Yaani kuna watu ni kama kafufuka tu toka kaburuni kaibukia JFNilikuwa sina taarifa kama Mgunda ameondoka Simba mpaka pale nilipofungua huu uzi
Tunawasaidia ushauri ili mwaka huu angalau mpate kombe. Yaani mwaka wa tatu ni sisi tu, msimu huu tunataka tuwaachie. Au tuwape AzamWe're in a modern football.
Kocha hasajili maana any time anafukuzwa. Nyie uto endeleeni na utaratibu wenu.
Wachezaji wasajiliwe kutokana na mapendekezo ya mgunda alafu aje awatumie kocha mwingine we unaona ni sawaNilikuwa sina taarifa kama Mgunda ameondoka Simba mpaka pale nilipofungua huu uzi
Wachezaji wasajiliwe kutokana na mapendekezo ya mgunda alafu aje awatumie kocha mwingine we unaona ni sawaYaani kuna watu ni kama kafufuka tu toka kaburuni kaibukia JF
Kwani kocha akisajiliwa katikati ya msimu ambapo hakuna dirisha la usajili anawezaje kuwatumia hao wachezaji ambao tayari wapo?Wachezaji wasajiliwe kutokana na mapendekezo ya mgunda alafu aje awatumie kocha mwingine we unaona ni sawa
Nikusaidie simba wanatafuta kocha mwingine
Benchi la ufundi/makocha wapo.Ukitaka kuona vituko basi njoo kwenye club ya simba dirisha hili la usajili wanasajili wachezaji na kuacha bila kuwa na kocha mkuu unajiuliza mwekezaji wa simba mo dewji ana akili kweli
Makosa yaleyale ya misimu iliyopita wanayarudia na kipindi hiki akija kocha baada ya mda atawatupia lawama kwamba hawafundishiki kama alivyofanya benchika
Na jambo la kushangaza washabiki wao wao wanaona ni kawaida hata kuuliza hawaulizi katika timu inayoendeshwa kihuni basi ni simba
Wampate kocha asign ndo wangeanza kusajili kocha akiwepo hicho wanafanya ndo sababu ndani ya misimu miwili iliyopita timu imefundishwa na makocha zaidi ya sita
Cha ajabu mashabiki wao wameridhika na hizi sajili ila ligi ikianza kocha akianza kulalamika na timu kufanya vibaya wataanza tena hawamtaki mangungu
Kocha huwa hasajili wachezajiWachezaji wasajiliwe kutokana na mapendekezo ya mgunda alafu aje awatumie kocha mwingine we unaona ni sawa
Nikusaidie simba wanatafuta kocha mwingine
Alishajisemea manara sina cha kuongeza.msimu huu tunataka tuwaachie. Au tuwape Azam
Kufundisha wanaofundishika.Kazi ya mwalimu ni nini?
Ndio hao waliosajiliwa sasa.Kufundisha wanaofundishika
Unatia aibu. Mtu akikurupuka kutoa hoja busara ni kukimbia uzi badala ya kuendelea kujivua nguo. Sometimes tunafanya hivyo.Wachezaji wasajiliwe kutokana na mapendekezo ya mgunda alafu aje awatumie kocha mwingine we unaona ni sawa
Nikusaidie simba wanatafuta kocha mwingine
🤩🤩🤩kwan we hujaona mtu anasajili lain ya simu wakat hana simu
Wewe ndiye hujui chochote, tulimsikia wenyewe Gamondi akilalamika kuwa Yanga haina straikers wa ushindani maana yake Hafiz Konkon hakumpendekeza yeye. Akili yako inakwambia kuwa Gamond ndiye amependekeza Okrah, Mkude na Chama wasajiliwe?Msimu uliopita yanga walianza kusajili baada ya kumpata gamondi
Mbona mmemsajili mzee chama konokono huku haendani na mfumo wa kocha wenu?Balaa sana,Mimi nachojua kocha anakuaga na mfumo wake anaouamini like 433,asa ndo humwongoza atafute wachezaji wa namba Gani kumeet demands zake,Simba wanachofanya ni ushamba sawa na kujipaka mafuta kabla ya kuoga ndo unaenda kuoga[emoji1787][emoji1787]
Hahahahaaa Aya mwamed🤣🤣Mbona mmemsajili mzee chama konokono huku haendani na mfumo wa kocha wenu?
Wachezaji anaowatumia gamondi wote aliwasajili yeye?
Kwa taarifa yako simba walishampata kocha wao mapema tu japo hajatangazwa rasmi . Na wachezaji wanaosajiliwa ni mapendekezo yake.