buhoro ksl
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 248
- 246
Hii klabu ya Simba tangu zamani imeundwa kwa mifumo ya kishirikina shirikina, jana walitakiwa wafunge goli 3-0, nikiwa na maana ya yanga leo naye kushinda bao 4-0.
Tatizo linaanza mchezo wa jana mipira miwili tu ndio ilihusika na kwa mara ya kwanza kwenye historia nimeona maajabu ya mpira kuandikwa kwa megapen tena mechi ya mashindano makubwa kama ile
Makolo Makolo Makolo nimewaita mara tatu chezeni mpira acheni uchawi
Nb: Uchawi mwisho ni robo fainali
Tatizo linaanza mchezo wa jana mipira miwili tu ndio ilihusika na kwa mara ya kwanza kwenye historia nimeona maajabu ya mpira kuandikwa kwa megapen tena mechi ya mashindano makubwa kama ile
Makolo Makolo Makolo nimewaita mara tatu chezeni mpira acheni uchawi
Nb: Uchawi mwisho ni robo fainali