Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na washabiki wao wameridhika ligi ikianza tena wataanza nyimbo za hawamtaki mangunguBiriani la Nini kokoto au?
Tatizo hamsomi mkaelew, ndio shida ya vyura.Misimu miwili simba imefundishwa na makocha zaidi ya sita
Huo mpira biriani mbona ni msimu wa tatu hamna kombe lolote la maana
Nguvu moyaTuache na uhuni wetu babu #nguvumoja
We msimu uliopita ulikua bila aibu unalazimisha simba imerudi matokeo yake ndo ukawa msimu mbovu kwa simbaTatizo hamsomi mkaelew, ndio shida ya vyura.
Umeambiwa pira biriani linarudi Msimbazi, lile lililoondoka Na Aussems.
Msimu uliopita yanga walianza kusajili baada ya kumpata gamondiHii bongo hakuna kocha yeyote huwa anapendekeza mchezaji, kocha yeye anapendekeza ni maeneo gani yaboreshwe kisha viongozi wanaingia sokoni kutafuta wachezaji wa hayo maeneo aliyopendekeza kocha. Kwa mantiki hiyo simba huenda wametumia report ya Mgunda au Benchika.
Halafu laini inapotea kwakusa sehemu ya kuichomekakwan we hujaona mtu anasajili lain ya simu wakat hana simu
Chura mbona unajitesa hautaki kuambiwa ukweli, sasa mimi nikusaidieje?!We msimu uliopita ulikua bila aibu unalazimisha simba imerudi matokeo yake ndo ukawa msimu mbovu kwa simba
Leo tena unaletea unaleta story za pira biriani danganya ambao hawakujui
mtoa post ni chawa wa Yanga na machawa hawana akili njemaNilikuwa sina taarifa kama Mgunda ameondoka Simba mpaka pale nilipofungua huu uzi
Hakuna kitu kama hichoMsimu uliopita yanga walianza kusajili baada ya kumpata gamondi
Vyura kazi yao kupiga kelele tu.Kwaiyo Mgunda Master sio kocha au wewe Kocha mpaka awe Mweupe (Mzungu au Mwarabu)
Huu ndo mda wenu wa kufurahi kipindi cha usajili ligi ikianza machungu yanaanza tenaChura mbona unajitesa hautaki kuambiwa ukweli, sasa mimi nikusaidieje?!
Mida hii tena tunashusha kifaa kingine, manake mmeshasahau kama mlimsajili Chama wote macho yenu Simba App, mme download kwa hasira sana
Fuatilia kama hichi nachoandika ni uongoHakuna kitu kama hicho
Kama makocha hawawezi maliza hata msimu mmoja ni ngumu kupata mafanikioMakocha wenyewe hawamalizi miaka miwili wamefukuzwa au wameenda kufundisha kwingine kwenye masilahi makubwa, sasa utasajiri kikosi kipya kila baada ya miaka miwili?. Weka mkurugenzi wa ufundi sajiri wachezaji kulingana na falsafa ya timu. Kama kuna mkurugenzi wa ufundi(hata akiwa undercover) na falsafa ya timu inajulikana hakuna tatizo