Simba wanaonesha utoto kwa Morrison na wachezaji wa kigeni

Simba wanaonesha utoto kwa Morrison na wachezaji wa kigeni

Kuna ishu za kisheria pia, inabidi usizichukulie poa. Unaweza ukampa barua ya kumuachia akaja kugeuza maneno kwamba umemvunjia mkataba, kwa hiyo umlipe mahela mengi mengi kadiri ya mkataba ulivyosema. Kumbuka kuwa Morrison ni wakili msomi 😁
si umwambie yeye mwenyewe na mwanasheria wake aandike barua kuomba release letter yake ili apate muda wa kuwahi dirisha la usajili? kwani timu nyingi hazina fedha za kuvunja mkataba wa mchezaji, hivyo kukataa kumpa release letter kwa muda mwafaka ni sawa kabisa na kupunguza nafasi yake ya kusajiliwa na timu, hii ni dhamira ovu kwa mchezaji wako ambae umetangaza mwenyewe kutoendelea nae na mkata wake umekwisha bado siku 10 tu kwisha. Kinachoangaliwa hapa ni dhamira (intension) ya kumnyima mchezaji wa aina hiyo barua yake ya kumruhusu akasajiliwa hata na timu ndogo zenye kipato kidogo.
 
Yani wewe una WENGE kweli kweli sijui umekula maharagwe ya wapi wewe..

Kanun zipo hivi... Timu ikimhitaji mchezaji inaandika barua kwa timu atokayo mchezaji then wakiridhiana kwenye terms mchezaji anapewa release leter anaondoka

Sasa kwa kuwa akili za mijitu ya yanga zimechakaa kama jengo lao wanalazimisha eti lazima smba wampe barua morisson

Narudia tena fuateni sheria waandikieni barua mabingwa mara nne "mfulilizo" waelezeni shida zenu za nyuma zitatatuliwa.

Kama Al-ahly walifanya hivyo kwa Luis, berkane walifanya hivyo kwa Chama, Tp mazembe walifanya hivyo kwa Sammata nyie vyura ni nani msifuate utaratibu pumbavvvvvv?
Sasa umeshasema Vyura hizo sheria wanazijuaje?.
 
The fall of Simba has many colours!

mmefukuza kocha na wachezaji bado viongozi tu!

mwaka huu mnatukana sana kila comment kisa makombe yote ya bara yameenda Jangwani!! mfungaji bora mmekosa! kipa bora mmekosa, mchezaji bora mmekosa!!
Weew huna akili kama asemavyo manara
 
si umwambie yeye mwenyewe na mwanasheria wake aandike barua kuomba release letter yake ili apate muda wa kuwahi dirisha la usajili? kwani timu nyingi hazina fedha za kuvunja mkataba wa mchezaji, hivyo kukataa kumpa release letter kwa muda mwafaka ni sawa kabisa na kupunguza nafasi yake ya kusajiliwa na timu, hii ni dhamira ovu kwa mchezaji wako ambae umetangaza mwenyewe kutoendelea nae na mkata wake umekwisha bado siku 10 tu kwisha. Kinachoangaliwa hapa ni dhamira (intension) ya kumnyima mchezaji wa aina hiyo barua yake ya kumruhusu akasajiliwa hata na timu ndogo zenye kipato kidogo.

Kama inakuuma sana andika wewe hiyo barua ipeleke Simba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Watu wanafata Sheria nyie Vyura mnaita utoto? Si ndo nyie mlimshitaki CAS huyo Morisson ili asicheze Mpira? Leo ndo mnajifanya mnampenda sana eti tunaharibu Career yake, Career ya Nyoko?? Tulieni dawa iwaingie na Mkataba unaisha 14 August Maanina! [emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
 
Hapa hoja siyo "utoto wa Simba" hapa hoja ni MKATABA! Hakuna ziada wala pungufu, hoja ni Mkataba. BM bado ana mkataba na SSC, hivyo wote - BM na SSC - lazima waendane na yalimo lkwenye Mkataba wao. Yeyote atakaye VUNJA huo Mkataba ni lazima AWAJIBIKE. SSC au BM hawawezi kufanya kosa hilo. Hivyo basi, cha kufanya ni kila upande kusubiri hadi mwisho wa Mkataba husika ili waachane vizuri.

SSC haiwezi kumpa BM hiyo barua, kufanya hivyo ni sawa na kuvunja Mkataba na BM na hivyo kuwajibika kumlipa BM mahela. Hili haliwezekani, vivyo kwa BM ambaye analijua sana hilo ndiyo maana anaomba SSC impe hiyo RELEASE LETTER kwa upole ili aende aendako badala ya kwenda huko aendako na kusaini nao Mkataba mpya kabla ya huu alionao SSC haujaisha. Akifanya hivyo, atawajibika kuwalipa SSC mihela kwa kuvunja Mkataba. Hilo BM hawezi kufanya, kwani anajua matokeo yake! Hivyo hapa hoja ni MKATABA! Siyo"utoto wa Simba".
Nadhani hapa hatuendelei na mjadala umemaliza kila kitu
Labda alete ule uchura, unyani, umbwa wake kama asemao luc eymael
 
20b zimeyeyuka wanataka kuuza mkataba wa siku 10 kwa GSM. Wamesahau jasho na mchango wa Morrison kwao, wanaachana nae kihuni. Kumbukeni kuwa Morrison sio mchezaji mdogo Africa, caf na fifa wanamfahamu sana pia.
Kwani uto mlimuachaje morrison ?
Mlienda hadi uhamiaji nyie šŸ˜‚ kweli hamna akili
 

Attachments

  • 20220624_122151.jpg
    20220624_122151.jpg
    46.6 KB · Views: 7
Morrison sio kivileee kwa yanga ya sasa iliyochukua ubingwa kutoka kwa Simba yenye Morrison huyohuyo. Wanachofanya simba ni kumkomoa Morrison sio Yanga, yanga can do with or without Morrison.

Huu ni wakati wa usajili kwa vijana wapate riziki zao sio sawa kutaka kuuza mkataba wa siku 10 zilizobakia. Mnatia aibu kimataifa bila sababu ya maana.
Hapa nyie mlikuwa sahihi bwana utopolo?
 

Attachments

  • 20220624_122151.jpg
    20220624_122151.jpg
    46.6 KB · Views: 7
wachezaji wa kigeni hawataiona SIMBA kama chaguo la kwanza maana mnajipaka matope WENYEWE ok ngoja tuone maana muda umesogezwa mbele na Morrison anajikia mshahara wake wa mwezi hadi mwezi wa nane
Boss mbna unahangaika wewe?

Sisi simba naomba niweke hili wazi sawa
Sio kwamba morrison ametukataa hapana ni sisi wenyewe tumeamua kumuacha mapeeema tu na tukatoa official statement TUNAMUACHA
sasa wewe chura hatukusema tunamuacha LINI saa ngapi wala hawajasema wanamuacha kabla ya mkataba
Nashangaa mchezaji aliewaacha kwa mbwembwe leo hii mnalialia kisa yeye
Ati tunatisha wachezaji wengine watatuogopa. Naomba niweke hili neno na LIKUINGIE kwenye hilo fuvu lako hapo. Ni timu chache sana hapa Afrika ambazo zinaweza kumchukua mchezaji mbele yetu hazizidi 10

Wachezaji wengi wanaotaka kwenda afu mbna sisi hatuna baya
Bwalya huyoo Amazulu
Miqqusone na ule ubora wake wooote tumemuacha aende kwenye dunia ya waarabu
Chama RS berkane tulimuacha

Na wengine kibao
Yanga acheni ureee toeni hela mchezaji mpewe
Hizi nyuzi za kulialia hazisaidii fuata chuma pale msimbazi mkuu
 
The fall of Simba has many colours!

mmefukuza kocha na wachezaji bado viongozi tu!

mwaka huu mnatukana sana kila comment kisa makombe yote ya bara yameenda Jangwani!! mfungaji bora mmekosa! kipa bora mmekosa, mchezaji bora mmekosa!!
Basi mtoa assist bora tumepata
 
Hiyo siyo kweli, kama shaka ndiyo hiyo basi Morrison angeambiwa aandike official letter ya kuomba kupewa release letter ili kuji commit na ushahidi kwamba yeye ndiye aliyekuwa initiator wa jambo hilo badala ya kusema timu yake ndiyo iombe hiyo barua.

Timu haiwezi kuomba release letter kwa mchezaji ambae mkataba wake umekwisha. Tunafahamu kuwa Simba imefilisika kifedha inataka ilipwe pesa na yanga kununua mkataba wa mwezi mmoja ipate pesa ya kufanya usajili. Inatia haibu walahi.
Sasa kama mkataba umekwisha uzi wa nini wewe?

Si mchezaji ambaye mkataba umeisha si anakua huru mchukueni
 
Simba haionyeshi ukomavu kwenye soka hata baada ya kufikisha miaka zaidi ya 80 tangu kuanzishwa kwake.

Kila mtu waliwasikia viongozi wa Simba wakimuaga na kumtakia kheri Morrison huko aendako wakimaanisha kuwa aende mbele kwa mbele huko hata kabla ya msimu kumalizika kuonyesha kuwa hawana kazi nae tena.

Huu ni msimu wa usajili kwa wachezaji duniani kote hivyo Morrison alipaswa kupewa barua yake ili imsaidie kupata timu popote duniani.

Kitendo cha Simba kumnyima barua mchezaji ambae hawana kazi nae hata baada ya mchezaji kuiomba sio kitendo cha uungwana kwa Morrison aliyeitumikia Simba kwa mapenzi makubwa sana.

Kitendo hiki sio tu kwamba kitaipa Simba laana kubwa lakini kitawaohopesha na kiwatia hofu wachezaji wengine wa kigeni kwenye club ya Simba.

Uhasama wa Simba na Yanga usivuke viwango vya mpira. Mpira ni maisha ya wachezaji. Morrison asiposajiliwa hasara haiendi kwa Yanga bali kwa Morrison kwakuwa Yanga Ina wachezaji wengi wazuri kama au zaidi ya Morrison.

Hii itaitia Simba hasara, maana wachezaji wengi wa kigeni ipo siku Simba haitakuwa chaguo lao la kwanza kujiunga nayo.
wideta.... wunia wako! waandike fya nyoko!
 
Simba ni kama yule mwanaume ambaye anatamani kumuacha mke wake lakini bado anampenda japokuwa mwanamke bado ni msumbufu

Inaitwa sitaki nataka
 
mchezaji mmeshamtupia virago, mkataba wake umekwisha na msimu umekwisha, mpeni barua yake akahangaike huko aendako.

Ni sheria gani ya TFF/cecafa/caf/fifa inayokataza mchezaji aliyemaliza mkataba wake kupewa release letter yeye mwenyewe? Ndio maana mtapata taabu sana, maana hamkui, mmedumaa.
Kama hakuna sheria ya Caf tunayoitumia basi nendeni mkatushtaki mbona ni simple tu ndala wenzangu?
 
Simba haionyeshi ukomavu kwenye soka hata baada ya kufikisha miaka zaidi ya 80 tangu kuanzishwa kwake.

Kila mtu waliwasikia viongozi wa Simba wakimuaga na kumtakia kheri Morrison huko aendako wakimaanisha kuwa aende mbele kwa mbele huko hata kabla ya msimu kumalizika kuonyesha kuwa hawana kazi nae tena.

Huu ni msimu wa usajili kwa wachezaji duniani kote hivyo Morrison alipaswa kupewa barua yake ili imsaidie kupata timu popote duniani.

Kitendo cha Simba kumnyima barua mchezaji ambae hawana kazi nae hata baada ya mchezaji kuiomba sio kitendo cha uungwana kwa Morrison aliyeitumikia Simba kwa mapenzi makubwa sana.

Kitendo hiki sio tu kwamba kitaipa Simba laana kubwa lakini kitawaohopesha na kiwatia hofu wachezaji wengine wa kigeni kwenye club ya Simba.

Uhasama wa Simba na Yanga usivuke viwango vya mpira. Mpira ni maisha ya wachezaji. Morrison asiposajiliwa hasara haiendi kwa Yanga bali kwa Morrison kwakuwa Yanga Ina wachezaji wengi wazuri kama au zaidi ya Morrison.

Hii itaitia Simba hasara, maana wachezaji wengi wa kigeni ipo siku Simba haitakuwa chaguo lao la kwanza kujiunga nayo.
Sasa hapa ndio umethibitisha utopolo akili zenu zimeshikwa na Sope.
Wawa ameagwa jana baada ya mkataba kumalizika, umesikia akidai release letter? Unaposhindwa kuendelea na mkataba haustahili barua ya kuvunja mkataba bali unasubiri mkataba uishe ili uwe free agent.
Hebu tuambie barua unayodai apewe itakuwa na maelezo gani? Au ndio na wewe umesikia wachambuzi wakiongelea barua na wewe ukaona uandike uzi huku hujui barua inahusu nini?
 
mchezaji mmeshamtupia virago, mkataba wake umekwisha na msimu umekwisha, mpeni barua yake akahangaike huko aendako.

Ni sheria gani ya TFF/cecafa/caf/fifa inayokataza mchezaji aliyemaliza mkataba wake kupewa release letter yeye mwenyewe? Ndio maana mtapata taabu sana, maana hamkui, mmedumaa.
Huoni aibu huyu upuuzi wako unaoandika hapa?
 
Hapa hoja siyo "utoto wa Simba" hapa hoja ni MKATABA! Hakuna ziada wala pungufu, hoja ni Mkataba. BM bado ana mkataba na SSC, hivyo wote - BM na SSC - lazima waendane na yalimo lkwenye Mkataba wao. Yeyote atakaye VUNJA huo Mkataba ni lazima AWAJIBIKE. SSC au BM hawawezi kufanya kosa hilo. Hivyo basi, cha kufanya ni kila upande kusubiri hadi mwisho wa Mkataba husika ili waachane vizuri.

SSC haiwezi kumpa BM hiyo barua, kufanya hivyo ni sawa na kuvunja Mkataba na BM na hivyo kuwajibika kumlipa BM mahela. Hili haliwezekani, vivyo kwa BM ambaye analijua sana hilo ndiyo maana anaomba SSC impe hiyo RELEASE LETTER kwa upole ili aende aendako badala ya kwenda huko aendako na kusaini nao Mkataba mpya kabla ya huu alionao SSC haujaisha. Akifanya hivyo, atawajibika kuwalipa SSC mihela kwa kuvunja Mkataba. Hilo BM hawezi kufanya, kwani anajua matokeo yake! Hivyo hapa hoja ni MKATABA! Siyo"utoto wa Simba".
Case closed.
 
Hiyo ya akina Miquisson na Bwalya ni tofauti kabisa, na wala havifanani kabisa, labda kama huna uelewa wa kutosha. Morrison mkataba wake simba umeisha kasoro siku chache tu, na Simba ametangaza kutomsajili tena na wameshamuaga na hata kwenye mechi zilizosalia hawampangii tena, hii ni tofauti kabisa na hiyo mifano ya akina chama unayoleta hapa. Busara na uungwana ingekuwa kumpa release letter yake ili awahi fursa nyingine kabla dirisha la usajili halijafungwa. Shida yenu kwenye hili iko kwenye sehemu nne:
1. Kumkomoa mchezaji wenu kutoka na kumtongoza sijui nani kwenye club
2. Ukata kwenye club, mnaona ni heri mtumie siku zilizobakia kwenye mkataba kujipatia chochote, isiwe bure kabisa.
3. Kuikomoa yanga, kwakuwa hamuipendi
4. Wachezaji wa kigeni wenye uwezo kuliko Morrison mliowawania mmewakosa kwa kukosa pesa, hivyo mnamtamani Morrison tena.

Sio zaidi ya hapo.
 
Kama amemaliza mkataba release letter ya nn?
mchezaji mmeshamtupia virago, mkataba wake umekwisha na msimu umekwisha, mpeni barua yake akahangaike huko aendako.

Ni sheria gani ya TFF/cecafa/caf/fifa inayokataza mchezaji aliyemaliza mkataba wake kupewa release letter yeye mwenyewe? Ndio maana mtapata taabu sana, maana hamkui, mmedumaa.
 
Back
Top Bottom