Simba wasusia kushiriki Mapinduzi Cup


Uende ukacheze na KMKM na wewe ujione una mechi za kujiandaa na mashindano makubwa,huwezi kuwa serious
 
Leteni timu si mnadai mna kikosi kipana nyie.Leteni tuwatafune kudadeki zenu.Mtatukimbia sana hata hiyo mechi ya Jmosi mlipeleka maombi kwenye bodi ya ligi isogezwe mbele mkakataliwa Hahahahaaaaa ,lazima mliwe

Unaenda kusoma mipasho ya Manara huko ndiyo unatuletea hapa JF,tafadhari sana,hebu acha kushusha hadhi ya JF
 
Mwambie huyo maana anashindwa kutofautisha msalaba na jumlisha. Timu kubwa ipo CAF kule inapigania nafasi 4 ili wao viti maalumu waje wakae bila jasho lao yaani tuache kujipanga kwa CAF confederation cup tujiumize kwa kombe la mbuzi ..?
 
A
Acha Makasiriko simba wana malengo yao.? Ndondo cup nizakwemu mzee baba .
 

Wanaume wa Zanziberi na mipasho tu,hawajambo.
 
Mapinduzi ni mashindano ambaya hata kwenye kalenda ya TFF hayapo. Sasa hayo mashindano yana faida gani kwa simba ikiwa tuna mashindano 3 mbele ya wakubwa yanatuangalia na bado super cup inajadiliwa simba atashiriki ikiwepo aisee kila timu na malengo yake labda tupeleke simba b
 

Endeleeni kumpamba huyo GSM na pesa yake ya kuuza mabakuli na mabeseni,na akifilisika bila hata Team kuchukua ubingwa NPL ndiyo mtajua hamjui.
 

Waambie hao mashabiki wa Simba walie na Waziri wa Michezo aliyetoa maneno ya kashfa kwa Simba.Si alisema Yanga inapendwa zaidi Zanzibar kuliko Team yoyote,basi acha wapewe ile kitu roho inapenda.
 
Acha kuwapangia watu kazi we sukule zee! Hilo bonanza ndiyo saizi yenu.
 
Kila mtu ana malengo yake so tusipangiane,, kama ilivyo kwa yanga malengo yake ni kumfunga simba na kuchukua mapinduzi cup,, simba wao malengo yao ni kombe la shirikisho Africa, azam confederation, na ligi kuu
Mkitolewa Confederation mtasema siyo malengo yenu.
 
Waambie hao mashabiki wa Simba walie na Waziri wa Michezo aliyetoa maneno ya kashfa kwa Simba.Si alisema Yanga inapendwa zaidi Zanzibar kuliko Team yoyote,basi acha wapewe ile kitu roho inapenda.
Mashabiki ni hazina ya timu sio serikali wala waziri.

Simba ni taasisi kubwa si kila neno lenye maudhi basi eti nao wa revange.
 
Na tukifika robo fainali tunasusa mazima kucheza hata hii ligi kuu, tutaongea na CAF waangalie utaratibu wa kutupanga kwenye ligi yenye club zenye competitions za level zetu
Huko mnakotaka mmekuwa vibonde siku hizi! Vitimu kama Galaxy na Red Allows vinawavimbia kiasi kile! Tatizo Mikia wanalazimisha ukubwa ambao hawana!
 
Norwich ikimfunga Liverpool hatuwezi kusema Norwich ni bora ,utopolo bado ni timu ya mchangani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…