To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
😍😍😍You are such a kind man.....maisha yenyewe haya ....mafupii stress za niniMaisha yenyewe haya haya tu,yanini nife mapema
Jana nilibana mbupu were Ili mgongeswe shoo,wapiii
Lilivyoingia lile goli la Cama lile alilowachambua mabeki ya Horoya Kama karanga uzalendo ukanishinda,ghafla nikajikuta nipo wima nalishangilianlile goli
Mke anipe stress,wanafunzi shuleni wanipe stress sinnitakufa kabla ya siku zangu kama nitaziongezea na stress za kumchukia Simba
Makolo jana mmetuheshimisha,wageni wataogopa kuja bongo