Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujajibu swali nililoulizaMo ni mdhamnini wa ligi?
Mo ana hisa kwenye club ya simba, yaani kile alichokuwa anakifanya GSM kwa yanga kabla ya mkataba huu ndicho anachokifanya MO kwa kuifadhili simba
Kama wewe unavyomchukia tirionea mo na kumfagilia elfunea giesem?Maskini siku zote mnatamani kuona matajiri wakishindwa, na hivyo kuwa maskini kama nyinyi.
Ulichokiandika hapa ni sawa tu na dua la kuku. Kamwe haliwezi kumpata mwewe.
NakaziaSimba Babalaooooo
Gharibu Said Mohamed Hayupo Serious Ni Genge TuYaani kabisa Simba avae logo ya GSM kwa million tatu kwa mwezi, hii ni dharau kubwa kabisa.
Amemvua Nguo Gharibu Said Mohamed Nina Hakika Vilabu 15 Sasa Hivi WanajichekaHuyu Ahmedy Ally anazidi kuimarika kwenye apande wa fact.
Simba aijawai kushindwa vita mnatakiwa mlujue hilo.
Logo ya TBC iko Hadi kwenye jezi ya simba? Tuanzie hapo kwanza.TBC ana mabango yake na ametoa Mil 300 tu mbona Makolo hawajasema ni ndogo
Ila siyo kama cha mama j fc . [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]Simba wana viherehere style yasitaki mbichi hizi
huwezi kuelewa Ila uelewe tangazo za mo zimepelekea simba kichukua ubingwa Mara 4 mfululizo na bado mwaka huu msimu huuMo analipa Bei gani kwa kila tangazo kwenye jezi za Simba!?
zuzu umepaniki. Unaipa Simba million tatu? Uko siriaz?Unakazwa wewe sio bure, unaelewa nini juu ya masuala ya mikataba! Wewe ni nani ameshakuja kuhoji mkataba wako na mwajiri wako? Mbona umemficha ata mkeo/mmeo mshahara unaopokea? Unapata wapi nguvu ya kuhoji mikataba ya wenzako, funga bakuli kwa vitu usivyovijua utakuja kuvalishwa dela siku moja
Analilia Bei gani matangazo kwenye jezi za Simba!?..acha kuharisha harisha na kujibu usichoulizwahuwezi kuelewa Ila uelewe tangazo za mo zimepelekea simba kichukua ubingwa Mara 4 mfululizo na bado mwaka huu msimu huu
[https://res]TFF ndiyo imefeli usimamizi wa soka hapa bongo,huo mkataba wao na GSM viongozi walitanguliza matumbo yao mbele bila kuangalia maslahi ya vilabu
Siyo mbaya kwa TFF kutafuta wadhamini wa ligi ishu ni kuwa hawakuweka mambo wazi leo yanavurugika inaonekan GSM amefeli kumbe shirikisho letu ndiyo lilikubal masharti ya kinyonyaji na kutaka vilabu visihoji mambo
Me naona Tff wawajibike kulipa vilabu vilivyovaa logo ya GSM..
Kwani hao GSm wameshindwaje kupitia mlango ambao NBC walipitia