😍😍😍You are such a kind man.....maisha yenyewe haya ....mafupii stress za niniMaisha yenyewe haya haya tu,yanini nife mapema
Jana nilibana mbupu were Ili mgongeswe shoo,wapiii
Lilivyoingia lile goli la Cama lile alilowachambua mabeki ya Horoya Kama karanga uzalendo ukanishinda,ghafla nikajikuta nipo wima nalishangilianlile goli
Mke anipe stress,wanafunzi shuleni wanipe stress sinnitakufa kabla ya siku zangu kama nitaziongezea na stress za kumchukia Simba
Makolo jana mmetuheshimisha,wageni wataogopa kuja bongo
Asante Kwa ule uzi wako,umeniamusha Toka usingizin😍😍😍You are such a kind man.....maisha yenyewe haya ....mafupii stress za nini
Sawa,nawaombea piaMambo mabaya,yatakua mazuri tukishinda leo,utakunywa soda
Ndo uwe unajinunulia,wake hatufananiAsante Kwa ule uzi wako,umeniamusha Toka usingizin
Watu wanateseka buure kwa kushindwa kuapreciate tu ushindi wa SimbaAkikujibu niambie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo kila mtu ataandika faraja [emoji23]View attachment 2557441
Kwahiyo Ndugu Mshana sasa hivi Simba tuna kikosi bora na kipana, tuna Kocha bora wala hatuna mapungufu yoyote na tutegemee kubeba kombe la CAF, au jana tulikutana na mfano wa timu tukajitandikia kisawasawa?Leo kila mtu ataandika faraja [emoji23]View attachment 2557441
Kabisa leo YANGA FC atapigwa kipigo kitakatifu toka kwako Nabii uchwara [emoji38]Hiii tushaijuq....mnajua ni nini kinaenda kuwakumba pale kwa mkapa leo
Na naomba hata ziwe saba tu kelele ziishe mtaaniKabisa leo YANGA FC atapigwa kipigo kitakatifu toka kwako Nabii uchwara [emoji38]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Simba na ushirikina ni mate na ulimi, siku wakiacha imani za kipuuzi puuzi watafika mbali sana kimataifa Africa na hata duniani.mkuu mshana jr waeleze makolo wenzako uliona wapi mpira utakaotumika kwenye mchezo ukiwa umechafuliwa vile, hii ni mara ya kwanza inatokea tanzania
BADO HP HAJAFUKUZWA TU???Kibongobongo hakuna timu inayotisha kwa ushirikina kama yanga
Watu hawafanani tabia na hawatafanana kamwe! Acha asili ijidhihirishe katika tabia.Watu wanateseka buure kwa kushindwa kuapreciate tu ushindi wa Simba
Wacha wafe na tai zao shingoni
Asante Kwa ule uzi wako,umeniamusha Toka usingizin
Si tulikubaliana kuwa kila mtu ashinde mechi zake sasa haya mayowe ya nini tena jamani?Hii klabu ya Simba tangu zamani imeundwa kwa mifumo ya kishirikina shirikina, jana walitakiwa wafunge goli 3-0, nikiwa na maana ya yanga leo naye kushinda bao 4-0.
Tatizo linaanza mchezo wa jana mipira miwili tu ndio ilihusika na kwa mara ya kwanza kwenye historia nimeona maajabu ya mpira kuandikwa kwa megapen tena mechi ya mashindano makubwa kama ile
Makolo Makolo Makolo nimewaita mara tatu chezeni mpira acheni uchawi
Nb: Uchawi mwisho ni robo fainali
Duniani ni kelele mwanzo mwisho, huku Watu wanaburudika na mpira, kule Watu wanapigana vita Russia vs NATO uwanjani Ukraine, hapa tunaburudika na JF.Na naomba hata ziwe saba tu kelele ziishe mtaani
Kwenye mashindano yote ya CAF tangu ianzishwe hakujawahi kutokea ushindi mnono wa kifurushi cha magoli kama alivyofanya jana SIMBA kwa Horoya.. Hayo mengine siyajuiKwahiyo Ndugu Mshana sasa hivi Simba tuna kikosi bora na kipana, tuna Kocha bora wala hatuna mapungufu yoyote na tutegemee kubeba kombe la CAF, au jana tulikutana na mfano wa timu tukajitandikia kisawasawa?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hao ni noma, ndio wanaoongoza kupigwa faini na Bodi ya ligi kila mwaka kwa kosa la kuingia viwanjani kwa kuacha kutumia geti kuu.Kibongobongo hakuna timu inayotisha kwa ushirikina kama yanga