Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Huko kwenye Shirikisho mechi zijazo mnakula kipigo hamvuki,nyie si mnadai mna kikosi kipana mnatakiwa mshiriki mashindano yoyote yaliyombele yenu lengo kuwapa nafasi wachezaji ambao hamuwatumii mfano Ajibu,Yusufu muhilu n.k ,Ndugu zangu mnaogopa kipigo Cha Yanga hahahaaaaa
Uende ukacheze na KMKM na wewe ujione una mechi za kujiandaa na mashindano makubwa,huwezi kuwa serious