buhoro ksl
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 248
- 246
Uchawi wao unausikaje na ushindi wetu wa Leo!?Hii klabu ya simba tangu zamani imeundwa kwa mifumo ya kishirikina shirikina, jana walitakiwa wafunge goli 3-0, nikiwa na maana ya yanga leo naye kushinda bao 4-0...
Seven daysMada yako inatekenya kweli....hatutaki kucheka asubuhi asubuhi.....em naomba nijibu swali hili mkuu:HOW MANY DAYS IN THE WEEK?
Kibongobongo hakuna timu inayotisha kwa ushirikina kama yangaHii klabu ya simba tangu zamani imeundwa kwa mifumo ya kishirikina shirikina, jana walitakiwa wafunge goli 3-0, nikiwa na maana ya yanga leo naye kushinda bao 4-0...
πππππ€ Yaan we mwamba hutaki stress kabisa πSeven days
Nenda kanisani wewe,ukatubu uchawai wenu wa janaπππππ€ Yaan we mwamba hutaki stress kabisa π
Mada yako inatekenya kweli....hatutaki kucheka asubuhi asubuhi.....em naomba nijibu swali hili mkuu:HOW MANY DAYS IN THE WEEK?
πππππ€ Mambo?Nenda kanisani wewe,ukatubu uchawai wenu wa jana
Akikujibu niambieUchawi wao unausikaje na ushindi wetu wa Leo!?
πππWasije wakajisahaulisha wakasema 3daysπ€Έπ₯π₯
Mbona mmejawa hofu shida ninini?mkuu mshana jr waeleze makolo wenzako uliona wapi mpira utakaotumika kwenye mchezo ukiwa umechafuliwa vile, hii ni mara ya kwanza inatokea tanzania
Hii klabu ya Simba tangu zamani imeundwa kwa mifumo ya kishirikina shirikina, jana walitakiwa wafunge goli 3-0, nikiwa na maana ya yanga leo naye kushinda bao 4-0...
Maisha yenyewe haya haya tu,yanini nife mapemaπππππ€ Yaan we mwamba hutaki stress kabisa π
Mambo mabaya,yatakua mazuri tukishinda leo,utakunywa sodaπππππ€ Mambo?