Simba yaizidi Yanga kwa kukusanya fedha nyingi kwenye michuano ya Kimataifa ya CAF

Hapo mumlipe Bigirimana wa Newcastle, mumlipe yule kocha aliyewaita manyani, sidhani hata kama mtabaki na jero.

Pesa ambayo Simba anapata kwa kufika tu robo fainali ya CAFCL, Yanga hawawezi kuiona mpaka wafika fainali ya CAFCC.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi hapooo utopwengaaa wanaumiaaa had kende zinarudi ndaniii. Uwiiiiiiih
 
wakuu utani wa jadi sio vita wala uadui,michezo ni faraha,urafiki,ajira na kuimarisha afya.msifikie kutukanana.

timu yako ikipigwa dongo(vijembe) na mjadi mwenzio rellax usipanick,ilo dongo ndo utani wa jadi wenyewe alikupunguzii wala kuuzidishia chochote wewe na timu yako.akikutukana mpuuze usimjibu(ignore him/her).

igeni mfano wa hawa mashabiki wavumilivu๐Ÿ‘‰ Tate Mkuu Kalpana na Mshana Jr na wengine๐Ÿ™
 
Haya asante nimepoa.

Avatar yako itawapawisha members wapya wasiojua ule mchongo wako ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Huyu Kijana kwa kweli ananiumiza sana moyo! โ˜น๏ธ Maana amechagua njia mbaya kabisa ya kupita katika maisha yake.

Kungekuwa na hospitali ya kumrudisha katika hali yake ya awali, aisee ningekuwa tayari kuchangia chochote ili tu kufanikisha matibabu yake.
 
Haya asante nimepoa.

Avatar yako itawapagawisha members wapya wasiojua ule mchongo wako [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baada ya kuishiwa hoja, ukaamua kuja na hili?? Hili mbna sio jipyaa tena humu ndanii.

Katadute jingineee njoo nalooo, hili nalimuduuu.
Poleeeeeeeeeh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shougaaaa angu unaniogopaaa?? Mbna unadandia kwenye comments za watu kuzungumzia kinacho kutesaaa? Ungeanza kujichangia wee kwan, BP na kisukari vinakutafunaa badalaa uhangaike ujitibu, unahaha na mie.

Poleeeeeeeeeee. Uwiiiiiiiiiih
 
Na mimi ni mfano wa kuigwa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baada ya kuishiwa hoja, ukaamua kuja na hili?? Hili mbna sio jipyaa tena humu ndanii.

Katadute jingineee njoo nalooo, hili nalimuduuu.
Poleeeeeeeeeh
Ya banter nimekubali, ya Avatar nayo bado ta moto hii sio kila member ameshtukia ๐Ÿ˜‚
 
Obviously lazima amshinde Kwa sababu ni mashindano mawili tofauti na pia moja ni shindano kubwa kuliko jingineโ€ฆkuna haja ya kubisha juu ya hili aiseee
 
Inategemea hilo kundi unalongoza uko na losers wenzako
Kama ni mabingwa kama hapo chini nakuja kukuchomoa huo mwiko
Hivi huyo unamjibu?ni li roboti linatype huoni comment yake ni hyo hyo hata watu hawamfatilii..
 
๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜†
 
Mbona ujaweka pesa za kwenye jezi kifuani za VISIT TANZANIA na HAIER?
 
Nimegundua mashabiki ya Simba hayatumii akili vizuri, yanajifarijigi kwa vitu vya kijinga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ