Simba wanasajili wachezaji bila kuwa na kocha mkuu

Simba wanasajili wachezaji bila kuwa na kocha mkuu

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Ukitaka kuona vituko basi njoo kwenye club ya simba dirisha hili la usajili wanasajili wachezaji na kuacha bila kuwa na kocha mkuu unajiuliza mwekezaji wa simba mo dewji ana akili kweli

Makosa yaleyale ya misimu iliyopita wanayarudia na kipindi hiki akija kocha baada ya mda atawatupia lawama kwamba hawafundishiki kama alivyofanya benchika

Na jambo la kushangaza washabiki wao wao wanaona ni kawaida hata kuuliza hawaulizi katika timu inayoendeshwa kihuni basi ni simba

Wampate kocha asign ndo wangeanza kusajili kocha akiwepo hicho wanafanya ndo sababu ndani ya misimu miwili iliyopita timu imefundishwa na makocha zaidi ya sita

Cha ajabu mashabiki wao wameridhika na hizi sajili ila ligi ikianza kocha akianza kulalamika na timu kufanya vibaya wataanza tena hawamtaki mangungu
 
Ukitaka kuona vituko basi njoo kwenye club ya simba dirisha hili la usajili wanasajili wachezaji na kuacha bila kuwa na kocha mkuu unajiuliza mwekezaji wa simba mo dewji ana akili kweli

Makosa yaleyale ya misimu iliyopita wanayarudia na kipindi hiki akija kocha baada ya mda atawatupia lawama kwamba hawafundishiki kama alivyofanya benchika

Na jambo la kushangaza washabiki wao wao wanaona ni kawaida hata kuuliza hawaulizi katika timu inayoendeshwa kihuni basi ni simba
Tatizo la simba ni wanachama tunawambia hawasikii
 
Ukitaka kuona vituko basi njoo kwenye club ya simba dirisha hili la usajili wanasajili wachezaji na kuacha bila kuwa na kocha mkuu unajiuliza mwekezaji wa simba mo dewji ana akili kweli

Makosa yaleyale ya misimu iliyopita wanayarudia na kipindi hiki akija kocha baada ya mda atawatupia lawama kwamba hawafundishiki kama alivyofanya benchika

Na jambo la kushangaza washabiki wao wao wanaona ni kawaida hata kuuliza hawaulizi katika timu inayoendeshwa kihuni basi ni simba
We're in a modern football.
Kocha hasajili maana any time anafukuzwa. Nyie uto endeleeni na utaratibu wenu.
 
Unasajili wachezaji wa aina/mfumo fulani, then unatafuta kocha unayejua ataendana na mfumo/falsafa ya aina ya soka wachezaji atakaowakuta wanacheza.

Hamjui hata makocha wana falsafa zao zinazoendana na wachezaji wa aina fulani?!

Anyway, vyura kwa upeo wenu siwalaumu kabisa kutofahamu hili jambo, kuishi topeni miaka yote sio rahisi muwe na upeo kama ule uliopo pale Msimbazi.

Pira biriani linarudi Simba Sc.
 
Unasajili wachezaji wa aina/mfumo fulani, then unatafuta kocha unagejua ataendana na mfumo/falsafa ya aina ya soka wachezaji atakaowakuta wanacheza.

Vyura kwa upeo wenu siwalaumu kabisa kutofahamu hili jambo, kuishi topeni miaka yote sio rahisi muwe na upeo kama ule uliopo pale Msimbazi.

Pia biriani linarudi Simba Sc.
Misimu miwili simba imefundishwa na makocha zaidi ya sita
Huo mpira biriani mbona ni msimu wa tatu hamna kombe lolote la maana
 
Ukitaka kuona vituko basi njoo kwenye club ya simba dirisha hili la usajili wanasajili wachezaji na kuacha bila kuwa na kocha mkuu unajiuliza mwekezaji wa simba mo dewji ana akili kweli

Makosa yaleyale ya misimu iliyopita wanayarudia na kipindi hiki akija kocha baada ya mda atawatupia lawama kwamba hawafundishiki kama alivyofanya benchika

Na jambo la kushangaza washabiki wao wao wanaona ni kawaida hata kuuliza hawaulizi katika timu inayoendeshwa kihuni basi ni simba

Wateja wetu hao ,kwa usajili walioufanya wameanzia nafasi ya 6 ,wapambane wabaki nafasi ya 3 otherwise wanarudi hadi nafasi ya 6.
 
Back
Top Bottom