Ulichoandika unakijua mkuu au umejiandikia tuHiyo siyo kweli, kama shaka ndiyo hiyo basi Morrison angeambiwa aandike official letter ya kuomba kupewa release letter ili kuji commit na ushahidi kwamba yeye ndiye aliyekuwa initiator wa jambo hilo badala ya kusema timu yake ndiyo iombe hiyo barua.
Timu haiwezi kuomba release letter kwa mchezaji ambae mkataba wake umekwisha. Tunafahamu kuwa Simba imefilisika kifedha inataka ilipwe pesa na yanga kununua mkataba wa mwezi mmoja ipate pesa ya kufanya usajili. Inatia haibu walahi.
Yani wewe una WENGE kweli kweli sijui umekula maharagwe ya wapi wewe..
Kanun zipo hivi... Timu ikimhitaji mchezaji inaandika barua kwa timu atokayo mchezaji then wakiridhiana kwenye terms mchezaji anapewa release leter anaondoka
Sasa kwa kuwa akili za mijitu ya yanga zimechakaa kama jengo lao wanalazimisha eti lazima smba wampe barua morisson
Narudia tena fuateni sheria waandikieni barua mabingwa mara nne "mfulilizo" waelezeni shida zenu za nyuma zitatatuliwa.
Kama Al-ahly walifanya hivyo kwa Luis, berkane walifanya hivyo kwa Chama, Tp mazembe walifanya hivyo kwa Sammata nyie vyura ni nani msifuate utaratibu pumbavvvvvv?
Kumbe nilidhani unajua lolote kumbe hakuna kitu unachojua. Kwahiyo kila mchezaji akimaliza mkataba na timu anapewa release letter [emoji23][emoji23][emoji23].Ndiyo, umeisha baada ya mechi ya mwisho ya Mbeya Kwanza.
aliiomba kabla ya mechi ya mwisho kuchezwa, huenda alikuwa na kazi nayo lakini alinyimwa. Unajuwa kuna timu nyingi duniani hazipendi kuingia gharama ya kusajiri mchezaji mwenye mkataba, ni ghali.Kumbe nilidhani unajua lolote kumbe hakuna kitu unachojua. Kwahiyo kila mchezaji akimaliza mkataba na timu anapewa release letter [emoji23][emoji23][emoji23].
Aliomba kwa mdomo au barua? Twende taratibu ili.ujue hujui kitualiiomba kabla ya mechi ya mwisho kuchezwa, huenda alikuwa na kazi nayo lakini alinyimwa. Unajuwa kuna timu nyingi duniani hazipendi kuingia gharama ya kusajiri mchezaji mwenye mkataba, ni ghali.
inaonekana aliandika text, lakini kama masharti yalikuwa aandike application letter si angeambiwa hivyo? Tunajuwa kwenye hiyo application letter majibu yangekuwa na madai ya 1 bilioni ya kuvunja mkataba.Aliomba kwa mdomo au barua? Twende taratibu ili.ujue hujui kitu
Aende yeye, BM3!Sasa ndio hapewi barua... Nendeni cas
Sio kwamba bado anampenda bali anamuonea wivu kwa msambwanda alionao anaweza kuolewa hata na jirani yake.Simba ni kama yule mwanaume ambaye anatamani kumuacha mke wake lakini bado anampenda japokuwa mwanamke bado ni msumbufu
Inaitwa sitaki nataka
Kweli Timu zote Simba na Yanga wanakwepa hatari ya kulipishwa mahela kibao ya kuvunja au kuvunjiwa mkataba. Timu zote zisubiri hadi tarehe ya mwisho ya mkataba wa mchezaji. Uzuri CUF wameongeza muda wa usajili.Kuna ishu za kisheria pia, inabidi usizichukulie poa. Unaweza ukampa barua ya kumuachia akaja kugeuza maneno kwamba umemvunjia mkataba, kwa hiyo umlipe mahela mengi mengi kadiri ya mkataba ulivyosema. Kumbuka kuwa Morrison ni wakili msomi [emoji16]