Simba wanaonesha utoto kwa Morrison na wachezaji wa kigeni

Simba wanaonesha utoto kwa Morrison na wachezaji wa kigeni

The fall of Simba has many colours!

mmefukuza kocha na wachezaji bado viongozi tu!

mwaka huu mnatukana sana kila comment kisa makombe yote ya bara yameenda Jangwani!! mfungaji bora mmekosa! kipa bora mmekosa, mchezaji bora mmekosa!!
Kwani Yanga hamjawahi kufukuza kocha? We jamaa mbona hoja zako ni nyepesi sana? Kwa hiyo kufukuza kocha ndio the fall of Simba? Huyu kocha si mlikuwa mnam dis wakati alipokuja?
 
mchezaji mmeshamtupia virago, mkataba wake umekwisha na msimu umekwisha, mpeni barua yake akahangaike huko aendako.

Ni sheria gani ya TFF/cecafa/caf/fifa inayokataza mchezaji aliyemaliza mkataba wake kupewa release letter yeye mwenyewe? Ndio maana mtapata taabu sana, maana hamkui, mmedumaa.
Wapi simba walipomtupia virago? Kama hujui kusoma angalia clip za Ahmed Ally msemaji wa Simba anapo ongelea suala la Morison. Yule amepewa mapumziko na ni bado m hezaji halali wa Simba sc. Fuateni taratibu. Kwani nyie kama mnamtaka mnashindwa nini kuandika barua ya kumhitaji?
 
Hiyo siyo kweli, kama shaka ndiyo hiyo basi Morrison angeambiwa aandike official letter ya kuomba kupewa release letter ili kuji commit na ushahidi kwamba yeye ndiye aliyekuwa initiator wa jambo hilo badala ya kusema timu yake ndiyo iombe hiyo barua.

Timu haiwezi kuomba release letter kwa mchezaji ambae mkataba wake umekwisha. Tunafahamu kuwa Simba imefilisika kifedha inataka ilipwe pesa na yanga kununua mkataba wa mwezi mmoja ipate pesa ya kufanya usajili. Inatia haibu walahi.
Kwa hiyo mkataba wa Morison na Simba umeisha isha mwezi huu sio?
 
nimesikia wachezaji wazuri wote hawapendi kuja Simba, mmefilisika, mnataka kuuza mkataba wa Morrison wa siku 15 zilizobaki, shame on you. Hii ni sawa na mtu kufanya biashara ya kuuza maganda ya ndizi baada ya walaji kula ndizi na kutupa maganda.
Kama yupi ambaye hajataka kuja Simba Sc? Phiri ni mbaya? Yupo Yanga?
 
Morrison sio kivileee kwa yanga ya sasa iliyochukua ubingwa kutoka kwa Simba yenye Morrison huyohuyo. Wanachofanya simba ni kumkomoa Morrison sio Yanga, yanga can do with or without Morrison.

Huu ni wakati wa usajili kwa vijana wapate riziki zao sio sawa kutaka kuuza mkataba wa siku 10 zilizobakia. Mnatia aibu kimataifa bila sababu ya maana.
Basi msajilini Saido apate riziki yake. Mbona mmemwacha?
 
Hapa hoja siyo "utoto wa Simba" hapa hoja ni MKATABA! Hakuna ziada wala pungufu, hoja ni Mkataba. BM bado ana mkataba na SSC, hivyo wote - BM na SSC - lazima waendane na yalimo lkwenye Mkataba wao. Yeyote atakaye VUNJA huo Mkataba ni lazima AWAJIBIKE. SSC au BM hawawezi kufanya kosa hilo. Hivyo basi, cha kufanya ni kila upande kusubiri hadi mwisho wa Mkataba husika ili waachane vizuri.

SSC haiwezi kumpa BM hiyo barua, kufanya hivyo ni sawa na kuvunja Mkataba na BM na hivyo kuwajibika kumlipa BM mahela. Hili haliwezekani, vivyo kwa BM ambaye analijua sana hilo ndiyo maana anaomba SSC impe hiyo RELEASE LETTER kwa upole ili aende aendako badala ya kwenda huko aendako na kusaini nao Mkataba mpya kabla ya huu alionao SSC haujaisha. Akifanya hivyo, atawajibika kuwalipa SSC mihela kwa kuvunja Mkataba. Hilo BM hawezi kufanya, kwani anajua matokeo yake! Hivyo hapa hoja ni MKATABA! Siyo"utoto wa Simba".
Nasikitika umetumia muda wako wa thamani kumuelewesha huyo muungwana.....kama utafuata mtiririko wa maandiko yake utagundua kuwa huyo hayuko hapa kwa ajili ya kupata ufafanuzi bali yupo hapa kwa ajili ya kulumbana..........watu kama hao kwa kutambua thamani ya muda wako ni kuwapuuzia tu....
 
sio kweli, kama Morrison angekuwa anajiunga na timu ya Azam au namungo hadithi ingekuwa tofauti. Tunachosema sisi huku ni kusahau mchango wa morrison kizembe kabisa, lakini ni awaking call kwa wachezaji wenu wengine wa kigeni, maana wakati mwenzao Morrison akinyolewa wao wanajiandaa kwa kuweka maji nywele zao. Unajengea hofu wachezaji wenu bila sababu za msingi kabisa, maana Morrison ana marafiki wengi ndani ya wachezaji wa Simba waliobaki ambao hawapendi kuona Morrison anaharibiwa maisha na career yake kizembe hivyo.
Siyo SSC inayowawekea hofu watu au wachezaji - aidha wa ndani au wa nje - ni suala la "stk" yaani sheria, taratibu na taratibu za uendeshaji wa soka letu hapa Tanzania. Nasema tena siyo suala la kuwekeana hofu bali ni suala la uendeshaji mzima wa soka letu.
 
Nasikitika umetumia muda wako wa thamani kumuelewesha huyo muungwana.....kama utafuata mtiririko wa maandiko yake utagundua kuwa huyo hayuko hapa kwa ajili ya kupata ufafanuzi bali yupo hapa kwa ajili ya kulumbana..........watu kama hao kwa kutambua thamani ya muda wako ni kuwapuuzia tu....
Ww dawa yako haiwezi kuwa nyingine zaidi ya hii hapa chini
 
Yani wewe una WENGE kweli kweli sijui umekula maharagwe ya wapi wewe..

Kanun zipo hivi... Timu ikimhitaji mchezaji inaandika barua kwa timu atokayo mchezaji then wakiridhiana kwenye terms mchezaji anapewa release leter anaondoka

Sasa kwa kuwa akili za mijitu ya yanga zimechakaa kama jengo lao wanalazimisha eti lazima smba wampe barua morisson

Narudia tena fuateni sheria waandikieni barua mabingwa mara nne "mfulilizo" waelezeni shida zenu za nyuma zitatatuliwa.

Kama Al-ahly walifanya hivyo kwa Luis, berkane walifanya hivyo kwa Chama, Tp mazembe walifanya hivyo kwa Sammata nyie vyura ni nani msifuate utaratibu pumbavvvvvv?

Mistari Uliyoitoa Hapa Najua Anajuta Sana Sana

Kuandika Thread Mbovu

Hoja Imeungwa Mkono
Umemchambisha Kabla Hajanya
 
Njaa mbaya sana. Mwamed kafilisika, mnataka kuokoteza kutoka kwa Morrison. Yaani aandike barua ya kivunja mkataba ili alipe hela za kuuvunja, hii yote inaangukia palepale pa kumkomoa mchezaji pengine na kuomba hela kutoka GSM
Sasa ndio hapewi barua... Nendeni cas
 
Sasa barua ya kazi gani kama kashasaini?
amekubali yaishe kwa kumwachia hakimu wa kweli Mungu. Ni Mungu pekee anaeshughulika na dhamira za watu. Kama dhamira ni ya heri atakulipa heri hata kama wengine wakikuhukumu, na kama dhamira ni ovu atakulipa sawa na dhamira yako hata kama wengine watakushangilia. Kikubwa ni unafanya hivyo unavyofanya ukiwa na dhamira (intention/motive) gani.
 
Yani wewe una WENGE kweli kweli sijui umekula maharagwe ya wapi wewe..

Kanun zipo hivi... Timu ikimhitaji mchezaji inaandika barua kwa timu atokayo mchezaji then wakiridhiana kwenye terms mchezaji anapewa release leter anaondoka

Sasa kwa kuwa akili za mijitu ya yanga zimechakaa kama jengo lao wanalazimisha eti lazima smba wampe barua morisson

Narudia tena fuateni sheria waandikieni barua mabingwa mara nne "mfulilizo" waelezeni shida zenu za nyuma zitatatuliwa.

Kama Al-ahly walifanya hivyo kwa Luis, berkane walifanya hivyo kwa Chama, Tp mazembe walifanya hivyo kwa Sammata nyie vyura ni nani msifuate utaratibu pumbavvvvvv?


Na Jambo lingine mbona mtoa mada ajalalamika kuwa bwana Morrison anapata salary zake?
 
amekubali yaishe kwa kumwachia hakimu wa kweli Mungu. Ni Mungu pekee anaeshughulika na dhamira za watu. Kama dhamira ni ya heri atakulipa heri hata kama wengine wakikuhukumu, na kama dhamira ni ovu atakulipa sawa na dhamira yako hata kama wengine watakushangilia. Kikubwa ni unafanya hivyo unavyofanya ukiwa na dhamira (intention/motive) gani.
Basi asubiri barua toka kwa Mungu
 
mchezaji mmeshamtupia virago, mkataba wake umekwisha na msimu umekwisha, mpeni barua yake akahangaike huko aendako.

Ni sheria gani ya TFF/cecafa/caf/fifa inayokataza mchezaji aliyemaliza mkataba wake kupewa release letter yeye mwenyewe? Ndio maana mtapata taabu sana, maana hamkui, mmedumaa.
Usikazanie sheria.Sheria ni taaluma ya kiufundi.Kuna kipindi unajiongeza.Tumia akili.
 
Hiyo siyo kweli, kama shaka ndiyo hiyo basi Morrison angeambiwa aandike official letter ya kuomba kupewa release letter ili kuji commit na ushahidi kwamba yeye ndiye aliyekuwa initiator wa jambo hilo badala ya kusema timu yake ndiyo iombe hiyo barua.

Timu haiwezi kuomba release letter kwa mchezaji ambae mkataba wake umekwisha. Tunafahamu kuwa Simba imefilisika kifedha inataka ilipwe pesa na yanga kununua mkataba wa mwezi mmoja ipate pesa ya kufanya usajili. Inatia haibu walahi.
Mkataba wa Simba na Morrison umeisha?
 
Back
Top Bottom