Mzee ngalauka
Member
- Sep 29, 2024
- 85
- 166
Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbuHiyo ndiyo shule aliyosoma huyo ngara 23
View attachment 3170715
Manara alisema wenye akili pale utopoloni wapo wangapi?Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
Uzi tayari..?Madhara ya kushiriki Mashindano madogo ya Shirikisho, lazima timu zinazoshiriki haya mashindano zinatoka pembezoni.
Simba wapo maporini katika Jiji la Constantine Algeria ambalo ni mji wa kale ambapo walifika Roman empire
Yaani Kwa hapa Tanzania ni Kama Kilwa, Ruangwa lipo Namungo, Bagamoyo huko Kaole au Kigoma Ujiji.
Kufika Constantine huko hata ma bus hayafiki mpaka bodaboda
Mtani amepanda bodaboda 😄
Yanga ipo katika Jiji la Algiers ambao ndo mji mkuu hapo Algeria yaani Kwa Hapa Tanzania ni kama Dar es salaam, wapo hotel ya five star ✨
Hakuna timu itacheza mashindano ya akina mama iwe mjini, itapatakana maporini tu, Mtani yupo Jiji la Constantine Algeria analiwa na mbu na manyani
Yanga ndo team inacheza mashindano makubwa Africa na zinacheza timu kubwa tu mtani yeye yupo UMISETA
Yanga Bingwa
Vipi Al Hilal?Che malon yupo mashindano ya akina mama
Hana hadhi ya kucheza Yanga
KUNA BINGWA MMOJA, ANASEMA MASHABIKI WENGI WA MPIRA, NI WATU MASKINI , HASA MASHABIKI WA YANGA, AKAMTOLEA MFANO JAMAA MMJA AMBAO UWEZO WA KUMILIKI SMATI PHONE HANA, SASA HUYU AMEDHIHILISHA.Hawa ndio wanafanya tunaoshabikia Simba na Yanga tuonekane machozi, kumbe ni kikundi kidogo tu cha Utopolo
Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kusema kuwa shirikisho ni mashindano ya akina mamaKUNA BINGWA MMOJA, ANASEMA MASHABIKI WENGI WA MPIRA, NI WATU MASKINI , HASA MASHABIKI WA YANGA, AKAMTOLEA MFANO JAMAA MMJA AMBAO UWEZO WA KUMILIKI SMATI PHONE HANA, SASA HUYU AMEDHIHILISHA.
Sasa mkididili ni mjiniNi vijijini kuliko huko Constantine Algeria iliko Simba ikingoja mchezo wa UMISETA
Itakuwa kweliHiyo ndiyo shule aliyosoma huyo ngara 23
View attachment 3170715
Kwani mkididili ipo wapiVisit Ngara