Simba wanaonesha utoto kwa Morrison na wachezaji wa kigeni

Simba wanaonesha utoto kwa Morrison na wachezaji wa kigeni

Hiyo siyo kweli, kama shaka ndiyo hiyo basi Morrison angeambiwa aandike official letter ya kuomba kupewa release letter ili kuji commit na ushahidi kwamba yeye ndiye aliyekuwa initiator wa jambo hilo badala ya kusema timu yake ndiyo iombe hiyo barua.

Timu haiwezi kuomba release letter kwa mchezaji ambae mkataba wake umekwisha. Tunafahamu kuwa Simba imefilisika kifedha inataka ilipwe pesa na yanga kununua mkataba wa mwezi mmoja ipate pesa ya kufanya usajili. Inatia haibu walahi.
Ulichoandika unakijua mkuu au umejiandikia tu
 
Yani wewe una WENGE kweli kweli sijui umekula maharagwe ya wapi wewe..

Kanun zipo hivi... Timu ikimhitaji mchezaji inaandika barua kwa timu atokayo mchezaji then wakiridhiana kwenye terms mchezaji anapewa release leter anaondoka

Sasa kwa kuwa akili za mijitu ya yanga zimechakaa kama jengo lao wanalazimisha eti lazima smba wampe barua morisson

Narudia tena fuateni sheria waandikieni barua mabingwa mara nne "mfulilizo" waelezeni shida zenu za nyuma zitatatuliwa.

Kama Al-ahly walifanya hivyo kwa Luis, berkane walifanya hivyo kwa Chama, Tp mazembe walifanya hivyo kwa Sammata nyie vyura ni nani msifuate utaratibu pumbavvvvvv?
 
Ndiyo, umeisha baada ya mechi ya mwisho ya Mbeya Kwanza.
Kumbe nilidhani unajua lolote kumbe hakuna kitu unachojua. Kwahiyo kila mchezaji akimaliza mkataba na timu anapewa release letter [emoji23][emoji23][emoji23].
 
Kumbe nilidhani unajua lolote kumbe hakuna kitu unachojua. Kwahiyo kila mchezaji akimaliza mkataba na timu anapewa release letter [emoji23][emoji23][emoji23].
aliiomba kabla ya mechi ya mwisho kuchezwa, huenda alikuwa na kazi nayo lakini alinyimwa. Unajuwa kuna timu nyingi duniani hazipendi kuingia gharama ya kusajiri mchezaji mwenye mkataba, ni ghali.
 
aliiomba kabla ya mechi ya mwisho kuchezwa, huenda alikuwa na kazi nayo lakini alinyimwa. Unajuwa kuna timu nyingi duniani hazipendi kuingia gharama ya kusajiri mchezaji mwenye mkataba, ni ghali.
Aliomba kwa mdomo au barua? Twende taratibu ili.ujue hujui kitu
 
Aliomba kwa mdomo au barua? Twende taratibu ili.ujue hujui kitu
inaonekana aliandika text, lakini kama masharti yalikuwa aandike application letter si angeambiwa hivyo? Tunajuwa kwenye hiyo application letter majibu yangekuwa na madai ya 1 bilioni ya kuvunja mkataba.
 
Simba ni kama yule mwanaume ambaye anatamani kumuacha mke wake lakini bado anampenda japokuwa mwanamke bado ni msumbufu

Inaitwa sitaki nataka
Sio kwamba bado anampenda bali anamuonea wivu kwa msambwanda alionao anaweza kuolewa hata na jirani yake.
 
Kuna ishu za kisheria pia, inabidi usizichukulie poa. Unaweza ukampa barua ya kumuachia akaja kugeuza maneno kwamba umemvunjia mkataba, kwa hiyo umlipe mahela mengi mengi kadiri ya mkataba ulivyosema. Kumbuka kuwa Morrison ni wakili msomi [emoji16]
Kweli Timu zote Simba na Yanga wanakwepa hatari ya kulipishwa mahela kibao ya kuvunja au kuvunjiwa mkataba. Timu zote zisubiri hadi tarehe ya mwisho ya mkataba wa mchezaji. Uzuri CUF wameongeza muda wa usajili.
 
Back
Top Bottom