sababu ya kumfukuza Bocco ikiwa kuna Strikers foreigners wamesajiliwa?
 
Kama striker wa kumrithi Bocco si lazima we mzawa, niambie ni ipi sababu ya kumfukuza Bocco ikiwa kuna Strikers foreigners wamesajiliwa?
Kwani Erasto Nyoni alivyoachwa hakukuwa na mabeki na viungo wa kigeni waliosajiliwa?
 
Kwani Erasto Nyoni alivyoachwa hakukuwa na mabeki na viungo wa kigeni waliosajiliwa?
Nitajie position ya Erasto Nyoni aliyokuwa anacheza halafu unipe na mfano wa foreigner aliyesajiliwa kumbadili
 
Nitajie position ya Erasto Nyoni aliyokuwa anacheza halafu unipe na mfano wa foreigner aliyesajiliwa kumbadili
Nyoni alikuwa anacheza kiungo au beki na hakuwa first 11, na baada ya yeye kuondoka kuna mabeki na viungo wamesajiliwa. Lakini pamoja na hayo Bocco hajitolei hivyo kutetea kwamba kwa vile kuna foreign strikers wamesajiliwa basi Bocco abaki hata kama kiwango chake ni kidogo hiyo timu inakuwa haioni mbele.

Ukimbakisha Bocco halafu una foreign strikers wengine maana yake unawanyima nafasi vijana wadogo akina Mohammed Musa. Sasa huyo Bocco mpya utampata wapi au unasubiri atengenezwe Geita Gold kwa nini husimtengeneze mwenyewe?
 
Ila tuwe wakweli Baleke ameyumba msimu huu, hana makeke kama aliyoyaonesha msimu uliopita mwishoni!
Na hii ni kawaida kwa mchezaji yeyote yule, Azizi ki aliwahi kupitia nyakati hizo, hata first eleven hakuwa ananza, Mwamnyeto pia imewahi kumtokea.
 
Nyoni alikuwa anacheza kiungo au beki na hakuwa first 11, na baada ya yeye kuondoka kuna mabeki na viungo wamesajiliwa. Lakini pamoja na hayo Bocco hajitolei hivyo kutetea kwamba....
Katika hao mabeki waliosajiliwa hakuna wazawa?
 
Simba timu mwaka huu mbovu sana, sbb kubwa ya Simba kuyumba na kukosa wachezaji wazuri ni mwekezaji feki mwenye share feki alizopata bure kabisa na hajatoa hata senti moja katika zile tshs 20 bil…

Sasa mwekezaji shareholder feki ulitegemea timu ifanye vizuri kweli? TFF ingefaa iingilie umiliki wa Simba ni uhuni mtupu.. Mimi Yanga, ila Simba ikifa tutakosa upinzani mzuri wa mpira Tz.
 
Tatizo la Simba mashabiki wapo serious kuliko viongozi na wachezaji
 
Subiri sasa matambara yatakayoletwa utasema bora hawa walioachwa. Simba ni upigaji tu

Ulitaka waendelee kuwepo? Mapinduzi ndio ilikuwa kipimo Chao Cha mwisho wakaboronga.
 
Back
Top Bottom