Simba wanasajili wachezaji bila kuwa na kocha mkuu

Simba wanasajili wachezaji bila kuwa na kocha mkuu

Hao kila msimu huwa wanafanya hivyo ili timu ikifanya vibaya, wapate kisingizio.
 
We're in a modern football.
Kocha hasajili maana any time anafukuzwa. Nyie uto endeleeni na utaratibu wenu.
Tunawasaidia ushauri ili mwaka huu angalau mpate kombe. Yaani mwaka wa tatu ni sisi tu, msimu huu tunataka tuwaachie. Au tuwape Azam
 
Nilikuwa sina taarifa kama Mgunda ameondoka Simba mpaka pale nilipofungua huu uzi
Wachezaji wasajiliwe kutokana na mapendekezo ya mgunda alafu aje awatumie kocha mwingine we unaona ni sawa

Nikusaidie simba wanatafuta kocha mwingine
 
Wachezaji wasajiliwe kutokana na mapendekezo ya mgunda alafu aje awatumie kocha mwingine we unaona ni sawa

Nikusaidie simba wanatafuta kocha mwingine
Kwani kocha akisajiliwa katikati ya msimu ambapo hakuna dirisha la usajili anawezaje kuwatumia hao wachezaji ambao tayari wapo?

Kwamba Simba ilihitaji kocha ili kujua kama inaweza kuongeza mkataba na Ayoub Lakred?

Kwamba Simba ilihitaji kocha mpya ili kujua kama inaweza kuongeza mkataba na Mzamiru?

Huyo kocha angekuwa na maoni gani kwenye sajiki za ndani kama Lameck Lawi, lini aliwahi kumuona?
 
Ukitaka kuona vituko basi njoo kwenye club ya simba dirisha hili la usajili wanasajili wachezaji na kuacha bila kuwa na kocha mkuu unajiuliza mwekezaji wa simba mo dewji ana akili kweli

Makosa yaleyale ya misimu iliyopita wanayarudia na kipindi hiki akija kocha baada ya mda atawatupia lawama kwamba hawafundishiki kama alivyofanya benchika

Na jambo la kushangaza washabiki wao wao wanaona ni kawaida hata kuuliza hawaulizi katika timu inayoendeshwa kihuni basi ni simba

Wampate kocha asign ndo wangeanza kusajili kocha akiwepo hicho wanafanya ndo sababu ndani ya misimu miwili iliyopita timu imefundishwa na makocha zaidi ya sita

Cha ajabu mashabiki wao wameridhika na hizi sajili ila ligi ikianza kocha akianza kulalamika na timu kufanya vibaya wataanza tena hawamtaki mangungu
Benchi la ufundi/makocha wapo.
 
Ligi ikianza utawasikia "hatumtaki mangungu".
 
Wachezaji wasajiliwe kutokana na mapendekezo ya mgunda alafu aje awatumie kocha mwingine we unaona ni sawa

Nikusaidie simba wanatafuta kocha mwingine
Unatia aibu. Mtu akikurupuka kutoa hoja busara ni kukimbia uzi badala ya kuendelea kujivua nguo. Sometimes tunafanya hivyo.
Hivi hata wewe kwa akili zako ulichoandika kina make sense kweli? Simba ina kocha Mgunda na benchi la ufundi na scouting wao pamoja na uongozi.
Mengine yote kaandika Scars hata sina haja ya kurudia.

Nakushauri kimbia uzi mwana
 
Msimu uliopita yanga walianza kusajili baada ya kumpata gamondi
Wewe ndiye hujui chochote, tulimsikia wenyewe Gamondi akilalamika kuwa Yanga haina straikers wa ushindani maana yake Hafiz Konkon hakumpendekeza yeye. Akili yako inakwambia kuwa Gamond ndiye amependekeza Okrah, Mkude na Chama wasajiliwe?
 
Balaa sana,Mimi nachojua kocha anakuaga na mfumo wake anaouamini like 433,asa ndo humwongoza atafute wachezaji wa namba Gani kumeet demands zake,Simba wanachofanya ni ushamba sawa na kujipaka mafuta kabla ya kuoga ndo unaenda kuoga🤣🤣
 
Balaa sana,Mimi nachojua kocha anakuaga na mfumo wake anaouamini like 433,asa ndo humwongoza atafute wachezaji wa namba Gani kumeet demands zake,Simba wanachofanya ni ushamba sawa na kujipaka mafuta kabla ya kuoga ndo unaenda kuoga[emoji1787][emoji1787]
Mbona mmemsajili mzee chama konokono huku haendani na mfumo wa kocha wenu?

Wachezaji anaowatumia gamondi wote aliwasajili yeye?

Kwa taarifa yako simba walishampata kocha wao mapema tu japo hajatangazwa rasmi . Na wachezaji wanaosajiliwa ni mapendekezo yake.
 
Hahah
Mbona mmemsajili mzee chama konokono huku haendani na mfumo wa kocha wenu?

Wachezaji anaowatumia gamondi wote aliwasajili yeye?

Kwa taarifa yako simba walishampata kocha wao mapema tu japo hajatangazwa rasmi . Na wachezaji wanaosajiliwa ni mapendekezo yake.
Hahahahaaa Aya mwamed🤣🤣
 
Back
Top Bottom